Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile
Lembrus Mchome

@lembrusmchome

Mwenyekiti Mstaafu Bavicha Mkoa wa Kilimanjaro.

katibu chadema wilaya ya Mwanga.

Mratibu msaidizi mkoa wa Arusha.

Mtetezi na mpenda Haki

ID: 1271441043993616384

calendar_today12-06-2020 13:55:57

4,4K Tweet

24,24K Followers

943 Following

Deogratius Shija (@deogratiusshija) 's Twitter Profile Photo

Godbless E.J. Lema kaka nomepishana na wewe hapa 519 street nimekuita umenukaushia ! Umemuacha Mwenyekiti na Kesi ya Mchongo ? Vipi tunazuia Uchaguzi au tunasusa? Goodnight

NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

ANAANDIKA Mwamba ALEX MAYUNGA ( PhD ) toka USA. “Asante Mwalimu wangu! Walau tunakubaliana kinachofanyika ni kususia. Na nakubaliana na mifano yako ya waliosusia chaguzi, iwe ni Trade Unionists, Wanaharakati au Wanasiasa! Ninadhani tutakuja hukumiwa na hata na uchaguzi weti wa

ANAANDIKA Mwamba ALEX MAYUNGA ( PhD ) toka USA.

“Asante Mwalimu wangu! Walau tunakubaliana kinachofanyika ni kususia. 

Na nakubaliana na mifano yako ya waliosusia chaguzi, iwe ni Trade Unionists, Wanaharakati au Wanasiasa! Ninadhani tutakuja hukumiwa na hata na uchaguzi weti wa
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

“Duka limefungwa” “Januari 21, 2025 ilikuwa ni siku muhimu” “Tunalinda dhumuni na si Mtu” Mwamba mwenyewe sasa👇🏾😀

“Duka limefungwa”

“Januari 21, 2025 ilikuwa ni siku muhimu”

“Tunalinda dhumuni na si Mtu” 

Mwamba mwenyewe sasa👇🏾😀
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana kaka Patrick John Assenga kwa kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Moshi mjini kupitia chama chako CHAUMMA Tanzania ikawe heri kwako na team nzima. Uchaguzi ni sera na siasa safi ambazo zitadumisha undugu wetu.

Hongera sana kaka <a href="/PatrickJAssenga/">Patrick John Assenga</a> kwa kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Moshi mjini kupitia chama chako <a href="/ChaummaT/">CHAUMMA Tanzania</a> ikawe heri kwako na team nzima. Uchaguzi ni sera na siasa safi ambazo zitadumisha undugu wetu.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Siasa nzuri na yenye tija hujikita katika ujenzi bora wa hoja zenye tija na mashiko ambazo hujibu hoja za mpinzania wako, siasa za matusi kejeli na chuki ni kulimiza taifa na hizo ndio zimeigharimu Chadema Tanzania na kuifikisha hapa ilipo. Tuwaze zaidi katika kuiondoa ccm madarakani.

Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Kumuona Polepole hero ni kujizima data, akiwa mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi ndio wakati demokrasia ya taifa letu ilipokwa kuliko wakati wowote,watu walipotea,kesi za kubambikizwa,wizi wa Mali za umma,kwenye chama chake form ilikua moja. Huo ushujaa mnaompa leo ameutolea wap?.

Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Huwezi kupeleka muswaada bungeni bila hiki kikao.Tunaedelea kùdanganyana kwamba Chadema Tanzania tuna nafasi ya kushiriki uchaguzi kwamba reforms zitafanyika?.Sasa rasim Chadema hatutashiriki uchaguzi wa mwaka huu.Tulishauri wakubwa wakapuuzia haya ndio matunda.Maccm hayaogopi kelele

Huwezi kupeleka muswaada bungeni bila hiki kikao.Tunaedelea kùdanganyana kwamba <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> tuna nafasi ya kushiriki uchaguzi kwamba reforms zitafanyika?.Sasa rasim Chadema hatutashiriki uchaguzi wa mwaka huu.Tulishauri wakubwa wakapuuzia haya ndio matunda.Maccm hayaogopi kelele
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Kikundi cha matusi je hii mmeiona?. Siasa sio vita ni umakini katika dhana nzima ya kujenga hoja zitakazo chachafya maendeleo ya taifa na watu kwa ujumla wake.

Kikundi cha matusi je hii mmeiona?. 

Siasa sio vita ni umakini katika dhana nzima ya kujenga hoja zitakazo chachafya maendeleo ya taifa na watu kwa ujumla wake.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Kuna taarifa zinasambazwa mtandaoni kwamba nimeshambuliwa na vijana wa Chadema Tanzania kwenye mazishi ya rafiki yangu Albert naomba zipuuzwe hakuna fujo yeyote nliyofanyiwa chama chetu hakijafikia huo ujinga. Mimi nipo salama na tumemaliza salama kumpumzisha Albert.

Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Leo Tume wanatangaza ratiba kamili ya uchaguzi mkuu utakaofanyika October mwaka huu. Wakati tunashauri kusain kanuni tuliitwa kila jina baya ila tuliona mbali namna ambavo tunairahisishia kazi ccm. Tuna miaka mitano tena ya kuibiwa,kuumizwa,utawala mbovu.Matokeo ya ujuaji.

