Felix Sanka (@felixsanka) 's Twitter Profile
Felix Sanka

@felixsanka

Freedom Fighter

ID: 1527943191684698114

calendar_today21-05-2022 09:24:22

22,22K Tweet

557 Followers

233 Following

Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

Leo ndani ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, kesi ya Mh. Tundu Lissu inaendelea mawakili wa Serikali wameomba hairisho Lissu anawafundisha sheria muda huu.

Leo ndani ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, kesi ya Mh. Tundu Lissu inaendelea mawakili wa Serikali wameomba hairisho Lissu anawafundisha sheria muda huu.
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

"Mwaka wa uchaguzi kiongozi wa chama kikuu cha upinzani yupo gerezani kwakuwa Serikali haitaki kusumbuliwa na NO REFORMS NO ELECTION Tanzania inajua na Dunia inajua" Tundu Lissu

"Mwaka wa uchaguzi kiongozi wa chama kikuu cha upinzani yupo gerezani kwakuwa Serikali haitaki kusumbuliwa na NO REFORMS NO ELECTION Tanzania inajua na Dunia inajua" Tundu Lissu
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️🚨EU PARLIAMENT TO DISCUSS TANZANIA TODAY🚨‼️ Leo #Tanzania inajadiliwa Bunge la Ulaya kuhusu hali ya haki za binadamu Possi sijui atakuwepo? Amejipanga!? 😁 Yaani mwaka huu ni bampa to bampa! Acheni kushupaza shingo Samia Suluhu Kumbukeni tutabanana until y’all

‼️🚨EU PARLIAMENT TO DISCUSS TANZANIA TODAY🚨‼️
Leo #Tanzania inajadiliwa Bunge la Ulaya kuhusu hali ya haki za binadamu 
Possi sijui atakuwepo? Amejipanga!? 😁 
Yaani mwaka huu ni bampa to bampa!
Acheni kushupaza shingo <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> 
Kumbukeni tutabanana until y’all
Revocatus James Ng'oja (@ngrevocatus) 's Twitter Profile Photo

“Mheshimiwa umeambiwa kwamba naomba huruma ya Mahakama. Mimi siombi huruma ya Mahakama. Siombi, sijaomba na sitaomba. Ninachotaka, utaratibu wa Mahakama usichezewe. Mawakili wa Serikali na DPP wanachezea utaratibu wa Mahakama. Tundu Antiphas Lissu Chadema Tanzania chairman

“Mheshimiwa umeambiwa kwamba naomba huruma ya Mahakama. Mimi siombi huruma ya Mahakama. Siombi, sijaomba na sitaomba. Ninachotaka, utaratibu wa Mahakama usichezewe. Mawakili wa Serikali na DPP wanachezea utaratibu wa Mahakama. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> 
<a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a>  chairman
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

"Leo ni siku ya 97 niko Mahabusu na wafungwa waliohukumiwa Kifo nimechoka na hizi habari za upande wa Jamuhuri kuomba hairisho kila siku”-; Mhe. Tundu Antiphas Lissu

"Leo ni siku ya 97 niko Mahabusu na wafungwa waliohukumiwa Kifo nimechoka na hizi habari za upande wa Jamuhuri kuomba hairisho kila siku”-; Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Kama Idd Amin Mama anadhan kumuweka ndani Mhe. Lissu ni kumkomoa basi anajidanganya maana hapa anaefedheheka ni yeye na Serikali yake maana sasa hivi Dunia nzima inajua kwamba hii ni kesi ya mchongo haina kichwa wala miguu.🚮

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿 (@k_mjege) 's Twitter Profile Photo

Kuna namna mwalimu alitamani vijana ukimaliza Vyuo Vikuu turudi vijijini kwetu Kwenda kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Kwa nini wahitimu wengi wanabakia mjini kwa MaBro na Uncle na Aunt? Kwamba wanapachukia kijijini?

Kuna namna mwalimu alitamani vijana ukimaliza Vyuo Vikuu turudi vijijini kwetu Kwenda kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Kwa nini wahitimu wengi wanabakia mjini kwa MaBro na Uncle na Aunt? Kwamba wanapachukia kijijini?
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🔥QUOTE OF THE DAY‼️ Tundu Antiphas Lissu “Mimi siyo aina ya watu ambao wataomba huruma ya Mahakama, kwa sababu nasimamia ninachoamini kuwa ni kweli. Wanaomba huruma ya Mahakama ni wenye hatia.” "I am not the kind of person who will beg for mercy from the Court, because I stand for

🔥QUOTE OF THE DAY‼️
<a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> 
“Mimi siyo aina ya watu ambao wataomba huruma ya Mahakama, kwa sababu nasimamia ninachoamini kuwa ni kweli. Wanaomba huruma ya Mahakama ni wenye hatia.”

