Superfalcon Xy.🇹🇿 (@xeichay) 's Twitter Profile
Superfalcon Xy.🇹🇿

@xeichay

C.E.O XyMT. Stay positive regardless of the situation. Believe in God, the Almighty, the creator of Heavens and Earth.

ID: 843796366996443141

calendar_today20-03-2017 12:08:25

1,1K Tweet

93 Takipçi

665 Takip Edilen

Prisca Kishamba (@pkishamba) 's Twitter Profile Photo

"Hii imeshakuwa ni KASHFA, Berkane walibook Hoteli Zanzibar jana Mei 14, Simba tumepokea barua asubuhi ya leo Mei 15 Inakuwaje Klabu mwenyeji na Shirikisho hawakufahamu uamuzi wa CAF tangu jana lakini Berkane alikuwa anajua? Berkane walikuwa sehemu ya mchakato wa kufanya maamuz?

"Hii imeshakuwa ni KASHFA, Berkane walibook Hoteli Zanzibar jana Mei 14, Simba tumepokea barua asubuhi ya leo Mei 15

Inakuwaje Klabu mwenyeji na Shirikisho hawakufahamu uamuzi wa CAF tangu jana lakini Berkane alikuwa anajua? Berkane walikuwa sehemu ya
mchakato wa kufanya maamuz?
SportsArenaTz (@sportsarenatztz) 's Twitter Profile Photo

Hii hapa BARUA YA CAF kwenda TFF na SIMBA SC kuhusu Mechi ya fainali kuhamishiwa ZANZIBAR. NB: Mnyama na yeye kajibu kwa Hoja zake ikiwemo kuwasilisha Taarifa ya TMA (mamlaka ya hali ya hewa 1) kuwa ndani ya Tarehe 23-26 hali ya hewa DAR haitakuwa na Mvua pia wamewasilisha

Hii hapa BARUA YA CAF kwenda TFF na SIMBA SC kuhusu Mechi ya fainali kuhamishiwa ZANZIBAR.

NB:

Mnyama na yeye kajibu kwa Hoja zake ikiwemo kuwasilisha Taarifa ya TMA (mamlaka ya hali ya hewa

1) kuwa ndani ya Tarehe 23-26 hali ya hewa DAR haitakuwa na Mvua pia wamewasilisha
Latto 𝕏 (@rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Nyie endeleeni kupiga figisu figisu zenu, Sisi kama Mashabiki wa Simba tunaendelea kununua tiketi. Na tunafuata taarifa Official, Fainali tutaicheza kwa Mkapa Kwanza msikilizeni Ahmedi Ally. Video kwa Comments 👇

Nyie endeleeni kupiga figisu figisu zenu,

Sisi kama Mashabiki wa Simba tunaendelea kununua tiketi.

Na tunafuata taarifa Official,

Fainali tutaicheza kwa Mkapa

Kwanza msikilizeni Ahmedi Ally.

Video kwa Comments 👇
Presenter Noah (@presenternoah) 's Twitter Profile Photo

Dahane Beida ndiye Mwamuzi wa mchezo kati ya Berkane dhidi ya Simba, Refa huyu ndiye aliyekataa goli la Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns

Dahane Beida ndiye Mwamuzi wa mchezo kati ya Berkane dhidi ya Simba, Refa huyu ndiye aliyekataa goli la Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns
Superfalcon Xy.🇹🇿 (@xeichay) 's Twitter Profile Photo

Shaffih Dauda Fouzi Lekjaa is a prominent figure in football administration, serving as the president of the Royal Moroccan Football Federation and a member of CAF's Executive Committee. He’s also a FIFA Council member and has held roles like CAF First Vice President. Beyond football,

<a href="/shaffihdauda1/">Shaffih  Dauda</a> Fouzi Lekjaa is a prominent figure in football administration, serving as the president of the Royal Moroccan Football Federation and a member of CAF's Executive Committee. He’s also a FIFA Council member and has held roles like CAF First Vice President. Beyond football,
Superfalcon Xy.🇹🇿 (@xeichay) 's Twitter Profile Photo

Shaffih Dauda he’s Morocco’s Minister Delegate for Budget, a senior governmental position. His involvement in CAF decisions, especially those involving Moroccan teams like RS Berkane, often sparks debate about potential bias,

Willis Evans Otieno (@otienowill) 's Twitter Profile Photo

Mama Samia Suluhu Kwa heshima, tunakuomba uongoze kwa busara, si kwa hasira. Mipaka ni ya kijiografia, lakini utu hauna mipaka. Kauli yako: “Walisha haribu kwao, walisha vuruga kwao. Msitoe nafasi kwa watovu wa adabu wa nchi nyingine kuja kutovuruga hapa kwetu” imezua maswali

𝐔𝐃-𝐁𝐎𝐘 (@udsm_finest) 's Twitter Profile Photo

Siri Iliyofichwa: Kwa Nini Kitabu cha Enoch Kiliondolewa kwenye Biblia? Kitabu cha Henoko (book of Enoch) kitabu hiki kinasemekana kiliandikwa karibu karne ya 3 KK hadi karne ya 1 BK. kitabu hiki kinatoa Maelezo ya maono ya Henoko kuhusu mbingu, malaika waasi, na hukumu ya

Siri Iliyofichwa: Kwa Nini Kitabu cha Enoch Kiliondolewa kwenye Biblia?

Kitabu cha Henoko (book of Enoch)

kitabu hiki kinasemekana kiliandikwa  karibu karne ya 3 KK hadi karne ya 1 BK.

kitabu hiki kinatoa Maelezo ya maono ya Henoko kuhusu mbingu, malaika waasi, na hukumu ya
Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Leo Tumevuliwa nguo na majirani kwenye maswala ya Cybersecurity sisi ni debe tupu. Elimu yetu hakuna chochote ni ZERO. Tumepigwa Cyber ATTACK ya maana 😂 Majirani safi sana kwa kutupa somo pigeni spana pigeniiiiii spana adi akili zitukae sawa.

Leo Tumevuliwa nguo na majirani kwenye maswala ya Cybersecurity sisi ni debe tupu. Elimu yetu hakuna chochote ni ZERO. 
Tumepigwa Cyber ATTACK ya maana 😂

Majirani safi sana kwa kutupa somo pigeni spana pigeniiiiii spana adi akili zitukae sawa.
SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Biblia ina maneno 783,137, vitabu 66 waandishi 40 na miaka 3,000 Katika sala zote 650 zilizopo kwenye Biblia, HAKUNA hata 1 inayoelekezwa kwa watakatifu waliokufa mfano Bikira Maria Sala zote zinaelekezwa kwa; -MUNGU baba -Kupitia kwa Yesu Kristo -Kwa msaada wa Roho Mtakatifu