Reuben Kingamkono (@reubenking89210) 's Twitter Profile
Reuben Kingamkono

@reubenking89210

ID: 1655842095779786753

calendar_today09-05-2023 07:48:57

289 Tweet

92 Followers

128 Following

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

USHIRIKA WA WACHAWI HUWA HAUDUMU. Mungu wetu ni mkubwa sana, Kuna chawa alijifanya ananifahamu sana mimi pamoja na Wanaharakati wengine ambao tunawindwa. Sasa juzi kati Abdul akampa pesa ya advance kwa makubaliano kwamba atawaonyesha Vijana wa Abdul mahali anakoishi kila

USHIRIKA WA WACHAWI HUWA HAUDUMU.

Mungu wetu ni mkubwa sana, 

Kuna chawa  alijifanya ananifahamu sana mimi pamoja na Wanaharakati wengine ambao tunawindwa.

Sasa juzi kati Abdul akampa pesa ya advance kwa makubaliano kwamba atawaonyesha Vijana wa Abdul mahali anakoishi kila
MwanzoTV (@mwanzotv) 's Twitter Profile Photo

#TANZANIA: LAWYER ROBERT AMSTERDAM RAISES CONCERN OVER LISSU’S DETENTION CONDITIONS Renowned American lawyer Robert Amsterdam, who is part of Tundu Lissu’s legal team, has raised concern over the Tanzanian opposition leader’s detention, saying he is being held in isolation in

#TANZANIA: LAWYER ROBERT AMSTERDAM RAISES CONCERN OVER LISSU’S DETENTION CONDITIONS
Renowned American lawyer Robert Amsterdam, who is part of Tundu Lissu’s legal team, has raised concern over the Tanzanian opposition leader’s detention, saying he is being held in isolation in
Thadei Mhabuka (@mhabukat) 's Twitter Profile Photo

Sisi wananchi tunafarijika sana tuonapo ukiwa na tabasamu hata tunajua huko unateseka unalala mazingira magumu nchi yetu mtu mwema kama wewe upo gerezani kwa makosa ya uongo ila muuaji wauaji ndio wamejiweka madarakani sisi yunakuombea kiongozi wetu afya njema urejee uraiani.

Sisi wananchi tunafarijika sana tuonapo ukiwa na tabasamu hata tunajua huko unateseka unalala mazingira magumu nchi yetu mtu mwema kama wewe upo gerezani kwa makosa ya uongo ila muuaji wauaji ndio wamejiweka madarakani sisi yunakuombea kiongozi wetu afya njema urejee uraiani.
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Kutumia media uchwara kujaribu kufanya agenda setting sio kwa kizazi hiki.. Kizazi cha internet kinajua Mpaka Ulaya watu wanavyoishi na wanavyopigania haki.. Ujinga Kama huu ulifanyika kabla ya uchafuzi wenu wa mwaka jana . Mwisho mliishia kuua maelfu ya watu. Watanzania sio

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️ 🚨 MFUMO WA UHAMIAJI UME COLLAPSE ‼️ Jamani hali bado haijatengamaa ila tatizo ni KUBWA Kwa mujibu wa mtoa taarida mfumo unaonekana kuharibiwa kwa makusudi kwani umefuta kumbukumbu zote za paspoti, visa, na hata mipakani kuingia. Ni kwamba taarifa zote kuanzia mwaka 2025

‼️ 🚨 MFUMO WA UHAMIAJI UME COLLAPSE ‼️
Jamani hali bado haijatengamaa ila tatizo ni KUBWA 
Kwa mujibu wa mtoa taarida mfumo unaonekana kuharibiwa kwa makusudi kwani umefuta kumbukumbu zote za paspoti, visa, na hata mipakani kuingia. Ni kwamba taarifa zote kuanzia mwaka 2025
Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Tume ya Uchunguzi wa Vurugu za Oktoba 29, 2025 imetembelea wahanga wa matukio hayo, ambapo wote wamewasilisha ushahidi wa viapo.

