Gari umeinunua Ulaya milion 6, serikali ya Samia Suluhu inachukua kodi milion 16 kwenye gari ulilonunua milion 6. Huu ni ujambazi unaofanywa na serikali TRA Tanzania. Gari hili Zambia, Malawi, DRC kodi unalipia milion 3 tu. Hii serikali tunapaswa kuiondoa hata kwa nguvu ya Umma.
Happy Birthday Sir 🎂💐
#MaxTheMovie Update Kodi Sir haage #KKTheFilm Udapre Date kodi Once again Happy Birthday 🎂🥂 Producer Sir Karthik Gowda
Happiest Birthday Karthik Gowda Sir❤️🥳!!!
Ide Kushi ge ond update Kodi 😁
Kichcha Sudeepa #MaxTheMovie #KK #KingKichcha #KingKiccha #KicchaBOSS𓃵 #KicchaSudeep
Jana tuliandika hapa kuhusu kodi kubwa 150% zinazotozwa na serikali ya Samia Suluhu unapoagiza gari nje. Kuna wanaosema kodi kubwa inasababishwa na umri wa gari linalozidi miaka 10. Gari hilohilo toleo la 2015 ambalo liko chini ya miaka 10 kodi yake ni milion 25 unafuu uko wapi?
⚫️Wafanyakazi wamechangia mapato ya kodi ya shilingi Trilioni 12.4 kwa kipindi cha miaka mitano.
⚫️Asilimia 60 ya wafanyakazi wanalipwa kiwango kisichozidi laki 5.
⚫️Wafanyakazi wanaolipwa mishahara inayozidi shilingi milioni 1.5 ni asilimia tano tu.
#MeiMosi2024