Eng. Hersi Said
@Caamil8
President @YoungAfricansSC | Director of Investment GSM Group.
ID:1259017792793325571
http://yangasc.africa 09-05-2020 07:10:21
208 Tweets
140,8K Followers
118 Following
Nikichota busara na baraka za mzee wetu wakati wa sherehe za EID EL FITRY nyumbani kwake, Uzunguni - Dodoma.
Mzee John Samuel MALECELA, atatimiza miaka 90 siku ya 20th April 2024 akiwa ameizidi klab ya Young Africans SC takriban siku 296 toka kuanzishwa kwake mnamo tarehe 11th…
The SUN is YELLOW…. The LAND is GREEN….. The colors of the universe! Young Africans SC
Mkataba baina ya Young Africans SC na NIC INSURANCE wa “Player of the month” wenye thamani ya 900m kwa kipindi cha miaka mitatu.
Haya ni mafanikio makubwa kwa pande zote mbili katika kutangaza bidhaa za kiBima na kujenga ushindani kwa wachezaji wetu.
NIC “sisi ni bima”
Honored to handover the Young Africans SC kit to Hon. Minister for Sports - RWANDA.
The kit is a special gift to Hon. Paul Kagame The President of RWANDA.
Thank you RWANDA, mpaka wakati mwingine, INSHALLAH!
Mzee JABIRI KATUNDU.
Hazina ya Historia ya klab yetu ya Young Africans SC huku akiwahi kushikilia nyadhifa za juu klabuni.
Katibu mkuu 1962-66
Mwenyekiti 1992-96
Mjumbe wa bodi ya wadhamini mpaka 2021
91 years old ( masha allah ) na madini mengi 🙌🏽
Nikiwa na VP Arafat A Haji Afisa habari wetu Ali Kamwe Godlisten chicharito Kipanduka Alwatan #ishmael_94 tukitazama mchezo wa kirafiki.
Ahsanteni sana Kaizer Chiefs kwa kukubali mualiko wetu.
Young Africans SC #wananchi tunasema AHSANTENI SANA!
Huu ni mwanzo wa ushirikiano wetu katika maendeleo ya soka kwa ujumla wake.
Amakhosi Amahle.
Abafana bokuthula no xolo.
Abafana bo Thando
Kaizer Motaung Jr