Babusalu 🧠 (@babusalu26) 's Twitter Profile
Babusalu 🧠

@babusalu26

Azania Secondary school ALUMNI, Daily Learner, Simba Sports Club🦁 and Liverpool fan.

ID: 1580984560401121293

calendar_today14-10-2022 18:11:42

972 Tweet

191 Followers

686 Following

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Dear Elon Musk, Linda Yaccarino, and X team, in light of Tanzanian authorities' decision to block your platform citing pornographic content, would it be consistent with your platform policy to limit access for official 🇹🇿 government accounts until the public ban is lifted?

Hancy Machemba (@hancymachemba) 's Twitter Profile Photo

Ktk matembezi yangu Shinyanga nikakutana na dada mmoja na mtoto mgongoni akiwa anaomba msaada kwaajili ya matibabu ya moyo wa mtoto wake wa mwaka mmoja.Amejaribu kwenda kwa mkuu wa mkoa na wilaya akafanikiwa kupata kibali cha kuchangisha. Gharama za matibabu ni 2m ila ana 100k tu

Ktk matembezi yangu Shinyanga nikakutana na dada mmoja na mtoto mgongoni akiwa anaomba msaada kwaajili ya matibabu ya moyo wa mtoto wake wa mwaka mmoja.Amejaribu kwenda kwa mkuu wa mkoa na wilaya akafanikiwa kupata kibali cha kuchangisha. Gharama za matibabu ni 2m ila ana 100k tu
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Najua Pia Nina Uhakika Hauwezi Kushindwa Ku UNFOLLOW MACHAWA Wote. Hawa Wanaonekana Watu Wa Maana Kwa Sababu Ume Wa Follow Unawaunga Mkono. Pls Unfollow Them Now. Haya Ni Maandamano Yenye Maana.

Najua Pia Nina Uhakika Hauwezi Kushindwa Ku UNFOLLOW MACHAWA Wote. Hawa Wanaonekana Watu Wa Maana Kwa Sababu Ume Wa Follow Unawaunga Mkono. Pls Unfollow Them Now. Haya Ni Maandamano Yenye Maana.
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Ni muhimu Rais akumbushwe hii nchi ni yetu sote, ni ardhi yetu, ni urithi wetu. Miaka 50 iliyopita hakuna aliyejua Samia atakuja kuwa Rais. Vivyo hivyo, anatakiwa kufahamu miaka 50 ijayo Tanzania itakuwepo na lazima misingi ya uwepo wake ijengwe ktk utawala bora. #NRNE

John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

Licha ya kuwa mwana CCM, wakili Wasongo anasema Lissu sio Muhaini. Anasisitiza kuwa kusema No Reforms No Election, hakuwezi kuwa Uhaini. Anasisitiza kuwa serikali iache ugomvi na vyama vya siasa. #Repost_1000 tafadhari

Babusalu 🧠 (@babusalu26) 's Twitter Profile Photo

"Nazama napotea deep, napo dive kwenye bahari ambayo miamba inaelea Kwata linaanza mtata aliyedata ananywea, Delivery on demand kama customer care." 🙌 Dizasta Vina

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 (@esireid) 's Twitter Profile Photo

Privaldinho Na huo ndio ukweli kwa waislamu wote… Tuna muamini na kumuheshimu YESU kama nabii Wengine kina mussa,Abraham,Muhammad na wengineo! Tofauti tu ipo Mwana wa Mungu/ni mungu- hapo tunatofautiana!

A4 👽 (@waveyculture) 's Twitter Profile Photo

International Democracy Union Tundu lissu Samia Suluhu Lissu will not die. This is a man who survived an assassination — multiple bullets couldn’t stop him. Some of those who plotted his downfall are already six feet under. Lissu will rise again. He will overcome this injustice, and he will be free. #FreeTunduLissu #NRNE 💪🏾✌🏾🇹🇿🔨