Rugemeleza Nshala (@rugemeleza) 's Twitter Profile
Rugemeleza Nshala

@rugemeleza

The best days are ahead of us!

ID: 210027393

calendar_today30-10-2010 12:06:33

472 Tweet

4,4K Takipçi

194 Takip Edilen

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

My President & GC—we need to challenge and obtain a ban for cops to wear masks in court & public places. Kama wanataka kuwa mazombi waache kazi ya umma. Na waache ulimbukeni. This should be the irreducible minimum.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Wale VIBAKA wa magereza wanajifanya wanavaa kama maninja kumbe ni VIBAKA tuu. Na ule uvaaji ndio unawapa VIBURI na kufanya vitendo vya kinyama Kwa Mh. LISSU. Sasa kama mnataka hekaheka nendeni CONGO. Asante Wakili wetu Rugemeleza Nshala kutuwakilisha kulisemea hili. TUTAKUWEPO🫵🏾😎

MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

KIMEWAKA! MAWAKILI WA LISSU WACHARUKA, WAITAKA MAHAKAMA KUTOA TAMKO LISSU KUSUKUMWA NA ASKARI NINJA Tazama Video: youtu.be/LsWoBrDljKk

KIMEWAKA! MAWAKILI WA LISSU WACHARUKA, WAITAKA MAHAKAMA KUTOA TAMKO LISSU KUSUKUMWA NA ASKARI NINJA 
Tazama Video: youtu.be/LsWoBrDljKk
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

#enforceddissapearances #Tanzania Two friends Siza and Anthony have been abducted when they were travelling from Tarime to Tabora! Their “disappearance” is definitely suspicious as their car was found “abandoned” This needs to stop and Samia Suluhu needs to #EndAbductionsTz Cc

Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Nyinyi mnaona ni binadamu asiyefaa, mnajiona nyinyi ni bora zaidi (First Class Citizens). Sisi huyu ni ndugu yetu kabisa!, Jumapili ya leo Mungu atendelee kukupigania huko uliko wewe na ndugu zetu wengine!!

Nyinyi mnaona ni binadamu asiyefaa, mnajiona nyinyi ni bora zaidi (First Class Citizens). 

Sisi huyu ni ndugu yetu kabisa!, Jumapili ya leo Mungu atendelee kukupigania huko uliko wewe na ndugu zetu wengine!!
Mpale Mpoki (@mpalempoki) 's Twitter Profile Photo

Na hilo rungu mgongoni ni sehemu ya sare ya magereza ? Na iko gazetteed kama sare ya magereza kiasi cha kuruhusiwa mahakamani ?

Na hilo rungu mgongoni ni sehemu ya sare ya magereza ? Na iko gazetteed kama sare ya magereza kiasi cha kuruhusiwa mahakamani ?
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Ndio maana tunataka reforms ili tubadilishe Nchi hii kutoka kwenye mfumo hodhi wa kikundi cha watu wachache. #NoReformsNoElection

Rugemeleza Nshala (@rugemeleza) 's Twitter Profile Photo

Ni rahisi kwangu kumuamini Al Saaf wa Sadam Hussein lakini si kauli zako wewe na Tume isiyo huru. Uongo huo kawaambie walioleweshwa Chang'aa.

Rugemeleza Nshala (@rugemeleza) 's Twitter Profile Photo

Kugawa baiskeli, pikipiki, skafu na hata chupi za jina la mgombea ubunge na uraisi ni rushwa na ni sifa tosha ya kumuengua mgombea huyo. Mgombea mmoja wa CCM kagawa hivyo vyote nchi nzima, Tume isiyo huru na Takukuru hawayaoni hayo. Vyama pandikizi vya CCM haviwezi hata kukemea.

Rose Mayemba (@rose_mayemba) 's Twitter Profile Photo

Kuna idadi kubwa ya vijana walioko Facebook, Instagram na Tik tok, hasa wale wanaokosoa utawala wa Samia wanatekwa na kupotezwa kila siku. Kuua, kuteka na kupoteza kwa sababu ya Madaraka umekuwa ni utamaduni unaotaka kukithiri sasa. Tunatoa wito kwa wauaji na watekaji, acheni

Kuna idadi kubwa ya vijana walioko Facebook, Instagram na Tik tok, hasa wale wanaokosoa utawala wa Samia wanatekwa na kupotezwa kila siku.
Kuua, kuteka na kupoteza kwa sababu ya Madaraka umekuwa ni utamaduni unaotaka kukithiri sasa.

Tunatoa wito kwa wauaji na watekaji, acheni
Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

KANISA LISILOKEMEA UOVU NA DHULUMA KATIKA TAIFA NI KANISA LA SHETANI. Asante sana kwa mchango mzuri sana. Nimeongeza maelezo hayo mawili kwa mtiririko na mtazamo ule ule wa awali, na kuiboresha zaidi kuwa ujumbe wenye msimamo wa kiroho na kijamii. Hapa chini ni toleo

KANISA LISILOKEMEA UOVU NA DHULUMA KATIKA TAIFA NI KANISA LA SHETANI.

Asante sana kwa mchango mzuri sana. Nimeongeza maelezo hayo mawili kwa mtiririko na mtazamo ule ule wa awali, na kuiboresha zaidi kuwa ujumbe wenye msimamo wa kiroho na kijamii. Hapa chini ni toleo
Patrick Ole Sosopi (@patricolesosopi) 's Twitter Profile Photo

“Mhe. Tundu Lissu amepigwa risasi 38 amezunguka amepona, leo hii amepewa kesi ya uhaini sababu nikuzungumzia mabadiliko ni haki yake na mabadiliko hayaepukiki” Mhe. Eng. James Mbatia, NCCR MAGEUZI.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Tukiwaambia kuna vyama vinajiita vya UPINZANI vimelipwa mapesa na IDI AMINI MAMA kusafisha UCHAFUZI muwe waelewa. Imagine huu ni uchaguzi wao wa Ndani, watu wanataka KUTOANA ROHO hivi. Afu kuna vyama vimeahidiwa vitapewa baadhi ya majimbo na viti maalumu. Yani nani atakubali