Jumbe Saidi (@jumbe70) 's Twitter Profile
Jumbe Saidi

@jumbe70

Alqadiriya Arraziqiyah

ID: 2989751147

calendar_today21-01-2015 12:38:22

948 Tweet

1,1K Takipรงi

6,6K Takip Edilen

Tanzania Ya Samia (@tanzaniayamama) 's Twitter Profile Photo

๐— ๐—”๐— ๐—” ๐—”๐—ก๐—”๐—๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ช๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—” #TanzaniaYaSamia

๐— ๐—”๐— ๐—” ๐—”๐—ก๐—”๐—๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ช๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”

#TanzaniaYaSamia
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE (@brysonmtokoma) 's Twitter Profile Photo

Martin Maranja Masese Martin Maranja Masese nadhani unaipenda CDM sababu ya misingi yake ya Sera, ila CDM Hiyo inayo kukufanya uite wenzako MaCCM ikija kutoka kwenye misingi unayoiamini nadhani unaweza ukaja kuomba uanachama CCM. kosoa kwa Staha. jamaa zako waliohamia CCM zile kauli zao zinawahukumu Sana

Muhaluro Jr (@muhaluro1) 's Twitter Profile Photo

Kawaida ya TAL huwa anawachukulia wafuasi wake kama mabox (Vichwa maji). Hii kauli aliitoa before ashinde chochote pale UFIPA mara baada ya kupata kiti akasema hapeleki Chama kwenye uchaguzi.

Kawaida ya TAL huwa anawachukulia wafuasi wake kama mabox (Vichwa maji).

Hii kauli aliitoa before ashinde chochote pale UFIPA mara baada ya kupata kiti akasema hapeleki Chama kwenye uchaguzi.
jumbe ramadhani (@ramadhani_jumbe) 's Twitter Profile Photo

Think Different Hivi NRNE ni ya Cdm na ndio wanafanya induced kwa wananchii lakini usiseme hii kitu ni ya wananchi ingekuwa ni ya wananchi basi leo kingekuwa kitu kingine kabisa

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Ninawatakia kila la kheri wanangu wote wa Kidato cha Sita na Ualimu ngazi ya Astashahada na Stashahada mnaoanza mitihani yenu ya kuhitimu leo. Hii ni hatua kubwa na muhimu katika safari yenu ya kielimu na kimaisha. Serikali imefanya kazi kubwa kisera na kiuwekezaji katika sekta

Ninawatakia kila la kheri wanangu wote wa Kidato cha Sita na Ualimu ngazi ya Astashahada na Stashahada mnaoanza mitihani yenu ya kuhitimu leo. Hii ni hatua kubwa na muhimu katika safari yenu ya kielimu na kimaisha. Serikali imefanya kazi kubwa kisera na kiuwekezaji katika sekta
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Shirikisho la Vyama

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, wakishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano baina ya Shirikisho la Vyama
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Chama changu kinakwenda wapi hivi? Kwanini Katiba ya Chama chetu haifuatwi kwa sasa? Tukisema hii ni hujuma inayofanywa na maadaui wa Chadema kupitia watu wanaojiita Makayibu wa Matawi ya chama ili kuchochea migogoro kwenye Chama tutakuwa tunakosea? Tukisema hawa wanaojiita ni

Chama changu kinakwenda wapi hivi? Kwanini Katiba ya Chama chetu haifuatwi kwa sasa? Tukisema hii ni hujuma inayofanywa na maadaui wa Chadema kupitia watu wanaojiita Makayibu wa Matawi ya chama ili kuchochea migogoro kwenye Chama tutakuwa tunakosea? Tukisema hawa wanaojiita ni
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Siku hizi kwenye chama kila mtu anayejulikana kuwa alimuunga mkono Freeman Mbowe (Kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti CHADEMA taifa) anaitwa msaliti. Sasa sisi tunajiuliza, hivi kugombea ndani ya chama, mtu mmoja anakuwaje msaliti, anayeunga mkono mwanachama wa chama kilekile,

"Siku hizi kwenye chama kila mtu anayejulikana kuwa alimuunga mkono Freeman Mbowe (Kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti CHADEMA taifa) anaitwa msaliti. Sasa sisi tunajiuliza, hivi kugombea ndani ya chama, mtu mmoja anakuwaje msaliti, anayeunga mkono mwanachama wa chama kilekile,
Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

