Martin Maranja Masese
@IAMartin_
MMM | Full-time Father | Public-spirited | Sperm That Won The Race, ME | Think Deep Don’t sink | Cogito, ergo sum |
ID:126657061
https://www.instagram.com/martinmaranjamasese?igsh=bTR1eWEzOTRqcGtj&utm_source=qr 26-03-2010 15:32:42
145,1K تغريدات
505,0K متابعون
1,5K التالية
Follow People
Msikilize vizuri kwa utaratibu Katibu Mkuu, Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda Shekh Ponda Issa Ponda akizungumza kuhusu suala la ‘kero za Muungano’.
. Air Tanzania ndege mbili (2) za masafa marefu, Boeing 787-7 (Dreamliner) zilikwenda (kwa mujibu wa ATCL) katika Matengenezo ya kawaida (maintenance schedule) Malaysia tangu September 2023,
Ndege hizo zina usajili wa 5H-TCG (Mt. Kilimanjaro) na 5H-TCJ (Rubondo Island). Tangu…
Kaka Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Tanganyika unayozungumza ipo wapi? Rais wa Zanzibar yupo. Rais wa Zanzibar anaongoza serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hujisikii fahari kuipigania Tanganyika?
Tanganyika ambayo itakuwa na serikali yake kamili, serikali ambayo itasimamia masuala yote ya Tanganyika…
Nilipokuwa napambania hili jambo nilionekana ‘mjuaji’ na kwamba namkosea sana waziri wa afya. Watawala bila uwepo wetu wapiga kelele, hawasikii.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu, MP 18/03/24 aliwaita waandishi wa habari na kusema kwamba wanaokosoa maboresho ya kitita cha NHIF wanaongozwa…
Benki ya Posta Tanzania - TPB Bank Plc - Tanzania Postal Bank (sasa inajulikana kama) walitumia TZS 495 milioni kuchora hii nembo inayoonekana hapo.
Kwa mujibu wa #CAGreport mwaka wa fedha 2017/18, Benki ya Posta (TPB Bank Plc) ilihusika na manunuzi ya kuchapa nembo mpya ya…