"I am not the kind of person who will beg for mercy from the Court, because I stand for
Mbishi ⚖ (@bizy94) 's Twitter Profile Photo

🚨 OUTRAGE in Tanzania! Tundu Lissu’s trial delayed AGAIN to July 30, 2025! 😡 Court acts like govt’s puppet, nodding to every prosecutor’s word. Is this justice or a political witch hunt? 🇹🇿 #FreeTunduLissu #TanzaniaElections 🗳️

🚨 OUTRAGE in Tanzania! Tundu Lissu’s trial delayed AGAIN to July 30, 2025! 😡 Court acts like govt’s puppet, nodding to every prosecutor’s word. Is this justice or a political witch hunt? 🇹🇿 #FreeTunduLissu #TanzaniaElections 🗳️
Abdulkarim  Juma (@jumaabdukarim) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Tundu Antiphas Lissu Hii yenyew tuna kazi kubwa sana ya kujifunza Kwa Tundu Antiphas Lissu kuhusu misimamo thabiti na yenye kutoyumbishwa no matter tunapitishwa katika magumu kiasi gani. That is real activism and struggle katika justice.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Hakimu Kiswaga anakiri kwamba Hoja zote za Mhe. Lissu zinamashiko lakini mwisho wa siku ameamua kuungana na Serikali amekubali ombi la kuhairisha kesi hadi Julai 30, 2025. Itoshe kusema kwamba Hakimu Kiswaga amefunga ndoa na Serikali ya Idd Amin Mama ndo maana hafuati sheria

Hakimu Kiswaga anakiri kwamba Hoja zote za Mhe. Lissu zinamashiko lakini mwisho wa siku ameamua kuungana na Serikali amekubali ombi la kuhairisha kesi hadi Julai 30, 2025.

Itoshe kusema kwamba Hakimu Kiswaga amefunga ndoa na Serikali ya Idd Amin Mama ndo maana hafuati sheria
Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Unafurahi mahakama isivyokuwa huru au namna unashughulika na kesi ya Lissu na kesi za CDM? , unaona mfumo wa haki unachezewa unaona sawa. Unasahau kuwa mfumo huu ndo utaendesha kesi yako ya talaka, ya ajira, kesi yenu ya mirathi, na kesi ya kiwanja chenu! Hali hii utaipitia tu!

Unafurahi mahakama isivyokuwa huru au namna unashughulika na kesi ya Lissu na kesi za CDM? , unaona mfumo wa haki unachezewa unaona sawa. Unasahau kuwa mfumo huu ndo utaendesha kesi yako ya talaka, ya ajira, kesi yenu ya mirathi, na kesi ya kiwanja chenu! 

Hali hii utaipitia tu!
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Siombi huruma ya Mahakama. Sijaomba na sitaomba…”, Lissu hakusema kwa ujeuri, bali kwa msimamo. Alikuwa akilalamikia kuvunjwa kwa taratibu za kisheria na uonevu wa wazi unaofanywa na Mawakili wa Serikali na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP). Katika hali ya kawaida, watu

Tonny (@tonnyadamms) 's Twitter Profile Photo

Godbless E.J. Lema Wanatarakia Lissu atapiga magoti kuomba msamaha. Aombe msamaha kwa Kosa gani alilotenda? Uhaini? Uhaini wa Kutendwa na Mtu Mmoja? it's a World's FIRST. kesi ya kwanza duniani ya aina hii. toka enzi za akina Adolf Hitler na Mussolini.

Felix Sanka (@felixsanka) 's Twitter Profile Photo

Mh.Lissu ndiye anayefanyiwa Uovu/Uonevu wa Hali ya juu na waliotakiwa kumtendea Haki.Kumshitaki Mtu moja kwa Uhaini ni Uhaini dhidi yake.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hii ndio idadi ya watanzania waliokuwa Live kupitia Youtube pekee wakifuatilia kesi ya Mh Lissu. Millard ayo: 107K ITV: 85K Mahakama: 62K Jambo TV: 31K Mwanzo TV: 22K The chanzo: 10K Kumbuka kesi hii iliruka live pia kupitia TV ya ITV. Huko namba ni kubwa zaidi maana wenye

Hii ndio idadi ya watanzania waliokuwa Live kupitia Youtube pekee wakifuatilia kesi ya Mh Lissu.

Millard ayo: 107K

ITV: 85K

Mahakama: 62K

Jambo TV: 31K

Mwanzo TV: 22K

The chanzo: 10K

Kumbuka kesi hii iliruka live pia kupitia TV ya ITV. Huko namba ni kubwa zaidi maana wenye