Leo Tume wanatangaza ratiba kamili ya uchaguzi mkuu utakaofanyika October mwaka huu. Wakati tunashauri kusain kanuni tuliitwa kila jina baya ila tuliona mbali namna ambavo tunairahisishia kazi ccm. Tuna miaka mitano tena ya kuibiwa,kuumizwa,utawala mbovu.Matokeo ya ujuaji.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Tar 29/10 watanzania wanakwenda kupiga kura za ama-kuiondoa ccm madarakani au kuanza safari ya miaka mitano tena ya maumivu. Chadema Tanzania tumewakosea sana watanzania kwa kutoshiriki uchaguzi huu. Nilisema hatuwezi kuzuia uchaguzi sasa maccm yanakwenda kupita kilain kabisa.

Tar 29/10 watanzania wanakwenda kupiga kura za ama-kuiondoa ccm madarakani au kuanza safari ya miaka mitano tena ya maumivu. <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> tumewakosea sana watanzania kwa kutoshiriki uchaguzi huu. Nilisema hatuwezi kuzuia uchaguzi sasa maccm yanakwenda kupita kilain kabisa.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Leo nlipata mwaliko wa Moza Ally ikiwa ni siku yake ya kutangaza nia ya ubunge kinondoni. Moza nimehudumu naye katika kamati tendaji ya Bavicha 2019-2024 pia ukiacha siasa,tunakutana pia kwenye vikao vya familia. Siasa sio uadui. Kila laheri Moza katika safari yako.

Leo nlipata mwaliko wa <a href="/MozaAlly_/">Moza Ally</a> ikiwa ni siku yake ya kutangaza nia ya ubunge kinondoni. Moza nimehudumu naye katika kamati tendaji ya Bavicha 2019-2024 pia ukiacha siasa,tunakutana pia kwenye vikao vya familia. Siasa sio uadui. Kila laheri Moza katika safari yako.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Nimemsikiliza Lumola Steven Kahumbi ameelezea vema kuhusu utamaduni mpya ulioingia Chadema Tanzania wa matusi. Taasisi hii ilijengwa katika misingi ya hoja kwa hoja lakin kwa bahati mbaya watu waliopo kwenye project wameajiri vijana kazi kutukana tu badala ya kujenga hoja zenye mashiko.

Nimemsikiliza <a href="/Lumola_Steven/">Lumola Steven Kahumbi</a> ameelezea vema kuhusu utamaduni mpya ulioingia <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> wa matusi. Taasisi hii ilijengwa katika misingi ya hoja kwa hoja lakin kwa bahati mbaya watu waliopo kwenye project wameajiri vijana kazi kutukana tu badala ya kujenga hoja zenye mashiko.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Asanten CHAUMMA Tanzania kwa mwaliko na mapokezi mazuri. Sinaugomvi na nyie kwakua yapo maisha nje ya siasa. Nawatakia kila la heri kwenye uchaguzi wa October ni muhimu kujua adui tunayepambana naye ni ccm.

Asanten <a href="/ChaummaT/">CHAUMMA Tanzania</a> kwa mwaliko na mapokezi mazuri. Sinaugomvi na nyie kwakua yapo maisha nje ya siasa. Nawatakia kila la heri kwenye uchaguzi wa October ni muhimu kujua adui tunayepambana naye ni ccm.
CHAUMMA Tanzania (@chaummat) 's Twitter Profile Photo

"Kwa hatua ya sasa niseme jambo moja, NIMEPOKEA!! Nimepokea kwa heshima kubwa, nimepokea kwa unyenyekevu mkubwa na nimepokea kwa Imani kubwa ya kwamba sio mimi bali ni kauli na maono ya wengi." - Salum Mwalimu, Mgombea Urais- CHAUMMA #UwakilishiMakini | #Chaumma2025 CHAUMMA Tanzania

"Kwa hatua ya sasa niseme jambo moja, NIMEPOKEA!!
Nimepokea kwa heshima kubwa, nimepokea kwa unyenyekevu mkubwa na nimepokea kwa Imani kubwa  ya kwamba sio mimi bali ni kauli na maono ya wengi."

- Salum Mwalimu, Mgombea Urais- CHAUMMA
#UwakilishiMakini | #Chaumma2025 <a href="/ChaummaT/">CHAUMMA Tanzania</a>
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Nimeshiriki mkutano wa CHAUMMA Tanzania leo sijamuona Freeman Mbowe akijiunga na Chaumma kama mashujaa wetu wa mtandaoni walivotuaminisha. Ni muhimu sana kuacha ramli chonganishi

Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Mwaka 1995 Chadema Tanzania hatukusimamisha mgombea wa nafais ya Urais wa JMT na tukamuunga mkono Agustino Mrema (NCCR) kwakua mwaka huu hatushiriki uchaguzi na watanzania wanataka mabadiliko sio vibaya tukamuunga mkono Salum Mwalim ili kuiondoa Chama Cha Mapinduzi madarakani. Tumwamini.

Mwaka 1995 <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> hatukusimamisha mgombea wa nafais ya Urais wa JMT na tukamuunga mkono Agustino Mrema (NCCR) kwakua mwaka huu hatushiriki uchaguzi na watanzania wanataka mabadiliko sio vibaya tukamuunga mkono Salum Mwalim ili kuiondoa <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> madarakani. Tumwamini.
Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Mashujaa wa mtandaoni hapa wapo busy kumsifia Polepole kwa kukitaka chama chake kufuata utaratibu, lakin wakati huo huo wapo busy kumtukana Mchome ambaye anataka chama chake kifuate katiba na kanuni zake. Mashujaa hawaeleki wanataka nini.

Mashujaa wa mtandaoni hapa wapo busy kumsifia Polepole kwa kukitaka chama chake kufuata utaratibu, lakin  wakati huo huo wapo busy kumtukana Mchome ambaye anataka  chama chake kifuate katiba na kanuni zake. Mashujaa hawaeleki wanataka nini.