Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile
Ndolezi

@ndolezi_petro

Water Resources and Irrigation Engineer.

@ACTWazalendo Shadow Minister Office of the Prime Minister - Parliament, Policy, Youth, Labor and Employment

ID: 1247255219047718913

calendar_today06-04-2020 20:10:14

70,70K Tweet

8,8K Followers

1,1K Following

Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Katika mwaka wa fedha 2025/26 serikali imeendelea kutenga bajeti kiduchu kwa ajili ya Ujenzi wa Barabara mpya, ukarabati na matengenezo. Kushindwa kwa Serikali kulipa madeni ya wakandarasi na watoa huduma kunachangia kudorora kwa kasi ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa

"Katika mwaka wa fedha 2025/26 serikali imeendelea kutenga bajeti kiduchu kwa ajili ya Ujenzi wa Barabara mpya, ukarabati na matengenezo. Kushindwa kwa Serikali kulipa madeni ya wakandarasi na watoa huduma kunachangia kudorora kwa kasi ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Chama cha ACT Wazalendo kimelaumu Serikali kwa kushindwa kusikiliza kilio cha wastaafu kuhusu marekebisho ya kikokotoo cha mafao ya pensheni kwa watumishi wa umma na sekta binafsi. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri Kivuli wa Uchukuzi, Halima Nabalang’anya, katika mkutano

Chama cha ACT Wazalendo kimelaumu Serikali kwa kushindwa kusikiliza kilio cha wastaafu kuhusu marekebisho ya kikokotoo cha mafao ya pensheni kwa watumishi wa umma na sekta binafsi. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri Kivuli wa Uchukuzi, Halima Nabalang’anya, katika mkutano
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Chama cha ACT Wazalendo ACTWazalendo kimelaani hatua ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzisha kodi, tozo na ada mpya kupitia mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa fedha 2025/26 iliyowasilishwa Bungeni, jijini Dodoma hivi karibuni na Waziri wa Fedha

Chama cha ACT Wazalendo <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kimelaani hatua ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzisha kodi, tozo na ada mpya kupitia mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa fedha 2025/26 iliyowasilishwa Bungeni, jijini Dodoma hivi karibuni na Waziri wa Fedha
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa Katibu Mwenezi BAWACHA Wilaya ya Temeke na Katibu wa CHADEMA Kata ya Mgulani, Ndugu Nita Zonga amejiunga na ACTWazalendo. Ndugu Anita amepokelewa leo Juni 21, 2025 na Naibu Katibu Mkuu Bara Ester Thomas; ambapo amesajiliwa katika Mfumo wa ACT Kiganjani na

Aliyekuwa Katibu Mwenezi BAWACHA  Wilaya ya Temeke na Katibu wa CHADEMA Kata ya Mgulani, Ndugu Nita Zonga amejiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>. Ndugu Anita amepokelewa leo Juni 21, 2025 na Naibu Katibu Mkuu Bara <a href="/Ester_Thomas1/">Ester Thomas</a>; ambapo amesajiliwa katika Mfumo wa ACT Kiganjani na
Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile Photo

Kitendo cha Police Force TZ kuendelea kumshikilia mwenyekiti wa wanawake Taifa ACTWazalendo ni Unconstitutional hatuwezi kuendelea kua kwenye taifa ambalo linaendeshwa kwa utashi bila ya kufuata sheria, Polisi wamuachie Janeth Rithe bila masharti yeyote. #FreeJaneRithe

Kitendo cha <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> kuendelea kumshikilia mwenyekiti wa wanawake Taifa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ni Unconstitutional hatuwezi kuendelea kua kwenye taifa ambalo linaendeshwa kwa utashi bila ya kufuata sheria, Polisi wamuachie <a href="/JaneRithe/">Janeth Rithe</a> bila masharti yeyote. #FreeJaneRithe
WateteziTV (@watetezitv) 's Twitter Profile Photo

Chama Cha ACT Wazalendo kimesema mawakili takribani watano wanaendelea kushughulikia kesi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake ya chama hicho Janeth Rithe Joel. Hayo yameelezwa leo na Makamu Mwenyekiti bara wa ACT Wazalendo ACTWazalendo Isihaka Mchinjita, alipoulizwa swali na

Husna Sungura (@husnasungura) 's Twitter Profile Photo

"Katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2025/26 Serikali imetenga fedha ndogo kwa ujenzi na matengenezo ya barabara. Aidha madeni kwa wakandarasi yanadumaza kasi ya ukamilikaji miradi." Waziri Kivuli wa Uchukuzi Halima Nabalang’anya Oktoba #LindaKura

"Katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2025/26 Serikali imetenga fedha ndogo kwa ujenzi na matengenezo ya barabara. Aidha madeni kwa wakandarasi yanadumaza kasi ya ukamilikaji miradi."

Waziri Kivuli wa Uchukuzi
<a href="/HalimaYusuf_N/">Halima Nabalang’anya</a>
Oktoba #LindaKura
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

Leo Juni 21, 2025 Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu ameongoza uwasilishaji wa Uchambuzi wa Bajeti Kuu Serikali uliofanyika katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema; Makao Makuu ya ACT Wazalendo Magomeni Jijini Dar es salaam. Ukiweka kando KC, Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu

Leo Juni 21, 2025 Kiongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> ameongoza uwasilishaji wa Uchambuzi wa Bajeti Kuu Serikali uliofanyika katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema; Makao Makuu ya ACT Wazalendo Magomeni Jijini Dar es salaam.

Ukiweka kando KC, Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#PICHA Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amemtembelea na kumjulia hali Padre Dr Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) #EastAfricaTV

#PICHA Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amemtembelea na kumjulia hali Padre Dr Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) #EastAfricaTV
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Janeth Rite shouldn’t be persecuted for airing out an opinion shared by majority of us. Yes, the incumbent is unfit to lead us, na sio kosa lake. Detaining Janeth won’t make a difference. Free her unconditionally now.

Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile Photo

Je, wewe ni Mbunge au Diwani unayependa kuwa sehemu ya ACTWazalendo? Sasa zamu yako imewadia. Usipitwe. Hakikisha unakuwa sehemu ya historia ya mabadiliko kupitia ACT. Wasiliana nasi kwa Simu Na. +255 718 717 364 na +255 687451 171 #TheFutureIsPurple OKTOBA #LindaKura

Je, wewe ni Mbunge au Diwani unayependa kuwa sehemu ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>? Sasa zamu yako imewadia. Usipitwe. Hakikisha unakuwa sehemu ya historia ya mabadiliko kupitia ACT.

Wasiliana nasi kwa Simu Na. +255 718 717 364 na +255 687451 171

#TheFutureIsPurple 
OKTOBA #LindaKura