The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile
The Better You

@thebetteryou22

Trainings on Emotional intelligence | Leadership | Team building | Communication | Work life balance

ID: 1585853026476212225

linkhttps://mainstack.me/jiwa calendar_today28-10-2022 04:36:55

213 Tweet

211 Followers

125 Following

The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Asilimia 99 ya rafiki na waliokuzunguka wanapenda ufanikiwe Lakini kamwe usiwazidi. Sijui umeposwa,unasafiri,una gari,etc. Kuna watu wana JICHO la Husda. Ndugu yangu usiombe likupate Kila jambo utaishia njiani.Funga mdomo WAKO. #jiwahassan

Asilimia 99 ya rafiki na waliokuzunguka wanapenda ufanikiwe Lakini kamwe usiwazidi. Sijui umeposwa,unasafiri,una gari,etc. Kuna watu wana JICHO la Husda. Ndugu yangu usiombe likupate Kila jambo utaishia njiani.Funga mdomo WAKO. #jiwahassan
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Tuliowainua wanapambana kutuangusha. Tuliowaamini wametuchoma. Tuliowapenda wakatusaliti. Tuliojitoa kwa ajili yao tukaitwa CHAWA. Tumewapunguza wanasema TUNARINGA. Tukishindwa wanacheka tukishinda Wananuna. MARAFIKI HAWADUMU kuwa makini.#jiwahassan

Tuliowainua wanapambana kutuangusha. Tuliowaamini wametuchoma. Tuliowapenda wakatusaliti. Tuliojitoa kwa ajili yao tukaitwa CHAWA. Tumewapunguza wanasema TUNARINGA. Tukishindwa wanacheka tukishinda Wananuna. MARAFIKI HAWADUMU kuwa makini.#jiwahassan
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Je wapo wanaodhani tunawasahau tuliopambana nao kipindi kilee hatuna kitu. Kipindi tunagawana vipande vya mihogo? Hapana. Waliotuona ktk mapito magumu wanaelewa tunachomaanisha. Hastahiki ukaribu aliyekutenga na hakikisha unamkumbusha. Bless Up champs

Je wapo wanaodhani tunawasahau tuliopambana nao kipindi kilee hatuna kitu. Kipindi tunagawana vipande vya mihogo? Hapana. Waliotuona ktk mapito magumu wanaelewa tunachomaanisha. Hastahiki ukaribu aliyekutenga na hakikisha unamkumbusha. Bless Up champs
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Kuna UKWELI waliopo vyuo vikuu wakipambana Ili hatimaye wapate ajira au hata waweze kujiajiri. Kuna mambo kadhaa wasipozinduka yatakuja kuwatesa mno na wakapoteza DIRA ya hata walichosomea. Ni ukumbusho tu.

Kuna UKWELI waliopo vyuo vikuu wakipambana Ili hatimaye wapate ajira au hata waweze kujiajiri. Kuna mambo kadhaa wasipozinduka yatakuja kuwatesa mno na wakapoteza DIRA ya hata walichosomea. Ni ukumbusho tu.
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Ukitambua kuwa UHAI WA MWANADAMU unahitaji uhusiano na wengine basi hautoacha kujifunza Kuhusu WANADAMU. Na utaelewa nani wa kumvuta karibu na yupi wa kumuweka mbali. Msiba wa kujitakia haulazi matanga.#Jiwahassan

Ukitambua kuwa UHAI WA MWANADAMU unahitaji uhusiano na wengine basi hautoacha kujifunza Kuhusu WANADAMU. Na utaelewa nani wa kumvuta karibu na yupi wa kumuweka mbali. Msiba wa kujitakia haulazi matanga.#Jiwahassan
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Kati ya wajinga WATATU mmoja atakuwa ana afadhali, Lakini hili siyo Kwa WAPUMBAVU. WAPUMBAVU wapo sawa na Mpumbavu mmoja tu anatosha kuzamisha Kila lililojengwa. UPUMBAVU ni tabia. #jiwahassan

Kati ya wajinga WATATU mmoja atakuwa ana afadhali, Lakini hili siyo Kwa WAPUMBAVU. WAPUMBAVU wapo sawa na Mpumbavu mmoja tu anatosha kuzamisha Kila lililojengwa. UPUMBAVU ni tabia. #jiwahassan
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Kama Jana YAKO na LEO yako inaongozwa na tabia na MATENDO yaleyale. Basi kimsingi hakuna haja ya kuteseka Kwa mawazo na UNYONGE kama matokeo hauyapendi. Haiwezekani KUVUNA maembe kama ulichopanda ni MAYAI. Tatizo ni EGO na KUPUUZA.#Jiwahassan

Kama Jana YAKO na LEO yako inaongozwa na tabia na MATENDO yaleyale. Basi kimsingi hakuna haja ya kuteseka Kwa mawazo na UNYONGE kama matokeo hauyapendi. Haiwezekani KUVUNA maembe kama ulichopanda ni MAYAI. Tatizo ni EGO na KUPUUZA.#Jiwahassan
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Ninachokiona sasa..UGONJWA wa AKILI za kushinda mitandaoni na kuzungumza pumba pumba UNASHIKA Kasi. Sasa watu wanakata Masaa Ili KUMTUKANA au kutafuta UMBEA na AKIFA huzikwa na watu...TUNAAIBISHA TAIFA Kwa vichwa vya DAFU

