Jambo 𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 la Wananchi na Air Tanzania litaanza hivi punde🔰💪🏽
Tutakuwa 𝐋𝐈𝐕𝐄 Yanga TV (YouTube)
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
'Young Africans SC sasa ni rasmi itatangaza biashara na huduma za Ndege ya Air Tanzania, Ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Kazi kubwa inayofanywa na Serikali yetu ni kazi ambayo inapaswa kutangazwa vyema ili Watanzania wapate kujua kuhusu huduma bora za Air Tanzania Rais wa…
Usafiri wa anga Tanzania ni anasa. Sijawahi kuelewa akili za Magufuli serikali kuhodhi soko la biashara ya anga ambayo imewashinda. Air Tanzania - Twiga comfort nauli ni Tsh 636,000 kutoka DSM - Kigoma. Mwaka 2017 wandewa tulipaa angani kwa bei ya Tsh 69,000. Serikali ya kihuni.
Kwanza Pole sana kwa huyu Mdau, amejaribu kuwabeba Air Tanzania Lakini lao analia, anamsongo anaongea kwa uchungu
-- ATC wame cancel ndege kutoka CHINA wametelekeza abiria,
-- Hakuna huduma ya Hotel
-- Hakuna utaratibu wa kusaidia VISA
-- Hakuna maafisa ubalozi Airport
--…
CAG anasema hakuna mjumbe ndani ya bodi ya Air Tanzania mwenye ujuzi na uzoefu katika masuala ya usafiri wa anga. Mwenyekiti wa bodi na mkurugenzi ATCL wanateuliwa na RAIS. Wajumbe wa bodi wanateuliwa na WAZIRI. Kuna wakati unasema nchi yetu ni ghetto inaendeshwa kwa autopilot.
Kuwasili kwa Boeing 737 Max 9 kutalifanya shirikia la ndege Tanzania ( Air Tanzania ) kuwa na jumla ya ndege 14.
#JotoLaAsubuhi Cc Madenge Masanja Irene Killenga
🎥 Mtanzania anayeishi nchini China Issa Azam ameomba radhi baada ya kupost video kwenye ukurasa wake wa instagram kuhusu abiria wa Air Tanzania kutelekezwa Guangzhou, China✍️
Uongozi wa Air Tanzania ulitoa taarifa kwa umma na kukanusha uvumi wa taarifa hizo.
#KitengeUpdates
'Leo Young Africans SC tumeingia ushirika na Shirika la Ndege la Air Tanzania ambapo tutaitangaza biashara ya Air Tanzania Ushirika huu unahusisha punguzo la bei kwenye safari zetu ambazo tutafanya na shirika hili. Hatuwezi kuona huduma ya Air Tanzania inafanyika bila sisi…