Patrick John Assenga
@PatrickJAssenga
Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Segerea |
Mgombea Ubunge Rombo 2020 |
Diwani Tabata 2015-2020 |
ID:1304450959205072898
11-09-2020 16:06:10
9,2K Tweets
66,4K Followers
1,6K Following
Kwamba CCM haiendeshi tena NCHI kwa mujibu wa KATIBA na SHERIA. Na badala yake sasa wametangaza hadharani kwamba wao ndio wanaoteka wakosoaji wao. Kumbe ndio maana POLISI hawataki kuchunguza waliompiga Risasi Mh Tundu Antiphas Lissu wala kupotea kwa watu wengi akiwemo Ben saa nane.
Huu uchafu wa serekali ya CCM tutaupinga hadharani kabla hatujashiriki uchaguzi Mkuu hapo mwakani. RAIS Samia Suluhu hizi ni njama zako za kutaka kusalia madarakani kwa uchaguzi wa kiinimacho. HATUTAKUBALI