Barnaba Mwandenuka
@BSMwandenuka
👉ACTIVIST AND HUMAN RIGHTS DEFENDER
#Malafyale #ThePeoplesVoice
ID:1153428601867513856
http://chadema.or.tz 22-07-2019 22:16:23
51,3K Tweets
8,0K Followers
1,9K Following
Nina FURAHA KUBWA kuona CHASO na CHASO Alumni kutoka UDSM ( University of Dar es Salaam ) wakigombea na kushinda nafasi mbalimbali za Uongozi ndani ya chama chao ( CHADEMA Tanzania ),
Emmy J² & Ntele Bh
We're my political mentors nikiwa 1st year UDSM.
Kesho tarehe 5 Aprili 2024, saa tano kamili asubuhi Bavicha tutazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Dar es salaam. Mzungumzaji atakuwa mwenyekiti Mhe. John Pambalu. Waandishi wote mnakaribishwa.
Tarehe 09/03/2024 nilipata bahati ya kushiriki kwenye jukwaa la #UgaliElimu , baada ya kupata chakula na busara nyingi, pia nilipata wasaa wa kuwaalika wana Ugali elimu kushiriki katika #IFMCharityAsanteTour yetu.
Nashukuru mzee wangu Lucas E. Malembo kwa mualiko 🙏.
#UgaliElimu kwaAfya
Ukiskia wanawake ni jeshi kubwa ni BAWACHA wanaozungumziwa na sio hao UWT.
OfficialBawacha Taifa mmetuheshimisha sana na mmekiheshimisha chama chetu.
Takwimu pia zilizofanywa na NMIR zinaonesha asilimia 60% ya wasichana hawana uwezo wa kumudu gharama za pedi.
Sababu kubwa ni hali duni ya maisha za wazazi wengi wa kitanzania kufikia hatua ya kushindwa kuwanunulia watoto wao pedi. - Sheila Mchamba Mkurugenzi Nuru ya Binti.
Takwimu pia zilizofanywa na NMIR zinaonesha asilimia 60% ya wasichana hawana uwezo wa kumudu gharama za pedi.
Sababu kubwa ni hali duni ya maisha za wazazi wengi wa kitanzania kufikia hatua ya kushindwa kuwanunulia watoto wao pedi. - Sheila Mchamba Mkurugenzi Nuru ya Binti.