YUSUPH MOHAMEDY (@yusuphmohamedy1) 's Twitter Profile
YUSUPH MOHAMEDY

@yusuphmohamedy1

Music Music Fitness & Wellness Soccer Travel Humanitarian

ID: 1071812888917147648

calendar_today09-12-2018 17:04:40

1,1K Tweet

236 Takipçi

2,2K Takip Edilen

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Mwaka 1496 Mtawala wa Spain kipindi hicho akaanza kuitawala kikoloni maeneo ya taifa hilo na makao makuu yalikuwa #Santo_Domingo ulipo sahv mji mkuu wa JAMHURI YA DOMINIC Mnamo mwaka 1697 Ufaransa akachukua akampiga Spain kisha akajimilikisha maeneo yote na kuitawala rasmi Haiti

Gery (@gery_gerrald) 's Twitter Profile Photo

Wanangu, nimewaburudisha sana kwenye michezo, tumataniana mno , nime rt sana biahsara zenu, tumesaidiana sana kwenye michongo kadhaa, sasa ni muda wa nyinyi ku rt hii tweet niweze kugiftishwa na Tigo kupitia Coco. Tafadhali Rt tuweze kushinda 😇 #Nigiftisheni

ARMANDO (@agustino_amando) 's Twitter Profile Photo

Najua ni ngum sana kushinda hizi zawadi hasa kwa sisi wenye followers wachache. Kama ukiiona hii tweet on ur timeline please rts 🙏 #Nigiftisheni Ninaiitaji hii sim ili iweze kunisaidia kwenye masomo yangu sababu simu niyoitumia kwa sasa kioo kimeharibika na betry limeisha.

Najua ni ngum sana kushinda hizi zawadi hasa kwa sisi wenye followers wachache.

Kama ukiiona hii tweet on ur timeline please rts 🙏 #Nigiftisheni 

Ninaiitaji hii sim ili iweze kunisaidia kwenye masomo yangu sababu simu niyoitumia kwa sasa kioo kimeharibika na betry limeisha.
Rwehumbiza (@rwehumbiza7) 's Twitter Profile Photo

Simu Yangu Ina storage ndogo Bado ya zamani Sana , Ina RAM mbili TU Yani ukiingia Twitter zikiingia notification zaidi ya Saba inazima kwanza.. Yani nishashindwa kuukaa online.. Mda wote.. Na haiwezi kuview videos za Twitter Kwa ufasaha. #Nigiftisheni

Keisha Essays Help, Assignment Help, Homework Help (@keishaessays) 's Twitter Profile Photo

Mohammed Dewji MO Mimi RAJAB ABEID SINGO kijana wa miaka 28, mfugaji mdogo wa kuku wa mayai kijiji cha Mtakuja wilaya ya Muheza, Tanga. Banda langu la kienyeji, umeme natumia solar. Ninazo changamoto za vyombo vya kuwalisha kuku pamoja na chakula chao cha kutosha. Ninaomba sapoti kwa hali na mali.

<a href="/moodewji/">Mohammed Dewji MO</a> Mimi RAJAB ABEID SINGO kijana wa miaka 28, mfugaji mdogo wa kuku wa mayai kijiji cha Mtakuja wilaya ya Muheza, Tanga. Banda langu la kienyeji, umeme natumia solar. Ninazo changamoto za vyombo vya kuwalisha kuku pamoja na chakula chao cha kutosha. Ninaomba sapoti kwa hali na mali.
Wizara ya Ujenzi (@wizarayauj) 's Twitter Profile Photo

1. Mpanda - Kabungu - Mpanda ndogo - Vikonge km 36.65 lami tayari 2. Vikonge - Luhafwe 25km kuna Mkandarasi anajenga kwa kiwango cha lami. 3. Luhafwe - Mishamo 37.5km hatua za Manunuzi 4. Mishamo - Uvinza 94km Barabara ya Changarawe..

YUSUPH MOHAMEDY (@yusuphmohamedy1) 's Twitter Profile Photo

Mimi nauliza barabara ya kahama Geita kupitia KAKOLA inashida gani mbona inasemekana pesa zipo ila tatizo wizara haitoi kibali hiyo barabara ni Muhimu sana kwa uchumi wetu imalizieni

Kigogo Media (@kigogo2014) 's Twitter Profile Photo

Chama cha MBOWE ni kama kimekufa na kinachoendelea sasa ni mazingaombwe tu ya kutengeneza picha za mikutano ya mwaka 2015 na kulaghai watu kuwa ni mikutano ya sasa huko anakozurura kwa ufadhili wa akina Karamagi na kundi lake la akina GSM na OilCom. Picha na video tunazoziona ni

fatma karume aka Shangazi (@fatma_karume) 's Twitter Profile Photo

Naitwa MKOROFI na Majaji wa Mahakama. Sawa. Let’s go! Swali: Kama mnaweza kuwapa HAKI watu waliye UWA na mnasema wameuwa bila ya KUKUSUDIA, mnashindwa kunipa HAKI mie? MKOROFI Nchi hii hana HAKI? 😂😂😂

Naitwa MKOROFI na Majaji wa Mahakama.

Sawa. Let’s go!

Swali:
Kama mnaweza kuwapa HAKI watu waliye UWA na mnasema wameuwa bila ya KUKUSUDIA, mnashindwa kunipa HAKI mie?

MKOROFI Nchi hii hana HAKI?
😂😂😂
Fabrizio Romano (@fabrizioromano) 's Twitter Profile Photo

🔵🇧🇪 Pep Guardiola: “De Bruyne has been one of the top-three, five best players in the whole history of Man City without a doubt”. “Every time he performs well, I'm the happiest man on the planet! He gave me many, many things, to the team and me”.

🔵🇧🇪 Pep Guardiola: “De Bruyne has been one of the top-three, five best players in the whole history of Man City without a doubt”.

“Every time he performs well, I'm the happiest man on the planet! He gave me many, many things, to the team and me”.
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#KURASA Wakazi wa mtaa wa Pwani mkoani Dar es Salaam wameamua kujichanga fedha kwa ajili ya kuanza mchakato wa kudhibiti maji ya mvua ambazo husababisha maji mengi kuzingira makazi yao. Vikao vinaendelea ili kumalizia tahmini ya ujenzi wa mitaro mikubwa itakayohamisha maji na