Joseph Theophill
@theophilljoseph
PHYSICS & BIOLOGY(PB) TEACHER, POLITICAL AND SPORT AFFAIRS PUNDIT,HUSBAND,FATHER
ID: 739699621677682688
06-06-2016 06:05:07
12,12K Tweet
1,1K Followers
5,5K Following
Upo CHAUMMA lakini kila siku unazungumzia Chadema Tanzania una Akili kweli?Wewe ni sawa na Mwanamme alieachana na mwanamke kwa Talaka lakini kila siku unamuongelea,Tumia mda mwingi kuzungumzia chama chako.
Hukuwahi tangazwa Mshindi Ukiwa chama kikubwa na cheye wafuasi wengi Chadema Tanzania leo hii upo kwenye chama ambacho hakina hata wanachama 1000 nchi nzima,Huu ni ushamba wa siasa,
Tarehe 21.01.2025 ilikuwa ni siku Maalum ya ukombozi Kwa Chadema Tanzania Kutoka kuwa Succoss ya mtu mmoja na kuwa Taasisi ya watu,Malaya wa siasa ambao waliingia kwenye chama kwa mihemuko watatoka ila Wenye akili na walioingia kwa kuvutiwa na seea ya chama(Manifesto) watabaki,
Mkutano Mkuu wa CHAUMMA Tanzania uliofanyika tar 7/8/2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam #UwakilishiMakini #CHAUMMAforCHANGE