Republican Gozer (@ghwankajha) 's Twitter Profile
Republican Gozer

@ghwankajha

|Muumini mzuri wa dini | Mtembezi |Mjasiliamali | Mwanademocrasia &
Mpenda amani| Mshabiki wa mpira|

ID: 1764410677752377344

calendar_today03-03-2024 22:04:09

3,3K Tweet

48 Followers

19 Following

Shaüri Jr🦂 (@shaurianderson) 's Twitter Profile Photo

NKENJA_7 Ujuaji Wa Huyu Janja Ndio Unamponzaga Kwa Hawa Manzi"Hili Ni Tukio La Pili Janja Anapigwa #KnockOut Tunashindwa Hata Kumtupia Kitaulo Kumwokoa Sbb Ana Kaubishi"

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Mwanaharakati Mhe. Maria Sarungi Tsehai atakuwepo katika Baraza la Kidigitali ambalo litajadili mwaka mmoja tangu kukamatwa kwa Mhe. Tundu Antiphas Lissu katika Wilaya ya Mbinga kwa tuhuma za uhaini. Mgeni Rasmi katika kumbukizi hiyo atakuwa Katibu Mkuu wa The ODM Party Mhe. Edwin Sifuna.

Mwanaharakati Mhe. <a href="/MariaSTsehai/">Maria Sarungi Tsehai</a> atakuwepo katika Baraza la Kidigitali ambalo litajadili mwaka mmoja tangu kukamatwa kwa Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> katika Wilaya ya Mbinga kwa tuhuma za uhaini.

Mgeni Rasmi katika kumbukizi hiyo atakuwa Katibu Mkuu wa <a href="/TheODMparty/">The ODM Party</a> Mhe. <a href="/edwinsifuna/">Edwin Sifuna</a>.
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Mafuta yanayotumika nchini yaliingia Nchini mwezi wa tatu kwa bei ya chini kabla ya vita.. Katibu mkuu wa Wazira aliwambia Watanzania kuna mafuta kwenye Akiba yetu ya kutumika Mpaka mwezi wa saba . Kwanini mafuta yameongezwa bei na kwanini Watanzania waumizwe kwa ufisadi huu.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Unatafuta amani kwa jirani wa mbali, kwako panaungua. Kufikia Aprili 2026, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Dr. Riek Machar Teny, bado yuko kizuizini nyumbani kwake (house arrest) Juba akikabiliwa na kesi ya uhaini, mauaji, na uhalifu dhidi ya binadamu. Dr. Riek

Unatafuta amani kwa jirani wa mbali, kwako panaungua.

Kufikia Aprili 2026, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini,  Dr. Riek Machar Teny, bado yuko kizuizini nyumbani kwake (house arrest) Juba akikabiliwa na kesi ya uhaini, mauaji, na uhalifu dhidi ya binadamu.

Dr. Riek
Mercides  (@caltexjr1) 's Twitter Profile Photo

Shusha tusi lolote kwa hii takataka inayopingana na kauli ya kiongozi Chawa wa Ma CCCM tangia lini akawa chadema Chadema hatuna viazi vya namna hii Tusi lolote kwenye coment hapo Repost 670

Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

"Ofisi za chama [CHADEMA] nchi nzima ambazo zilikuwa bado hazijafunguliwa, zifunguliwe rasmi na kazi za chama za kiofisi ziendelee nchi nzima." - John Mnyika, Katibu Mkuu CHADEMA

"Ofisi za chama [CHADEMA] nchi nzima ambazo zilikuwa bado hazijafunguliwa, zifunguliwe rasmi na kazi za chama za kiofisi ziendelee nchi nzima." - John Mnyika, Katibu Mkuu CHADEMA
The mandevu (@ze_mandevu) 's Twitter Profile Photo

Kuna kitu bado sijaelewa, hivi Heche jana alienda Wasafi kufanyiwa Interview au alienda kuwafanyia Interview Watangazaji wa Wasafi?😁

Kuna kitu bado sijaelewa, hivi Heche jana alienda Wasafi kufanyiwa Interview au alienda kuwafanyia Interview Watangazaji wa Wasafi?😁
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini.

Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu.

Lakini ukweli usioepukika ni huu
hatuna ruzuku hata ya SENTI
Mercides  (@caltexjr1) 's Twitter Profile Photo

Kwa wapenzi wa Chadema Tanzania nzima , huu ni wakati wa kuonyesha umoja wetu Hali tuliyokuww nayo wote tunaijua Kama mfumo umekufanya uote hii twit Tafadhali ritwit ifike mbali Repost 990

Kwa wapenzi wa Chadema Tanzania nzima , huu ni wakati wa kuonyesha umoja wetu

Hali tuliyokuww nayo wote tunaijua
Kama mfumo umekufanya uote hii twit Tafadhali ritwit ifike mbali

Repost 990
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Chadema ipo kazini,wale waliosema chama kinaelekea kudedi wanaumia sana wakiona hivi.Hili Trela,picha bado. Tuendele kuchangia harakati za kupambania haki,katiba mpya na utawala wa kisheria. Changia chama chenu kupitia Namba:0744 44 69 69 Jina CHADEMA HQ Watu wa Arusha Mungu

Chadema ipo kazini,wale waliosema chama kinaelekea kudedi wanaumia sana wakiona hivi.Hili Trela,picha bado.

Tuendele kuchangia harakati za kupambania haki,katiba mpya na utawala wa kisheria.

Changia chama chenu kupitia Namba:0744 44 69 69 Jina CHADEMA HQ

Watu wa Arusha Mungu