#AFYA YANGU ππ·
@dr_simoni
HEALTH CARE PROVIDER, KID'S FARTHER
#Afya njema ni matokeo ya mtu kuchukua hatua baada au kabla ya tatizo Kutokea
ID:1656369907628404760
10-05-2023 18:46:34
3,4K Tweets
598 Followers
72 Following
Bi. fatma karume aka Shangazi habari yako?
Binafsi ninalo swali dogo sana tu lakini linanitatiza sana; Mji Mkongwe (Stone Town) ni sawa na ilivyo Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA)
Maeneo yote mawili yanatambuliwa na UNESCO kama sehemu ya urithi wa Dunia, kwa kuwa na umuhimu waβ¦
πTundu Antiphas Lissu nimesikitika - we siyo fashisti - sema tu ukweli ndo maana ni kipenzi cha watu! Wanywe panadol kama wanaumia π€£
Ulipokuwa unatetea Zanzibar ndani ya Muungano walikuwa wanafurahi leo unamchapa mama yao mzanzibari wakuite mbaguzi?
Spana ziendelee π§
#TutaelewanaTu
'Tutampeleka Rais Samia Mahakamani, kwakua anatumia picha zetu kujinufaisha kisiasa' Mh. Tundu Antiphas Lissu
fatma karume aka Shangazi ila bhan da Fatma..... au bas tu Ngoj nivungeee bekele languπ«’π«’π«’...
Bonge La Afya Kuna changamoto kidg Kwa apa bothi
Kwa Sababu hii ni kama biashara tu (hakuna tofauti Mkubwa)Kwa maana ya kwamba lazima utengenezi Jina na ndipo utawez kuwa na Watu ama mabalozi ambao watawapa wengine taarifa njema kuhusu hosiii Yako Kulingana na namna unavyowatibu customer Wako
β»οΈ Wakuu tushushe handle tupate followers,
Na follow back wote, #AFYA YANGU ππ·
β Tuachene na Siasa kwanza maana wengine hatuna wakili msomi
fatma karume aka Shangazi Haya ni maneno makali kutoka kwa mtu ninayemheshimu sana. Rais akitokea Tanganyika sio malaika & hukosea. Na akikosea hukosolewa vikali. Ndivyo nilivyofanya kwa Mkapa aliyenipa kesi ya jinai; Kikwete aliyenipa kesi 3, & Magufuli aliyenipa kesi 6 na risasi 16. Sijaanzia kwa Samia.
M A G I R I Dah! hili Bunge la wakati ule ilikuwa kweli ni bunge,
Saivi sijui kama Bunge lipo au wapambe ndo wapo au lah!