Peppatz
@peppatz
People will forget what you said and what you did... But will never forget how you made them feel.
ID: 1257634573569216513
05-05-2020 11:33:57
15,15K Tweet
1,1K Followers
1,1K Following
Maria Sarungi Tsehai Samia Suluhu Gwajima kawashika pabaya... RC, KKKT, Anglican, TAG, EAGT, Etc... Simameni na wskristu wenzenu wa ufufuo na uzima.... Kataaa Utekaji
Happy Father's day Baba Tundu Antiphas Lissu Kiboko ya Madhulmati. Kipenzi Cha watanzania. SIMBA Wa IKUNGI. We love you Mr President ❤️❤️❤️ Kiboko ya Vibaka na madalali wa siasa.MBEBA MAONO. WEWE NI SIMBA KWELI KWELI. Mzee wa kuyapelekea Moto Madhulmati ya CCM. NI YEYE
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe ACTWazalendo 1. Kura bandia zitaingia kituoni na virungu mtachezea. 2. Mawakala wenu watazuiliwa kuingia vituoni, mtaishia kulalamika tu 3. Watagomea karatasi za matokeo na hamna cha kuwafanya. Oct 2025, CCM wataibuka washindi tena. Hivyo, NO REFORMS, NO ELECTION #NRNE
Watu Kama Hilda Newton ni hazina na watu wanaozaliwa Mara moja kila baada ya miaka 100. Huyu dada ni mpambanaji wa haki ambaye ameacha Ubinafsi na kusimama na maslah ya umma. Tunakuombea Mungu akutunze na kukuhifadhi tuliokoe taifa dhidi ya Hawa mafashist na mafia waovu.
Ndugu Dr. Tulia Ackson Laiti walio upande wenu wangekuwa wengi kuliko wanaowapinga, msingekuwa na hofu ya kupoteza Madaraka. Msingebambikiza Lissu kesi ya UHAINI. Msingetumia Vibaraka wenu kuzuia matumizi ya Mali halali za Chama kikubwa kama CHADEMA. Mauaji na Utekaji wa wakosoaji
Godbless E.J. Lema Uhuru wa kweli ni mapambano ya kudumu na kujitolea, inayohitaji ujasiri, dhabihu, na uwekezaji wa kina wa kibinafsi badala ya kitu ambacho hutolewa au kufurahia bila gharama.