
Mja Hid
@hidmja57556
ID: 1763604377644986368
01-03-2024 16:37:47
12,12K Tweet
1,1K Takipçi
1,1K Takip Edilen


‼️🚨STEVE NYERERE NDO NANI HADI APEWE AIRTIME? 😂🚨‼️ Ukiona mtu anatumia hadi misiba kuanza kupiga propaganda ujue katumwa! Ila Samia Suluhu hii ndo brain thrust yako kweli? Kumbuka hawa hawatambuliki kikatiba - the buck stops with you!












‼️🚨MEDIA TANZANIA MJIANDAE🚨‼️ Rais de facto Waziri Rajab ameamua uchaguzi wa serikali za mitaa hawatoboi na vyombo vya habari huru! Na kama kawa Rais de jure Samia Suluhu approves maana anachotaka ni madaraka - at whatever cost! Hii mbinu ilitumika 2019 walipoifungia Kwanza TV



JESHI LA POLISI LA TANZANIA NA UTEKAJI UNAOENDELEA. Jumamosi tarehe 5/9 TLS waliandaa jukwaa la kuuliza "Wako wapi?". Hili jukwaa lilialika TAASISI mbali mbali wakiwemo jeshi la polisi Tanzania Police Force TZ Muwakilishi wao alikuwa ni KAMANDA wa kanda maalumu J4 Mulilo. Na katika





