Sir Giuseppe M Giovanni
@kingjohn255
Diplomat/CFR Alumni/
Journalist and TV personality /
Businessman/
Political activist and analyst/
Human Rights Ambassador/
Media & Communications Expert
ID: 4428988103
09-12-2015 17:51:37
9,9K Tweet
87 Followers
42 Following
Katika watu makini ambao taifa tunajivunia kua nae ni Balozi Dr, Emmanuel Nchimbi katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, kwani kwa hakika namna anavyoongea na kupangilia hoja zake zinakua zinaeleweka sana kwa watu wenye makundi mbali mbali, hakika huyu ni mwanadiplomasia kweli kweli
Dr Mh, Samia Suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri jeshi mkuu amempendekeza Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dr Emmanuel John Nchimbi kua mgombea mwenza wa Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi october mwaka huu January Makamba
Mh Godbless E.J. Lema ikiwezekana apeae unabii tu maana sio kwa hiki anachokifanya na kinatokea