Devota Minja
@DevotaMinja
Professional journalist ,worked with ITV /Radio one 2002-2015 Former Mp Morogoro region (special seat)2015-2020. To date Chairperson of Bawacha Morogoro region.
ID:835708963748524032
26-02-2017 04:31:58
736 Tweets
14,4K Followers
6,2K Following
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiwasi Bweri Musoma Mjini tayari kuongoza maandamano ya amani.
#WikiYaMaandamano
#VuguvuguLaKudaiHaki
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe tayari amewasili Musoma mkoani Mara tayari kuongoza maandamano ya amani.
Tangu alfajiri ya leo na mpaka sasa mchana mvua kubwa inanyesha wilayani Musoma.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu akiongoza maandamano ya amani Babati Mjini, Mkoa wa Manyara.
#WikiYaMaandamano
#VuguvuguLaKudaiHaki
'Unataka nani akupiganie haki zako?.' Mhe. Tundu Antiphas Lissu
#Manyara
#WikiYaMaandamano
#VuguvuguLaKudaiHaki
Makamu Mwenyekiti (CHADEMA) Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu Lissu akiongoza Maandamano ya Amani yanayofanyika katika Makao Makuu ya Mkoa wa Manyara yaliyopo jimbo la Babati Mjini leo ijumaa Aprili 26, 2024.
#MaandamanoyaAmani
Makamu Mwenyekiti bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu ataongoza maandamano ya amani Babati Mjini, Mkoa wa Manyara.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Mwenyekiti Freeman Mbowe kituo kinachofuata ni Mkoa wa Mara. Maandamano yatafanyika Musoma Mjini.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Namshukuru Mung, jana tar 22/3/2024 nilishinda tuzo ya Ubunifu katika kuwawezesha wanawake ( Innovation in Women Empowerment) iliyotolewa na EmpowerHer Excelency Award ktk kutambua juhudi za wanawake na taasisi katika kuwawezesha wanawake kiuchumi na kijamii. 🙏 EmpowerHer
Maandamano yaliyoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema leo tarehe 08 Machi 2024 ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.
#IWD24DODOMA
#TANZANIA : KISHINDO CHA MBOWE KWENYE MAADHIMISHO YA WANAWAKE WA CHADEMA
Hotuba nzito ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, Freeman Mbowe katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Wananwake Duniani ambapo OfficialBawacha Taifa wameyaadhimisha jijini #Dodoma .
Zaidi: youtu.be/XsmX9zg2Q68
Hongereni sana OfficialBawacha Taifa ndio maana ccm wanaogopa tume huru na katiba mpya.
Tutapambana mpaka tuvipate, ili tufanye mabadiliko ya kweli kwenye Nchi yetu.