DAR: Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu #CHADEMA Bara, Benson Kigaila amesema baada ya Uchaguzi Mkuu wa Chama hicho, Mwenyekiti wao mpya Taifa, #TunduLissu aliendeleza mashambulizi dhidi ya Wanachama waliokuwa wakimuunga mkono #FreemanMbowe hali ambayo anadai iliwaonesha kuwa bado wapo

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Sisi tumeamua wote kwa pamoja tunajiondoa Chadema ili tuwaachie hicho chama waendeshe wanavyotaka kwasababu sisi hatuwezi kuwa sehemu, hatuwezi kuwa wanachama wa Chama ambacho maamuzi yake hayafanywi kwa vikao, hatuwezi kuwa wanachama wa chama ambacho wanachama wanabaguliwa,

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa msimamo wake rasmi kuhusu hali ya kisiasa nchini, ikisisitiza kuwa haijavunja sheria yoyote katika utekelezaji wa majukumu yake, na kwamba hatua zote zinazochukuliwa dhidi ya viongozi au wananchi zinafuata misingi ya utawala wa

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa msimamo wake rasmi kuhusu hali ya kisiasa nchini, ikisisitiza kuwa haijavunja sheria yoyote katika utekelezaji wa majukumu yake, na kwamba hatua zote zinazochukuliwa dhidi ya viongozi au wananchi zinafuata misingi ya utawala wa
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Na; mwandishi wetu Viongozi na makada mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka maeneo tofauti nchini wamekuwa wakiendelea kujiondoa kwenye chama hicho, huku wakitaja sababu tofauti zinazopelekea kuondoka kwao ikiwemo madai ya viongozi wa sasa kukiuka

Na; mwandishi wetu

Viongozi na makada mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka maeneo tofauti nchini wamekuwa wakiendelea kujiondoa kwenye chama hicho, huku wakitaja sababu tofauti zinazopelekea kuondoka kwao ikiwemo madai ya viongozi wa sasa kukiuka
Irene Darton (@dartonirene) 's Twitter Profile Photo

โ€ผ๏ธHuyu ni Dada Hilda Newton mchepuko wa John Pambalu ambaye ameikimbia nchi kwenda Kenya yeye pamoja na mwanae na huko anaishi kwa hela anazopewa na NGO kuichafua Serikali kwa lengo la kuvuruga amani ya nchi

โ€ผ๏ธHuyu ni Dada Hilda Newton mchepuko wa <a href="/John_Pambalu/">John Pambalu</a> ambaye ameikimbia nchi kwenda Kenya yeye pamoja na mwanae na huko anaishi kwa hela anazopewa na NGO kuichafua Serikali kwa lengo la kuvuruga amani ya nchi
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma Aisha Madoga ametangaza kujivua rasmi uanachama wa chama hicho. Madoga ametangaza kujiuzulu nafasi yake na kujivua uanachama huo Ijumaa Mei 16, 2025 akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema kuwa,

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma Aisha Madoga ametangaza kujivua rasmi uanachama wa chama hicho.

Madoga ametangaza kujiuzulu nafasi yake na kujivua uanachama huo Ijumaa Mei 16, 2025 akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema kuwa,
Jakaya Kikwete (@jmkikwete) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana Prof. Mohamed Janabi kwa ushindi wa kishindo kuwa Mkurugenzi WHO African Region. Ni ushindi wa Rais Samia Suluhu na Watanzania wote. Tunajivunia. Umetuheshimisha sana. Tunakuombea mafanikio mema katika kutimiza majukumu yako mapya. Ninavyokufahamu Profesa, sina wasiwasi kwamba

Hongera sana <a href="/ProfJanabi/">Prof. Mohamed Janabi</a> kwa ushindi wa kishindo kuwa Mkurugenzi <a href="/WHOAFRO/">WHO African Region</a>. Ni ushindi wa Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> na  Watanzania wote. Tunajivunia. Umetuheshimisha sana. Tunakuombea mafanikio mema katika kutimiza majukumu yako mapya. Ninavyokufahamu Profesa, sina wasiwasi kwamba