Ninachokiona sasa..UGONJWA wa AKILI za kushinda mitandaoni na kuzungumza pumba pumba UNASHIKA Kasi. Sasa watu wanakata Masaa Ili KUMTUKANA au kutafuta UMBEA na AKIFA huzikwa na watu...TUNAAIBISHA TAIFA Kwa vichwa vya DAFU
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

Kila hatua upigayo Kuna mahala inakusogeza. Jiulize,Je inakusogeza SHIMONI au kuelekea MAFANIKIO? Hautoona utofauti wowote kama bado upo KUNDI la kuendeshwa na MATAMANIO na MIHEMKO.#jiwahassan

Kila hatua upigayo Kuna mahala inakusogeza. Jiulize,Je inakusogeza SHIMONI au kuelekea MAFANIKIO?  Hautoona utofauti wowote kama bado upo KUNDI la kuendeshwa na MATAMANIO na MIHEMKO.#jiwahassan
LUSAJO (@sajo_mwaihabi) 's Twitter Profile Photo

Happy birthday to you LUSAJO, Mungu akupe Maisha marefu yenye baraka nyingi. Abariki Vipawa vyako zaidi, ili VIWASAIDIE wengi walio nyuma yako. Usiache kumpenda MUNGU na watu wake, usiache Kuipenda nchi yako na Taifa lako. Wewe UMEBEBA hazina ya TAIFA. Happy birthday LUSAJO

Happy birthday to you LUSAJO, Mungu akupe Maisha marefu yenye baraka nyingi.

Abariki Vipawa vyako zaidi, ili VIWASAIDIE wengi walio nyuma yako.

Usiache kumpenda MUNGU na watu wake, usiache Kuipenda nchi yako na Taifa lako.

Wewe UMEBEBA hazina ya TAIFA. 

Happy birthday LUSAJO
LUSAJO (@sajo_mwaihabi) 's Twitter Profile Photo

Mh. Jokate Mwegelo hongera kwa majukumu. Nimesimama kwa niaba ya vijana wengi waliokosa ajira na wanapambana KIUCHUMI. Vijana wengi wako mtaani na wengi wanahitaji kujifunza UJUZI mbalimbali ili waweze Kufanikiwa KIUCHUMI na kuzikwamua familia zao na jamii zao. Binafsi, niemejitoa

Mh. <a href="/jokateM/">Jokate Mwegelo</a> hongera kwa majukumu.

Nimesimama kwa niaba ya vijana wengi waliokosa ajira na wanapambana KIUCHUMI. 

Vijana wengi wako mtaani na wengi wanahitaji kujifunza UJUZI mbalimbali ili waweze Kufanikiwa KIUCHUMI na kuzikwamua familia zao na jamii zao.

Binafsi, niemejitoa
LUSAJO (@sajo_mwaihabi) 's Twitter Profile Photo

Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu shkamoo ๐Ÿ™๐Ÿพ Mimi ni kijana wa Kitanzania niliyejiajiri katika ofisi yangu, lakini pia ninajishughulisha na maswala ya Biashara na Masoko. Kubwa zaidi ninatoa elimu mbalimbali kuhusu Biashara kwa jamii yangu ya

Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Dr. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> shkamoo ๐Ÿ™๐Ÿพ

Mimi ni kijana wa Kitanzania niliyejiajiri katika ofisi yangu, lakini pia ninajishughulisha na maswala ya Biashara na Masoko.

Kubwa zaidi ninatoa elimu mbalimbali kuhusu Biashara kwa jamii yangu ya
The Better You (@thebetteryou22) 's Twitter Profile Photo

UTASINDIKIZA WENGINE hadi Lini. USIPITWE na Hii semina Tutajifunza yafutayo. 1. Utofauti wa Malengo na Matamanio. 2. Kwanini Kila unapofanya jambo halikamiliki 3. Kukosa MSUKUMO WA NAFSI na kipi ufanye 4. Kupewa Ushuhuda binafsi na mbinu zilizotumika. (JISAJILI SASA)

UTASINDIKIZA WENGINE hadi Lini.
USIPITWE na Hii semina

Tutajifunza yafutayo.

1. Utofauti wa Malengo na Matamanio.
2. Kwanini Kila unapofanya jambo halikamiliki
3. Kukosa MSUKUMO WA NAFSI na kipi ufanye
4. Kupewa Ushuhuda binafsi na mbinu zilizotumika.
(JISAJILI SASA)
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Sisi waislamu tumepata faida kwa kipindi hiki kifupi. Dini yetu na Mungu wetu amesaidia mmoja wa waamini wetu ameshika usukani wa nchi ya Tanzania, naye ni Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa kiongozi wa Tanzania, maana yake ni nini? Kama mama huyu asingekuwa ametengenzwa

"Sisi waislamu tumepata faida kwa kipindi hiki kifupi. Dini yetu na Mungu wetu amesaidia mmoja wa waamini wetu ameshika usukani wa nchi ya Tanzania, naye ni Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa kiongozi wa Tanzania, maana yake ni nini? Kama mama huyu asingekuwa ametengenzwa