Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile
Producer Ama J

@_amaj__

Never wound wat yu cant heal

ID: 2767337607

calendar_today11-09-2014 18:39:53

2,2K Tweet

270 Takipçi

407 Takip Edilen

Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile Photo

Oyaa kwani jamaa amekuchukulia dem maana kama ni mpira hizo ishu ni za kawaida sio lazma apost habar zetu yy amechagua upande ambao ana wateja wake..Unajua gazeti la The Sun halipost habari za liver tangu 1989 na haliuzwi liverpool fresh tu..jamaa hakujibu unakua unajiaibisha tu

Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile Photo

nilichogundua kiti cha mwenye kiti hakitakiwi kuguswa huyu aliekuwa anasema Tanzania nzima mwanaume ni mmoja tu lissu leo ndio anasema hayo kisa jamaa kautaka uongozi

Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile Photo

Kwamba leo Mbowe ana majukumu makubwa kama mwenyekiti kuliko Rais Samia??? Yan Lissu angeweza kuwa Rais mzuri ila sio Mwenyekiti mzuri..uchawa sasa unatofauti gan na suphian???

NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Mara baada ya FAM kutangazwa , tutakuwa na TAFRIJA fupi pale Amell in Dar! Mwamba #Mi5Tena ✌️ Ntobi wa Ntobi Mratibu wa TAFRIJA! 🎊

Tuku the Hippo🥰 (@mwanzalimaa) 's Twitter Profile Photo

Kama mtu anafanya harusi ya gharama 100m unategemea mahari katoa sh ngapi hapo…Oa sehemu ambayo unajimudu kiuchumi usiige kunya kwa tembo bro.

Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile Photo

Nakuhakikishia ukiona familia inadai mahali kubwa ujue hao ni maskini..blaza aliagizwa kreti tu familia ya kiongozi mzee alichokuwa anasisitiza ni amtunze binti yake kwenye harusi aliwapa kiwanja na gari

Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile Photo

cha msingi ujumbe umefika ila uandishi wa hii barua ni hovyo sijawahi kuona..ingekuwa ni private na wanataka mtu seriuz wanakukata kwenye hii barua hautoitwa kwenye interview

Producer Ama J (@_amaj__) 's Twitter Profile Photo

Unaongelea Mke au Demu?? Wife simu yake nipo huru mda wowote naweza kuishika haina password wala nn ukiona tu mkeo kwenye simu yake huna access nayo hio ni red flag toka nduki utakuja kulea watoto wa wanaume wenzako kwemye ndoa yako