KerekaZaidi
@nelymmari
Social Development specialist.
ID: 238307385
14-01-2011 21:33:38
11,11K Tweet
1,1K Takipçi
2,2K Takip Edilen
Hapa Mzee Benjamini Mkapa anaeleza mambo SITA (6) ambayo aliyaona ni muhimu kufanyia kazi. Naomba RETWEET isikilizwe na wote wasioelewa DEMOKRASIA. Maria Sarungi Tsehai CHADEMA Tanzania Hilda Newton John Heche
Hussein M Bashe Alitishiwa kutekwa na kwa ujasiri alisema Bungeni kwaninj Bashe leo yupo kimya ili hali matukio ya utekaji yakiwa yamepamba moto?
Huu wimbo wa East Africa kutoka I am Rex ✊🏾 🇰🇪 Ni rahisi kujifunza na kuimba - pia tukimodify kidogo iendane na na struggle yetu najua Juliani hatamaindi 😃👏🏽 Haya wimbo huu ni kuimba kwa pamoja kesho 🔥 Sitasimama maovu yakitawala ✊🏽