Gen z💓 (@gheartsurgeon1) 's Twitter Profile
Gen z💓

@gheartsurgeon1

I may not be special, but I am definitely a limited edition. Having me in your life is like a treat of happiness❤❤

ID: 1185862093108629504

calendar_today20-10-2019 10:15:46

2,2K Tweet

1,1K Takipçi

4,4K Takip Edilen

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

UJUMBE WA WAZI KWA WANA X Ifike muda wa a X Tuache huruma za kimama kwa watu ambao hawajawahi kuwa na muda na matatizo yetu mtu haji kwenye msiba wako we wake unaenda ulishasikia wapi? Ukiuguza haji wala pole hakupi yeye akiuguza anaomba uende ni lazima tuwe na msimamo huyu

UJUMBE WA WAZI KWA WANA X 

Ifike muda wa a X Tuache huruma za kimama kwa watu ambao hawajawahi kuwa na muda na matatizo yetu mtu haji kwenye msiba wako we wake unaenda ulishasikia wapi? Ukiuguza haji wala pole hakupi yeye akiuguza anaomba uende ni lazima tuwe na msimamo huyu
Samalen Tips🤴 (@samalentips) 's Twitter Profile Photo

Mechi za leo pia zinaanza saa 1 usiku napenda nikupe mikeka 2 ya uhakika leo kama ume repost na ku comment nikusogezee dm mapema hii, mwisho wa kupata mkeka ni saa 12 kamili jioni zingatia Samalen Tips🤴🫆 HOME OF WIN 🤩

Mechi za leo pia zinaanza saa 1 usiku napenda nikupe mikeka 2 ya uhakika leo kama ume repost na ku comment nikusogezee dm mapema hii, mwisho wa kupata mkeka ni saa 12 kamili jioni zingatia <a href="/Samalentips/">Samalen Tips🤴🫆</a> HOME OF WIN 🤩
goligani (@goligani) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 14/10/2024 - 19/10/2024 App: SPORTBET CODE: 08AC2B ODDS: 1139.40🔥🔥🔥✅ CODE: 08AC2B ODDS: 234.91🔥🔥✅✅ CODE: 47A1CE ODDS: 17.03🔥✅✅✅ NB: kuwa makini mechi zinajirudia chukua kifurushi chako kimoja ishi nacho RT na wengine wapate.

Namdi Azikiwe.🇹🇿🇰🇪 (@namdiazikiwe) 's Twitter Profile Photo

Whether you agree or disagree with her views and politics, where you 'like' her or don't, she's an important voice. Free her Maria Sarungi Tsehai #FreeMariaSarungi #FreeMariaSarungi #FreeMariaSarungi

Whether you agree or disagree with her views and politics, where you 'like' her or don't, she's an important voice. Free her <a href="/MariaSTsehai/">Maria Sarungi Tsehai</a> #FreeMariaSarungi
#FreeMariaSarungi #FreeMariaSarungi
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

"Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu" MBOWE

"Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu" MBOWE
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Hivi kwa mfano… Manzi imeJoin X tuseme 2022… Wewe umekuja kumtongoza mwaka huu 2025 pale DM akakubali… Na Miaka mitatu yote yupo Active humu… hata kama hapost kwenye Tl yake ila ana Comment na Kurepost Post za wengine… Nini Kinakufanya Uamini kuwa Upo

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Magufuli kwa miaka mitano alitoa deni trillion 31 mpaka trillion 69. Kwa kifupi ni kwamba Magufuli alikopa trillion 38 lakini alizitumia kujenga SGR, ununuzi wa ndege, ujenzi wa barabara n.k. Rais Samia Suluhu kwa miaka minne amelitoa deni trillion 69 hadi hadi trillion 97.

Magufuli kwa miaka mitano alitoa deni trillion 31 mpaka trillion 69. Kwa kifupi ni kwamba Magufuli alikopa trillion 38 lakini alizitumia kujenga SGR, ununuzi wa ndege, ujenzi wa barabara n.k. Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kwa miaka minne amelitoa deni trillion 69 hadi hadi trillion 97.
Gen z💓 (@gheartsurgeon1) 's Twitter Profile Photo

Msiogope kuwacheka jaman ...hata Mungu anaona wao wenyewe ndio wametuanzaa....sisi tulikuwa tumekaa tumetulia ghaflaa wanaanza kujiita wajukuu WA mama tuwachekeni🤣🤣🤣🚮🚮

Enjoy Football 🌴🏆 (@wilsonjuma08) 's Twitter Profile Photo

Skuizi hawajadili tena kiki za diamond. Skuizi hawajadili tena wasimbe. Skuizi hawajadili tena muonekano wa tillah. Sio kwamba hawakuona maziwa ya neypaul, sio kwamba hawawaoni chicca na martha, sio kwamba hawaoni ndoa za jux, kiki za ibrah na konde. ILA KWAO SIO STORY TENA ✊🏾

Gen z💓 (@gheartsurgeon1) 's Twitter Profile Photo

Ila ACT wanatuona madako yao sana...sasa mtu kachukuliwa ofisini sehemu ambayo Wana authority nayo na hawajaweza kumlinda vipi kura zilizopo umbali zaid ya meters 100 tena ndani ya box?? Watafanya nini?? Hawa njaa zinawasumbua njaa za ruzuku hawana lolote #kataaWahuni

Ila ACT wanatuona madako yao sana...sasa mtu kachukuliwa ofisini sehemu ambayo Wana authority nayo na hawajaweza kumlinda vipi kura zilizopo umbali zaid ya meters 100 tena ndani ya box?? Watafanya nini??  Hawa njaa zinawasumbua njaa za ruzuku hawana lolote #kataaWahuni