Omar Said Shaaban
@omarshaaban80
ACT Wazalendo Principal Legal Counsel and Minister for Trade and Industrial Development (SMZ)
ID:4041803781
http://www.saidattorneys.com 25-10-2015 22:06:29
2,0K Tweets
8,0K Followers
621 Following
'Katika kuadhimisha miaka 10 ya ACTWazalendo, kutafanyika Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia. Mkutano huo utafanyika Moshi Kilimanjaro.'
Naibu Mwenezi Taifa
shangwe Ayo
#TwenzetuMoshi
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Vibe la mwenezi kuelekea miaka 10 ya ACT Wazalendo.
Miaka 10 ya kupigania Maslahiya wote
Miaka 10 ya kupigania Zanzibar yenye mamlaka kamili.
ACTWazalendo
Hoja yako KC mstaafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na tangazo la kubadilika kwa jina la Tume limenifikirisha sana. Nimejaribu kufikiri kuhusu viapo vya Makamishna wa Tume. Wameapa kuitumikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi na sio Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Nikawaza hawa hawahitaji kuapa Upya ?…
Ujumbe wetu ni mmoja tu: Tume iliyopo IJIUZULU ili kupisha uundwaji wa #TumeHuru ya Uchaguzi SASA!
- Janeth Rithe - Mwenyekiti Taifa wa Ngome ya Wanawake wa ACTWazalendo
Being in India and get to hear from Indian Nationals speaking so highly about you, I felt privileged to had a moment with you when you visited Tanzania. Dr. S. Jaishankar (Modi Ka Parivar)
'Licha ya kauli za kufungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu kupitia falsafa ya 4R, lakini vitendo vyote vya kiharamia na wizi wa kura vilivyofanyika kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 vinaendelea kwenye chaguzi za marudio.'
Makamu Mwenyekiti Bara
Isihaka Mchinjita
ACTWazalendo
“Chaguzi za marudio ni yaleyale ya mwaka 2019 na mwaka 2020; mageuzi makubwa yanahitajika katika uendeshaji wa uchaguzi nchini.'
Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara
Isihaka Mchinjita
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kesho Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo (Bara) ambaye pia ni Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu Isihaka Mchinjita atazungumza na vyombo vya habari.
Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni, DSM
Muda: Saa 5:00 Asubuhi
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kesho Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara na Waziri Mkuu Kivuli Wasemaji wa Kisekta Ndugu Isihaka Mchinjita atazungumza na vyombo vya habari.
Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM
Muda: 5:00 Asubuhi.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kiongozi wa ACTWazalendo Ndugu Dorothy Semu ameshiriki Mkutano wa Kimataifa unaohusu Teknolojia, Habari na Uchaguzi Afrika ulioandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation nchini Afrika Kusini. Ujumbe wa ACT pia uliwajumuisha Zitto MwamiRuyagwa Kabwe, Mwanaisha Mndeme na Pavu Abdallah.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Isihaka Mchinjita amerudi nyumbani Lindi leo na kupokelewa kwa heshima kubwa. Kila la kheri ndugu Mchinjita katika majukumu yako muhimu
'Mfumo wote wa Uchaguzi–ukijumuisha Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Sheria ya Uchaguzi, na Sheria zingine zinazosimamia vyombo vinavyohusika na uchaguzi–ufanyiwe marekebisho ili kuwe na Uchaguzi huru, wa haki na wa amani.'
Makamu M/kiti ACTWazalendo znz Ismail Jussa
'Mfumo wote wa Uchaguzi–ukijumuisha Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Sheria ya Uchaguzi, na Sheria zingine zinazosimamia vyombo vinavyohusika na uchaguzi–ufanyiwe marekebisho ili kuwe na Uchaguzi huru, wa haki na wa amani.'
Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Zenj
Ismail Jussa
'....Kuhusiana na maneno ya Katibu wa itikadi na Uenezi wa CCM (Zanzibar), tumwambie kwamba asizungumze mambo asiyoyajua, asikurupuke na asitumwe kuzungumza asiyoweza kuyazungumza. Badala yake, ACTWazalendo tunamtaka
aliyemtuma Khamis Mbeto (Katibu mwenezi wa CCM Zanzibar)…
I enjoyed meeting with Dorothy Semu today, the first female party leader of ACTWazalendo, to discuss our shared efforts to build a more inclusive democracy and advance women’s political and economic participation in Tanzania.
Machi 17, 2024, Wanachama na Viongozi wa ACTWazalendo Mkoa wa Lindi watampokea Makamu Mwenyekiti wa ACT Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita.
Ikumbukwe baada ya kuchaguliwa alikwenda Zanzibar na viongozi wenzake na sasa anarejea nyumbani Mkoa wa Lindi.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kesho Ijumaa Machi 15, 2024 nitazungumza na vyombo vya habari kwenye Ofisi Kuu ya ACTWazalendo Vuga Zanzibar.
Muda: 4:00 Asubuhi
Mada: Msimamo wa ACT kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar
#ZanzibarMpya
#ZamzibarMoja
#MamlakaKamili