Abdul Nondo 🇹🇿
@abdulnondo2
ID:908058232484233219
13-09-2017 20:02:08
24,4K Tweets
122,2K Followers
2,4K Following
Ahsante sana Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kwa imani uliyo nayo kwa Vijana. Umekuwa Kiongozi wa kupigiwa mfano katika kuinua Vijana kuzifikia ndoto zao. 90% ya Vijana tulivutiwa na kujiunga na siasa za Mageuzi kutokana na Ujasiri, Hoja na misimamo yako.
Hatutokuangusha📌
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa Ndugu Abdul Nondo 🇹🇿 atakuwepo. Tukutane Zanzibar
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official wa chama cha ACTWazalendo litafanyika Kesho trh 21 Aprili katika Ukumbi wa #PiccaDillyHall -Kombeni ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Othman Masoud Othman, M'Kiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.
#10MamlakaKamili
#Ngomeikokazini
#TwenzetuZanzibar
KUMEKUCHA ZANZIBAR
Ngome ya vijana_Official Taifa inawaalika Vijana wote kuhudhuria Kongamano la Vijana litakalofanyika Kesho 21 April Visiwani Zanzibar ambapo Mgeni Rasmi atakuwa ni Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa Mhe. Othuman Masoud
#10MamlakaKamili
#Ngomeikokazini
#TwenzetuZanzibar
KUMEKUCHA ZANZIBAR
Ngome ya vijana_Official Taifa inawaalika Vijana wote kuhudhuria Kongamano la Vijana litakalofanyika Kesho 21 April Visiwani Zanzibar ambapo Mgeni Rasmi atakuwa ni Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa Mhe. Othuman Masoud
#10MamlakaKamili
#Ngomeikokazini
#TwenzetuZanzibar
Mashabaki wakifuatilia kwa ukaribu mechi kati ya Mwanga United Vs Majengo FC katika Uwanja wa Kawawa ,League ya Wazalendo CUP inayoratibiwa na Ngome ya vijana_Official Mkoa wa Kigoma kuelekea Maadhimisho ya kuzaliwa kwa chama chetu ACT-DAY tar.5/05/2024.
Mashabaki wakifuatilia kwa ukaribu mechi kati ya Mwanga United Vs Majengo FC katika Uwanja wa Kawawa ,League ya Wazalendo CUP inayoratibiwa na Ngome ya vijana_Official Mkoa wa Kigoma kuelekea Maadhimisho ya kuzaliwa kwa chama chetu ACT-DAY tar.5/05/2024.
Abdul Nondo 🇹🇿 Unastahiki zawadi hiyo Abdul Nondo 🇹🇿 kwa sababu unapenda kusoma. Naamini maarifa utakayoyapata na tafakuri utakaoifanya ya yale yaliyomo kwenye vitabu hivyo itakujenga kuwa kiongozi mzuri zaidi. #Tusome .
Shukrani zangu za dhati kwa Makamu Mwenyekiti wetu wa chama Zanzibar ndug. Ismail Jussa kwa zawadi hii kubwa ya vitabu.Chama chetu kinaamini katika maarifa na kujisomea ili kuwa na fikra pevu katika Ujenzi wa Chama chetu,Taifa letu na Jamii yetu.Ahsante sana Senior Ismail Jussa
Jamii Forums and Twaweza - ni sisi brings you a new forward-looking edition of Stories of Change for 2024 - “Tanzania Tuitakayo”
Abdul Nondo 🇹🇿 Jokate Mwegelo CHADEMA Tanzania
Shukrani zangu za dhati kwa Makamu Mwenyekiti wetu wa chama Zanzibar ndug. Ismail Jussa kwa zawadi hii kubwa ya vitabu.Chama chetu kinaamini katika maarifa na kujisomea ili kuwa na fikra pevu katika Ujenzi wa Chama chetu,Taifa letu na Jamii yetu.Ahsante sana Senior Ismail Jussa