Patrick John Assenga
@PatrickJAssenga
Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Segerea |
Mgombea Ubunge Rombo 2020 |
Diwani Tabata 2015-2020 |
ID:1304450959205072898
11-09-2020 16:06:10
9,2K Tweets
66,7K Followers
1,6K Following
Mawaziri mizigo wawili wa serekali ya CCM Mwigulu Nchemba, PhD na mwenzako Nepi Nauye mlioropoka majuzi na kudai Mh Tundu Antiphas Lissu ni mbaguzi kwa kumuita Samia Suluhu mzanzibari, sasa Pitieni hizo picha, kisha muombe RADHI haraka maana hamjui mlitendalo. Tudai TANGANYIKA yetu haraka.
Heri ya Mfanano wa siku ya Kuzaliwa kwako Kamanda FRV. Gaspar E. Temba Hakika Chama kinahitaji vijana makini walio na kariba ya Kamanda Temba..CHADEMA Tanzania hii ni mali inapaswa kufichwa na kulindwa kwa maslai mapana ya chama leo na kesho...
POLISI mlianguka kwa AIBU baada ya kumbambikia Freeman Mbowe mashtaka ya UONGO ya UGAIDI. Na sasa DUNIA inawatazama tena kwenye hili mnalofanya kwa Boniface Jacob na Malisa GJ . Tunawasubiria mahakamani mje tuwaonyeshe mnavyoliendesha HOVYO jeshi hilo.
Mapolisi pamoja na kutumika kwenu vibaya na watawala Mafisadi wa CCM, bado CHADEMA inaendelea kuwapigania. Ahsante sana Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Mh Tundu Antiphas Lissu
Hivi ni kwanini mpaka Leo Police Force TZ hamjamkamata huyu MPUUZI wa UVCCM.??? Na kwanini hamjamkamata Kingu mwenye tuhuma za mauaji.??? Na badala yake mmmekimbilia kuwakamata Boniface Jacob na Malisa GJ ambao taarifa zao ni za kweli. Au mmewakata kwa sababu ni WAPINZANI.???
Mh Rais Samia Suluhu hawa ni WANANCHI wa Tabata walio pembezoni mwa mto msimbazi baada ya nyumba zao kusombwa na maji ya mto huo. Kimsingi huu mto msimbazi umearibiwa zaidi na wanaochimba mchanga uku serekali ikiwatazama. Inasadikika mchanga huo unapelekwa Zanzibar .