Man @Phd (@meni_md) 's Twitter Profile
Man @Phd

@meni_md

MD Man💫

ID: 1510717303654170630

calendar_today03-04-2022 20:35:08

4,4K Tweet

109 Followers

551 Following

DiwaniHQ (@chamalozo) 's Twitter Profile Photo

"Kula chaki" uandishi gani huu wa kipumbavu? Mmeshindwa kuheshimu kazi za watu kiasi cha kuwabeza? Bwana Maulid Kitenge unatafuna jitihada zako zote kwenye Tasnia kwa kuabudu Watawala? Yani unaonyesha kama hii kazi ni adhabu kwa kuwa huyo Mwalimu alipingana na Rais?

"Kula chaki" uandishi gani huu wa kipumbavu? Mmeshindwa kuheshimu kazi za watu kiasi cha kuwabeza? Bwana <a href="/mshambuliaji/">Maulid Kitenge</a> unatafuna jitihada zako zote kwenye Tasnia kwa kuabudu Watawala? Yani unaonyesha kama hii kazi ni adhabu kwa kuwa huyo Mwalimu alipingana na Rais?
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

. #Naythetrueboy - MAMLAKA Ngoma mpya ya Emmanuel Elibariki. Nay anatamani siku moja MaCCM yawe CHADEMA hata moja, yaone moto yanaotupitisha. Sasa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) sikilizeni, huku ndani Emmanuel kazungumza na Mungu wake, wimbo wake msiufungie. Acheni miyeyusho yenu ya kiwaki.

Man @Phd (@meni_md) 's Twitter Profile Photo

🤣🤣Sema ni vile Wtz wamelala tena usingizi wa fofofoo! Sms ya mnufaika wa pesa za umma? Any way Kuna muda wenye nchi yao wataamka usingizini chezeeni pesa za masikini Kwa mambo yasiyo na maana kwao

Man @Phd (@meni_md) 's Twitter Profile Photo

Usisahau kuwaambia kuwa Petrol saa hii kuinunua ni kama kuendekeza ANASA! Na usisahau kuwaambia kuwa kununua SUKARI lazima uwe umejipanga! ACHA SIASA nyepesi Mzee wetu

Mwl. Macheyeki Philbert Jr (@pmacheyeki) 's Twitter Profile Photo

NTOBI Peter Msigwa Kwanzia kesho nikukutana na mtu mwenye kichwa kikubwa kama chako ama boni Yai hata kama ananizidi umri simwamkii. You have responded rubbish 🚮

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wa jimbo la Kibamba wakichangia #ToneTone katika Mkutano wa hadhara uliofanyika jimbo la Kibamba na kuhutibiwa na Makamu Mwenyekiti bara Mhe. John Heche.

Wananchi wa jimbo la Kibamba wakichangia #ToneTone katika Mkutano wa hadhara uliofanyika jimbo la Kibamba na kuhutibiwa na Makamu Mwenyekiti bara Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a>.
Man @Phd (@meni_md) 's Twitter Profile Photo

Kwani hata kwenye hili la press ya Gwajiboy CHAUMA Nako meishachukua mpunga ili mkaitetee gavooo upande wa yaliyosemwa na gwaji? Tunampangia ni muda gani wa kusema? MMEROGWA

Man @Phd (@meni_md) 's Twitter Profile Photo

Myunani Haitakuja kutokea Labda dunia iwe imebadirika hii! Yaani First time unaingia bungeni and that time upewe WM hata uchawi alionao ndugu yenu wa Arusha hapa hauswiii hata kidogo! TUTAKUWEPO

Man @Phd (@meni_md) 's Twitter Profile Photo

Keka langu linapumua Kwa wale mliosema Eti Muhuni wa Chuga akiingia mjengoni anakuwa PM Kiko wapi? Tuendelee kula mtori

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

CHALAMILA STOP THAT!? NASISI HATUTABAKI KIMYA TENA INATOSHA SASA... Mkumbusheni Albert Chalamila yeye ni mmoja wa wahalifu waliochochea vyombo vya dola kutumia nguvu zilizokithiri dhidi ya Raia. Aelewe kwamba hatutaendelea kuvumilia yeye kunyanyasa watu kwasababu tuu ni Mkuu wa