Tatu Mayeye
@mayeyetatu
God bless you
ID: 1467128695819317252
04-12-2021 13:48:53
4,4K Tweet
1,1K Followers
681 Following
“Lissu akishinda tutakuwa na timu kamili (Mkt Mbowe atabaki kuwa Mzee wa Chama. Mjumbe wa kudumu wa Kamati kuu ya Chama). Hivyo bado atakuwa na nafasi ya kujenga Chama. Waliorudi nyuma kisiasa naamini watarudi kazini na wasioitakia mema CHADEMA wataona aibu sana” - Bob Chacha Wangwe
Wakuu, zimebaki siku ngapi akina Charlie Champlin Yericko Nyerere walie kilio cha mtu mzima? 😀😀😀😀
"Kwa maneno inawezekana Rais Samia Suluhu, anazungumza lugha ya maridhiano, lakini kwa vitendo anaendeleza ya mtangulizi wake." Katibu Mkuu wa ACTWazalendo Ado Shaibu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Halafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe wala hana kisasi wala kinyongo. Kuthibitisha hilo, alishamtetea Mbowe kwa namna ambayo kila mmoja alistaajabu, pindi Bashite alipomrushia Mbowe tuhuma za kipuuzi kuwa ni muuza madawa ya kulevya. Records ziko wazi. Shida iliyopo, Mbowe amejimilikisha CHADEMA!
Leo Naibu Katibu Mwenezi wa ACTWazalendo, Ndugu shangwe Ayo atakuwa ndani ya Kasri.(Crown Media) Muda kuanzia saa 12 Jioni hadi Saa 2 Usiku. Usiache kufuatilia. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote