Nasri msuya
@nasrimsuya2
Mfanyabiashara ndogondogo na Mwanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema
ID: 928115079832375296
08-11-2017 04:20:53
120 Tweet
148 Takipçi
1,1K Takip Edilen
Mbunge John Heche aliuliza maswali kuhusu mchakato wa zabuni wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege Chato uliopelekea kampuni ya Mayanga Contractors kupewa kazi ya tshs 39bn. Hakujibiwa. Mayanga ni Kampuni ya Nani? Imefanya kazi zipi kabla? Ilishindana na nani zabuni ya Chato Airport?
Ukiona kusanyiko la vijana wa chama kinachotawala kutoka kona zote za nchi limekutana na usisikie masuala nyeti ya vijana Kama vile ajira, elimu nk yakitawala na badala yake ukasikia vinavyotawala ni vijembe na mipasho ujue Kama taifa tuna tatizo kubwa! Zitto MwamiRuyagwa Kabwe @doromankaa
#UKAWAPRESS - "Hatuwezi kuingia kwenye uchaguzi wa marudio Januari mwakani, wakati wanatumia nguvu kunyima haki, Mpinzani anashinda hatangazwi, mawakala wanatolewa nje ya vituo, Viongozi na wanachama wetu wanakamatwa na wanapigwa" Mhe Freeman Mbowe