Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile
Lembrus Mchome

@lembrusmchome

Mwenyekiti Mstaafu Bavicha Mkoa wa Kilimanjaro.

katibu chadema wilaya ya Mwanga.

Mratibu msaidizi mkoa wa Arusha.

Mtetezi na mpenda Haki

ID: 1271441043993616384

calendar_today12-06-2020 13:55:57

4,4K Tweet

24,24K Followers

943 Following

Lembrus Mchome (@lembrusmchome) 's Twitter Profile Photo

Kuna taarifa zinasambazwa mtandaoni kwamba nimeshambuliwa na vijana wa Chadema Tanzania kwenye mazishi ya rafiki yangu Albert naomba zipuuzwe hakuna fujo yeyote nliyofanyiwa chama chetu hakijafikia huo ujinga. Mimi nipo salama na tumemaliza salama kumpumzisha Albert.