Lumumba (@lumumba57236813) 's Twitter Profile
Lumumba

@lumumba57236813

ID: 1557835586244907010

calendar_today11-08-2022 21:05:47

465 Tweet

98 Followers

638 Following

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Asanteni sana SDA 👊🏽 Hakuna mtu wa Mungu anaweza kukaa kimya wakati watu wanauwawa na kutekwa! Nchi imekosa mwelekeo! This Seventh Day Adventist church leader speaks the necessary truth! Warns those involved in carrying out killings and “disappearances” that the blood and tears

FRV. Gaspar E. Temba (@itstemba) 's Twitter Profile Photo

“Kwa yanayoendelea katika Taifa letu mtu asithubutu kuiita nchi yetu kisiwa cha amani” Thadeusi Rwaichi (Ofm Cap) Askofu Mkuu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.

Mr Health💊💉 (@mkunga_og) 's Twitter Profile Photo

Vipele Vidogo Kuzunguka Kichwa cha Uume? Usishtuke..! Hii Ndio Elimu Sahihi...! Wanaume wengi huingiwa na hofu wakiona vipele vidogo, kuzunguka kichwa cha uume. Je..? Ni maradhi? Ni zinaa? Au ni dalili ya hatari? Twende kazi…Open Thread 🧵

Vipele Vidogo Kuzunguka Kichwa cha Uume? Usishtuke..! Hii Ndio Elimu Sahihi...!

Wanaume wengi huingiwa na hofu wakiona vipele vidogo, kuzunguka kichwa cha uume. 

Je..? Ni maradhi? Ni zinaa? Au ni dalili ya hatari?

Twende kazi…Open  Thread 🧵
The mandevu (@ze_mandevu) 's Twitter Profile Photo

Kuna kipindi kinaitwa "Aircraft Investigation" huwa kinarushwa channel ya National Geographical (NAT GEO) wanaoneshaga matukio ya ndenge za nyuma jinsi zilivyopata ajari, chanzo chake yaani kila kitu very interesting.

Kuna kipindi kinaitwa "Aircraft Investigation" huwa kinarushwa channel ya National Geographical (NAT GEO) wanaoneshaga matukio ya ndenge za nyuma jinsi zilivyopata ajari, chanzo chake yaani kila kitu very interesting.
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

JINSI SIMU YAKO YA MKONONI INAVYOWEZA KUSAIDIA WATEKAJI KUKUPATA KIRAHISI.. Simu ya mkononi imekuwa ni kifaa kazi kwetu ili kurahisisha mawasiliano, biashara, masomo na utafiti, afya, habarisha n.k Kwa bahati kukua kwa teknolojia kumekuja na matishio ya kiusalama mfano udukuzi

JINSI SIMU YAKO YA MKONONI INAVYOWEZA KUSAIDIA WATEKAJI KUKUPATA KIRAHISI..

Simu ya mkononi imekuwa ni kifaa kazi kwetu ili kurahisisha mawasiliano, biashara, masomo na utafiti, afya, habarisha n.k

Kwa bahati kukua kwa teknolojia kumekuja na matishio ya kiusalama mfano udukuzi
ANZURUN (@anzumcgraphic) 's Twitter Profile Photo

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 IN ADDITION (1)life span ya X-chromosome ni tofauti na ya Y-chromosome na hii kitu ndo main point ambayo Ina determine sex ya mtoto yupi atatokea wakat wa Ovulation. (2)Speed ya X-chromosome ni tofauti na ya Y-chromosome.

Raisul Islam (@rsraisul_islam) 's Twitter Profile Photo

I am surprised many people aren't using AI tools yet. Most people only know about ChatGPT. Here're 5 AI websites that will finish months of work in 1 a day👇

I am surprised many people aren't using AI tools yet.

Most people only know about ChatGPT.

