Child of God (@inexorablesog) 's Twitter Profile
Child of God

@inexorablesog

Jesus is God

ID: 314427125

calendar_today10-06-2011 07:22:25

23,23K Tweet

2,2K Followers

1,1K Following

Mbishi ⚖ (@bizy94) 's Twitter Profile Photo

🚨🔥 #UPDATES_KESI_YA_UHAINI 🚨🔥Tundu Lissu’s courtroom massacre continues! 💥 Witness Kaaya, a so-called "police officer," exposed as a FRAUD under Tanzania law! 😱 His testimony is a SHAM💯contradictions galore, no qualifications, no credibility! 🚫 Per PGO 53(10), he’s unfit

🚨🔥 #UPDATES_KESI_YA_UHAINI 🚨🔥Tundu Lissu’s courtroom massacre continues! 💥 Witness Kaaya, a so-called "police officer," exposed as a FRAUD under Tanzania law! 😱 His testimony is a SHAM💯contradictions galore, no qualifications, no credibility! 🚫 Per PGO 53(10), he’s unfit
Child of God (@inexorablesog) 's Twitter Profile Photo

Utakuwa ni uliyepungukiwa na akili tu kama utaona ni hali ya kawaida tu kwa mauaji aliyofanya Samia na genge lake la CCM. Unapaswa kupimwa akili kama utakuwa kwenye lile kundi la wasemao "yaliopita si ndwele" na ukataka watu waendelee tu na maisha bila ya UWAJIBIKAJI. Mauaji

Big (@biggiegjk) 's Twitter Profile Photo

Child of God Unyama wa namna hii kwa watoto wa nchi hii ambao walitaka hali ya kisiasa iwe fair, katiba iwe updated kuendana na matakwa na matarajio yao na sio ya wazee wa 1922, haki zao zizingatiwe kama binadamu. Then unataka kuongoza bila kukiri, kuomba msamaha na kukaa pembeni. HAPANA

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

No amount of cleansing will make us forget the October 29 killings. We must seek justice for the souls brutally claimed in cold blood. RIP to the fallen Heroes! Samia Must Go to the ICC!

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Nikiwaambia hali mbaya muwe mnanielewa na machawa aka chihuahua wa Kimama wasiwachanganyeni! Yaani watutuuza sisi hadi na figo zetu wakiweza maana wamechacha! Kimama “Who Are you” kimemtokea puani na bado! Hatutatulia na tutahakikisha mirija yote inafungwa kama walivyotufungia

Nikiwaambia hali mbaya muwe mnanielewa na machawa aka chihuahua wa Kimama wasiwachanganyeni!
Yaani watutuuza sisi hadi na figo zetu wakiweza maana wamechacha! Kimama “Who Are you” kimemtokea puani na bado!
Hatutatulia na tutahakikisha mirija yote inafungwa kama walivyotufungia
Camel (@2020election_tz) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Child of God Wanajuana namna walivyopanda hizi mbegu. Ngoja wanafikiri wataweza ku move on na hili swala la October 29 ila haiwezekani bila uwajibikaji wa haki

<a href="/MariaSTsehai/">Maria Sarungi Tsehai</a> <a href="/InexorablesoG/">Child of God</a> Wanajuana namna walivyopanda hizi mbegu. Ngoja wanafikiri wataweza ku move on na hili swala la October 29 ila haiwezekani bila uwajibikaji wa haki
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️WAJINGA WALIWAO‼️ Vijana wa Tanganyika huyu mdau kawashtua mapema Kwa kifupi: kuna mamluki hawajafanya application kwa nafasi hizi za kazi na wataingia kupitia Zanzibar, kwa hiyo kuna vijana wengi huku Tanganyika hawatoitwa hata kufanya Interview. Sasa nendeni muone ila msije

‼️WAJINGA WALIWAO‼️
Vijana wa Tanganyika huyu mdau kawashtua mapema
Kwa kifupi:
kuna mamluki hawajafanya application kwa nafasi hizi za kazi na wataingia kupitia Zanzibar, kwa hiyo kuna vijana wengi huku Tanganyika hawatoitwa hata kufanya Interview.
Sasa nendeni muone ila msije
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Watu wapo bize kupost watu waliowatoa BIKRA (darasa la saba) huku taifa linauzwa. Kupanga ni kuchagua. Na uzuri haya mambo yanavyoenda matokeo yake tutayaona kwa pamoja. TUTAKUWEPO🫵😎