Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile
Yericko Nyerere

@yerickonyereret

5 Awards-Winning Best AUTHOR of the Year AFRICA 2023/2024 and 2024/2025 | Intelligence and Security Analyst | MNA of CHADEMA Party| CEO. YECCO GROUP LTD.

ID: 286623632

linkhttps://play.google.com/store/apps/details?id=com.dautechnology.yericko calendar_today23-04-2011 10:55:37

75,75K Tweet

262,262K Takipçi

4,4K Takip Edilen

MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile Photo

Hotuba niliyotoa leo Arusha ni tunu kwa waasisi wa Chadema Tanzania na enzi kwa waliouwawa katika mapambano ya haki. Pia nimetoa mwito kwa wanaharakati na nimetoa ujumbe kwa Rais Samia Suluhu Uwanja wa Soko Kuu niliugeuza #BungeLaWananchi kuwezesha #SautiYaWatu kusikika na kura za

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Nafikiri wanaomshangaa Askofu Gwajima wamemjua jana, tunamjua siku nyingi hatushangai anayoyaongea sio mageni, Kwa asili Gwajima ni mpinzani wa kisiasa na mkosozi mkali wa serikali, Matendo yake ya ukosozi ndio yaliyomtambulisha katika siasa za nchi hii hadi Hayati Magufuli

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Hivi unafahamu kitu kinaitwa Muungano wa Ujasusi ama Intelligence community? Unafahamu kuwa Tanzania intelligence Community yake inaundwa na vyombo vingapi, vinaitwaje na mkuu wake anapatikanaje? Unafahamu tofauti ya Intelligence Community na Baraza la Usalama la Taifa?

Hivi unafahamu kitu kinaitwa Muungano wa Ujasusi ama Intelligence community? Unafahamu kuwa Tanzania intelligence Community yake inaundwa na vyombo vingapi, vinaitwaje na mkuu wake anapatikanaje?

Unafahamu tofauti ya Intelligence Community na Baraza la Usalama la Taifa?
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Kenya kupitia Rais wa Nchi hiyo Mh Rutto imeomba radhi kwa makosa yaliyotokea, japo rais hajataja makosa hayo, lakini mgogoro na maneno vilianza baada ya Wanaharakati wa Kenya kuingia nchini (bila kufuata utaratibu kwamjibu wa serikali) na kuchochea kile kilichoitwa

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Ili taifa liendelee linahitaji Wanaharakati wa kweli, Lakini aina ya Wanaharakati tulio nao ni hatari kwa mstakabali wa siasa na taifa letu kwa ujumla, kwakuwa wengi ni wafanyabiashara ya harakati na Siku Watanzania wakifanikiwa kuwafahamu wanaharakati wetu hawa hakika

Ili taifa liendelee linahitaji Wanaharakati wa kweli, Lakini aina ya Wanaharakati tulio nao ni hatari kwa mstakabali wa siasa na taifa letu kwa ujumla, kwakuwa wengi ni wafanyabiashara ya harakati na Siku Watanzania wakifanikiwa kuwafahamu wanaharakati wetu hawa hakika
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Lt Col Paddy Stevens kiongozi wa 45 Royal Marines Comand ya Uingereza walioshiriki kutuliza maasi ya Jeshi Tanganyika, ya Jan 20, 1964 yaliyokusudia kumpindua mwalimu Julius K. Nyerere. Kwa undani wa jaribio hili la mapinduzi na majaribio mengine makubwa matatu yaliyofuata,

Lt Col Paddy Stevens kiongozi wa 45 Royal Marines Comand ya Uingereza walioshiriki kutuliza maasi ya Jeshi Tanganyika, ya Jan 20, 1964 yaliyokusudia kumpindua mwalimu Julius K.  Nyerere.

Kwa undani wa jaribio hili la mapinduzi na majaribio mengine makubwa matatu yaliyofuata,
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

In case kama umesahau au ulikuwa hujui, Mshindi mara 6 wa Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani AFRIKA kwa miaka mitatu mfululizo (back to back) 2023 na 2025 ni YERICKO YOHANESY NYERERE kutoka TANZANIA. Sifa na heshima ni za Watanzania! Idumu Mizimu! Usikose Kusoma VITABU

In case kama umesahau au ulikuwa hujui, Mshindi mara 6 wa Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani AFRIKA kwa miaka mitatu mfululizo (back to back) 2023 na 2025 ni YERICKO YOHANESY NYERERE kutoka TANZANIA.

Sifa na heshima ni za Watanzania!

Idumu Mizimu!

Usikose  Kusoma VITABU
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Mh Freeman Mbowe, Sisi vijana wako watiifu uliyetulea na kutufundisha siasa na hesabu za nera, HATUTAKUSALITI KAMWE!, Tutabaki watiifu kwako tukiamini wewe ni kiongozi bora na mbeba maono wetu, tutalinda heshima na urithi wako popote! Endelea na mapumziko ya likizo yako ya

Mh <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a>, Sisi vijana wako watiifu uliyetulea na kutufundisha siasa na hesabu za nera, HATUTAKUSALITI KAMWE!, 

Tutabaki watiifu kwako tukiamini wewe ni kiongozi bora na mbeba maono wetu, tutalinda heshima na urithi wako popote!

Endelea na mapumziko ya likizo yako ya
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Wewe ni miongoni mwa magenge yanayoendelea kumtukana Mh Mbowe, Unaonywa kwamba uchaguzi ulishaisha kama hamkuridhika matusi ya kampeni basi kwa sasa tutawakabili vilivyo!