Mbeyu Salafi (@mnungusaid99197) 's Twitter Profile
Mbeyu Salafi

@mnungusaid99197

ID: 1898969255317524480

calendar_today10-03-2025 05:32:05

5,5K Tweet

115 Takipçi

331 Takip Edilen

𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢 (@chahali) 's Twitter Profile Photo

Samia ataondoka. Hilo halina mjadala. Ila SiSiEmu kuondoka ni pasua kichwa. Why? SiSiEmu ni zaidi ya chama cha siasa, ni mfumo wa kiharamia wenye symbiotic relationship na vyombo vya dola. Mfumo hauondolewi kwa sanduku la kura au katiba mpya. Mfumo hung'olewa kwa mabavu.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Shirley Botchwey Thank you but please spare 5 mins to follow what is happening to women in #Tanzania under the tyrannical rule of Samia Suluhu It’s a shame! youtu.be/WGKoEigDUF0?si…

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Imagine anachamba ka Hadija Kopa 😀 yote haya ya nini? Ila safari hii tuna viumbe vya ajabu wamejipachika kama viongozi ila wanafeli kila siku kuonyesha sifa hata mmoja ya uongozi! Vituko! #TutaelewanaTu

Imagine anachamba ka Hadija Kopa 😀 yote haya ya nini? Ila safari hii tuna viumbe vya ajabu wamejipachika kama viongozi ila wanafeli kila siku kuonyesha sifa hata mmoja ya uongozi!
Vituko! 

#TutaelewanaTu
clementc (@cycleclement) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Mara nyingi neno "kupagawa" huwa linachukuliwa kimasihara sana maana kunakuwa amna mifano hai. Sijui nilitaka kusemaje ila mwenye macho na aone🙄

MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

TANZANIA YAKUBALI KUMPOKEA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA Kundi la Mawaziri la Jumuiya ya Madola (CMAG) limesema Tanzania imekubali kumpokea Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, anayetarajiwa kuzuru nchini Machi 2026. Katika taarifa iliyotolewa baada ya kikao

TANZANIA YAKUBALI KUMPOKEA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA
Kundi la Mawaziri la Jumuiya ya Madola (CMAG) limesema Tanzania imekubali kumpokea Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, anayetarajiwa kuzuru nchini Machi 2026.
Katika taarifa iliyotolewa baada ya kikao
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Jumuiya ya Madola Commonweslth iliazimiaDec 2025 kuhusu Tanzania kwamba: a. Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu (Chakwera) apewe ushirikiano kamili na huru kuonana na wadau wote husika haraka iwezekanavyo; b. Kuondolewa kwa vikwazo vya uhuru wa kukusanyika na kujieleza, asasi za kiraia

Jumuiya ya Madola Commonweslth iliazimiaDec 2025 kuhusu Tanzania kwamba: 
a. Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu (Chakwera) apewe ushirikiano kamili na huru kuonana na wadau wote husika haraka iwezekanavyo;
b. Kuondolewa kwa vikwazo vya uhuru wa kukusanyika na kujieleza, asasi za kiraia
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

*Hekima za Baba Askofu Bagonza* MAADUI WAKIISHA, MARAFIKI WATAGEUKA MAADUI. Ajabu ya Wajaluo: Ukizoea kumsingizia adui kwa kila tatizo lako, siku ukimmaliza huyo adui, utawageuza marafiki zako wawe maadui ili upate wa kusingizia kila tatizo lako. Nimesikia viongozi wetu

Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Yeye kateuliwa na jangili mkuu sasa analalamika nani wa kumfanya nini? si wamesema mambo yao yako vizuri au wamekosa wanafanyana nini na mama yao?

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Ni suala la MUDA TUU. Kitu pekee naamini ni MUNGU hawezi kunyamaza kwa yote waliyofanya WAKOLONI WEUSI kwa watanzania wenzao.

Mamwavi_Nkabasia (@joeselasini) 's Twitter Profile Photo

Baada ya kusoma taarifa hii ya Polisi Mkoa wa Pwani aibu naona mimi. Walikamatwa eti kwa kukiuka amri ya Mahakama na kwa taarifa kuwa wanakwenda kufanya uhalifu Musoma. Unapokuwa na watekelezaji wa sheria waongo HAKI haiwezi kutendeka ktk jamii kinyume chake ni uonevu na dhulma.

Baada ya kusoma taarifa hii ya Polisi Mkoa wa Pwani aibu naona mimi. Walikamatwa eti kwa kukiuka amri ya Mahakama na kwa taarifa kuwa wanakwenda kufanya uhalifu Musoma. Unapokuwa na watekelezaji wa sheria waongo HAKI haiwezi kutendeka ktk jamii kinyume chake ni uonevu na dhulma.
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#Habari_Njema. Katibu Mkuu wa OfficialBawacha Taifa Mhe. Eng. Pamela Maassay pamoja na Viongozi na Wanachama 50 ambao walikuwa wamekamatwa leo Musoma mjini wakati wanatoka kwenye misa Kanisani, wameachiwa kwa dhama. Giza halijawahi kushinda NURU.

#Habari_Njema.

Katibu Mkuu wa <a href="/BawachaTaifa/">OfficialBawacha Taifa</a> Mhe. <a href="/PamelaMaassay/">Eng. Pamela Maassay</a> pamoja na Viongozi na Wanachama 50 ambao walikuwa wamekamatwa leo Musoma mjini wakati wanatoka kwenye misa Kanisani, wameachiwa kwa dhama.

Giza halijawahi kushinda NURU.
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

BAWACHA waliofika Musoma kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani baada ya kuachiwa huru kutoka Polisi wamekutana na Viongozi wa Mkoa wa Mara pamoja na Kanda ya Serengeti kwa ajili ya chakula cha pamoja na kutiana moyo wa kuendeleza mapambano.

BAWACHA waliofika Musoma kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani baada ya kuachiwa huru kutoka Polisi wamekutana na Viongozi wa Mkoa wa Mara pamoja na Kanda ya Serengeti kwa ajili ya chakula cha pamoja na kutiana moyo wa kuendeleza mapambano.