Snt.A.J.Biswaro (@gen_pres) 's Twitter Profile
Snt.A.J.Biswaro

@gen_pres

Mwanasheria mbobezi wa sheria za Kimataifa za Mwenendo wa Makosa ya Jinai na Haki za Binaadamu (a concerned Citizen of Tabzania)

ID: 1217793427561160704

calendar_today16-01-2020 13:00:38

118 Tweet

62 Followers

849 Following

Victoria C Mwanziva (@victoriacharlz) 's Twitter Profile Photo

Taarifa kwa Umma Kuhusu Ajira Mpya za UALIMU na Kada za AFYA. 1. Kada za Ualimu, wamepangiwa walimu 9,800 (5,000 Shule za Msingi na 4,800 Sekondari) 2. Kada y Afya, wamepangiwa wataalam wa Afya 6,876 (Wanawake ni 3,217 sawa na 46.8% na Wanaume ni 3,659 sawa na 53.2%).

Taarifa kwa Umma Kuhusu Ajira Mpya za UALIMU na Kada za AFYA. 

1. Kada za Ualimu, wamepangiwa walimu 9,800 (5,000 Shule za Msingi na 4,800 Sekondari)

2. Kada y Afya, wamepangiwa wataalam wa Afya 6,876 (Wanawake ni 3,217 sawa na 46.8% na Wanaume ni 3,659 sawa na 53.2%).
Victoria C Mwanziva (@victoriacharlz) 's Twitter Profile Photo

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Dkt. Dr. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Jamhuri ya Malawi, Dkt. Dr. Lazarus Chakwera (katikati) na Spika wa Bunge la Malawi Catherine Gotani Hara (kulia) walipokutana jana katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu Lilongwe Malawi.

Spika wa <a href="/bunge_tz/">Bunge la Tanzania</a> Mhe. Dkt. <a href="/TuliaAckson/">Dr. Tulia Ackson</a> akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Jamhuri ya Malawi, Dkt. <a href="/LAZARUSCHAKWERA/">Dr. Lazarus Chakwera</a> (katikati) na Spika wa Bunge la Malawi Catherine Gotani Hara (kulia) walipokutana jana katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu  Lilongwe Malawi.
East African Community (@jumuiya) 's Twitter Profile Photo

#EAC Heads of State set to convene in Arusha on 21 July 2022 for a High-level Retreat on the EAC Common Market, to take stock of the progress of implementation of the EAC Common Market Protocol and thereafter hold their 22nd Ordinary Summit of EAC Heads of State on 22 July 2022.

#EAC Heads of State set to convene in Arusha on 21 July 2022 for a High-level Retreat on the EAC Common Market, to take stock of the progress of implementation of the EAC Common Market Protocol and thereafter hold their 22nd Ordinary Summit of EAC Heads of State on 22 July 2022.
Victoria C Mwanziva (@victoriacharlz) 's Twitter Profile Photo

📍Ikulu, Chamwino 🚨 U T E U Z I 🔹Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya 07 na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa Mikoa 10 na wengine 09 kubakia kwenye vituo vyao. 📃: IKULU

📍Ikulu, Chamwino

🚨 U   T   E   U   Z   I

🔹Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya 07 na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa Mikoa 10 na wengine 09 kubakia kwenye vituo vyao.

📃: IKULU
Police Force TZ (@tanpol) 's Twitter Profile Photo

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkimbizi Manispaa ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika picha ya pamoja na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Kapulula ambaye ni Polisi Kata wa Kata ya Mkimbizi leo 28.7.2022 baada ya kuwapa elimu ya namna ya kujiepusha na kuripoti vitendo vya unyanyasaji

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkimbizi Manispaa ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika picha ya pamoja na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Kapulula ambaye ni Polisi Kata wa Kata ya Mkimbizi leo 28.7.2022 baada ya kuwapa elimu ya namna ya kujiepusha na kuripoti vitendo vya unyanyasaji
Tanganyika Law Society(TLS) (@tanganyikalaw) 's Twitter Profile Photo

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Geofrey Pinda Ameipongeza TLS kwa Kuandaa Kongamano la Kujadili Mafanikio na Changamoto za Kidemokrasia, Utawala wa Sheria na Ushiriki wa Umma Lenye Tija kwa Ustawi wa Jamii Ikiwa ni Miaka 30 Tangu Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Nchini.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Geofrey Pinda Ameipongeza TLS kwa Kuandaa Kongamano la Kujadili Mafanikio na Changamoto za Kidemokrasia, Utawala wa Sheria na Ushiriki wa Umma Lenye Tija kwa Ustawi wa Jamii Ikiwa ni Miaka 30 Tangu Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Nchini.
Bunge la Tanzania (@bunge_tz) 's Twitter Profile Photo

Spika wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewaongoza Viongozi Mbalimbali wa Serikali, Dini, Kimila pamoja na Wananchi wa Mbeya katika mapokezi ya kumpokea Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ambaye amewasili Mkoani Mbeya kwa ziara ya kikazi.

Spika wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewaongoza Viongozi Mbalimbali wa Serikali, Dini, Kimila pamoja na Wananchi wa Mbeya katika mapokezi ya kumpokea Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ambaye amewasili Mkoani Mbeya kwa ziara ya kikazi.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa Maji wa Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya tarehe 06 Agosti, 2022. zuhura yunus

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa Maji wa Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya tarehe 06 Agosti, 2022. <a href="/venusnyota/">zuhura yunus</a>