Classic
@zeelavpn12
ID: 1398906772543488001
30-05-2021 07:39:31
3,3K Tweet
1,1K Followers
1,1K Following
Ndugu zangu nasikitika sana kupotelewa na account yangu official mliyokuwa mnaifahamu kama Malkia Nyuki 👑 naomba tukiendelea kutafuta namna ya kuirudisha account yangu mnifollow na ku repost kwenye account hii mpya 😭😭😭
Watekaji wanapata jeuri ya kufanya UTEKAJI kwasababu bado wanapata misaa kutoka nje. Nampongeza Mdude Chadema amewaandikia mashirika ya nje yanayotoa misaada, kusitisha mara moja misaada hiyo maana walengwa hatupo salama. WANANCHI WAPO MATEKANI NA JESHI LA POLISI LINAHUSIKA
Hata kesho nikipotea JESHI LA POLISI TANZANIA LINAHUSIKA. Police Force TZ Hawa ndio walioniteka mara ya kwanza 23/6/2024, walitaka waniue kwa kunipiga RISASI YA KICHWA MBUGA KUBWA YA HUKO MKOANI KATAVI IKASHINDIKANA. HII TWEET MUITUMIE KUWASHTAKI HATA NISIPOKUWEPO.🤝
TUMSAIDIE MWANA X FAMILIA MWENZETU ALIYEPATA AJALI JUZI USIKU Namba yake; 0693017707 Jina: LUCKY MWAKABENGA X FAMILIA TUMSHIKE MKONO MWENZETU. Nonobanks ❤️