Here're 5 AI websites that will finish months of work in 1 a day👇
Peter Madeleka (@pmadeleka) 's Twitter Profile Photo

HONGERA SANA Mheshimiwa WANU. Hata kama watu WANALALAMIKA kwamba HUKUPASWA kuteuliwa kwa kuwa mama yako ni RAIS na Mumeo ni WAZIRI, wewe CHAPA KAZI. Hii SIYO Serikali ya NYERERE ambayo HAIKUPATIKANA kwa misingi ya KIFAMILIA, UNDUGU, URAFIKI na UDINI.

HONGERA SANA Mheshimiwa WANU. Hata kama watu WANALALAMIKA kwamba HUKUPASWA kuteuliwa kwa kuwa mama yako ni RAIS na Mumeo ni WAZIRI, wewe  CHAPA KAZI. Hii SIYO Serikali ya NYERERE ambayo HAIKUPATIKANA kwa misingi ya KIFAMILIA, UNDUGU, URAFIKI na UDINI.
Daktari Wa Manesi 💉💊 (@mcinikawalamar) 's Twitter Profile Photo

UNAPOFIKA UMRI WA MIAKA 30 NA KUENDELEA, UNAPASWA KUWA NA AKILI ZA KUTAMBUA HAYA. 1. Hupaswi kukubali ushauri kutoka kwa watu ambao hawapo pale unapotaka kufika maishani. 2. Hakuna mtu atakayekuja kutatua matatizo yako. Maisha yako ni wajibu wako 100%. 3. Hakuna anayekujali

Kelvin Kibenje Kyaluoko (@kelvinkibenje) 's Twitter Profile Photo

Kuna wewe ambaye ukiona mambo ya UWEKEZAJI KWENYE HISA au UTT…. Unaona sio mambo yako kabisa na unajua kipato chako bado ni cha wasiwasi… Ni mambo yako na uwe serious sana kwasababu hizi 7 …. Unafikiri ni ya matajiri Unaona kipato chako bado ni cha wasiwasi Unasema

Kuna wewe ambaye ukiona mambo ya UWEKEZAJI KWENYE HISA au UTT….

Unaona sio mambo yako kabisa na unajua kipato chako bado ni cha wasiwasi…

Ni mambo yako na uwe serious sana kwasababu hizi 7

….

Unafikiri ni ya matajiri

Unaona kipato chako bado ni cha wasiwasi

Unasema
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Kwa Nini Iran Inasimama Peke Yake Dhidi ya Israel na Marekani Wakati Nchi Nyingine za Kiislamu Zinajiunga na USA: Kabla ya 1979, Iran chini ya Mohammad Reza Pahlavi ilikuwa mshirika wa karibu wa Marekani na ilikuwa na uhusiano wa kimya na Israel. Kila kitu

#TajiriLaKihaya 

Kwa Nini Iran Inasimama Peke Yake Dhidi ya Israel na Marekani Wakati Nchi Nyingine za Kiislamu Zinajiunga na USA:

Kabla ya 1979, Iran chini ya Mohammad Reza Pahlavi ilikuwa mshirika wa karibu wa Marekani na ilikuwa na uhusiano wa kimya na Israel.

Kila kitu
Kelvin Kibenje Kyaluoko (@kelvinkibenje) 's Twitter Profile Photo

Jikusanyeni vijana 3–5 ambao hamjasoma sana, hamchagui kazi wala biashara, lengo moja tu kutengeneza pesa. Kisha fanyeni Hizi Biashara, hapa kuna pesa isiyokauka. Hizi ni biashara 15 ambazo ni game changer kwa sasa.

Kelvin Kibenje Kyaluoko (@kelvinkibenje) 's Twitter Profile Photo

Sio biashara za kuonekana smart sana. Ni biashara zinazohitajika kila siku kwenye maisha ya watu. Biashara nyingi kubwa zinaanzia kwenye ufundi, huduma au viwanda vidogo vidogo. Biashara ipi umeipenda ili nikusaidie mchanganuo mzima na mkakati wa kuanza, masoko na ukuaji?

Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

Iran sio Ghetto ni nchi yenye Mamlaka kamili, Jamaa wanasonga unauwa wanapandisha mwingine maana ni taifa la Watu Million 80.