Hilary Biduga (@bidugahilary) 's Twitter Profile Photo

Inawezekana sauti za watu hawa na za wengine wengi wenye maoni kama haya kuhusu ⁦Tundu Antiphas Lissu, ziwe ni sauti zisizo na maana kwa viongozi wanao husika na hili suala. Iweje ⁦Bunge la Tanzania⁩ na viongozi wa ⁦Chama Cha Mapinduzi⁩ hakuna sauti yoyote inayo zungumzia suala hili.

Inawezekana sauti za watu hawa na za wengine wengi wenye maoni kama haya kuhusu ⁦<a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>, ziwe ni sauti zisizo na maana kwa viongozi wanao husika na hili suala. Iweje ⁦<a href="/bunge_tz/">Bunge la Tanzania</a>⁩ na viongozi wa ⁦<a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a>⁩ hakuna sauti yoyote inayo zungumzia suala hili.
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

BREAKING NEWS Watangazaji hawa wa Radio Kyela FM 1. Tumsifu Nsangalufu katina. 2. Emmy Eliud Haisule. Wamekamatwa na jeshi la Polisi mchana wa leo na muda huu wanasafirishwa kutoka Kyela kuelekea Mbeya, wanatuhumiwa kusoma Taarifa hii iliyoandikwa na gazeti la Mwanahalisi

mtu wawatu (@johnmbura2) 's Twitter Profile Photo

Samia na CCM yako unaweza kutwambia kwanini mnaendelea kumshikilia mh Tundu Antiphas Lissu au mnatuona matako yenu kila siku tunavyo wambia tunataka mumuachie mh Tundu Antiphas Lissu zawadi yenu yakuendelea kukakaa nae inakuja endeleeni kukaza shingo

Samia na CCM yako unaweza kutwambia kwanini mnaendelea kumshikilia mh <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> au mnatuona matako yenu kila siku tunavyo wambia tunataka mumuachie mh <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> zawadi yenu yakuendelea kukakaa nae inakuja endeleeni kukaza shingo
Mbishi ⚖ (@bizy94) 's Twitter Profile Photo

Wameandika🚨🔥 American Bar Association Center for Human Rights. Lissu ameshafungwa zaidi ya mwaka mmoja gerezani kwa kosa la uhaini lililozushwa tu kwa kuomba mageuzi ya uchaguzi huru. Serikali ya ya nduli amini mama Samia Suluhu na Mahakama ya Tanzania zimegeuza hotuba ya kisiasa

Wameandika🚨🔥
American Bar Association Center for Human Rights.

Lissu ameshafungwa zaidi ya mwaka mmoja gerezani kwa kosa la uhaini lililozushwa tu kwa kuomba mageuzi ya uchaguzi huru.

Serikali ya ya nduli amini mama <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> na <a href="/judiciarytz/">Mahakama ya Tanzania</a> zimegeuza hotuba ya kisiasa
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️🚨BREAKING NEWS CHADEMA FREE TO CONTINUE POLITICAL ACTIVITIES - COURT RULES‼️ The Court of Appeal in Dodoma has ruled that the only real opposition party Chadema Tanzania that was illegally banned from conducting political activities last year is now free to conduct activities as it

‼️🚨BREAKING NEWS CHADEMA FREE TO CONTINUE POLITICAL ACTIVITIES - COURT RULES‼️
The Court of Appeal in Dodoma has ruled that the only real opposition party <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> that was illegally banned from conducting political activities last year is now free to conduct activities as it
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Hongereni sana Chadema. Sasa kazi ipigwe mpaka wapaniki tena…….. Tunachokitaka kwenye nchi yetu ni haki, haki ya wananchi kuchagua madiwani wao, wabunge wao, Rais wao na chama chao. Tunataka haki ya uchaguzi huru na wa haki. HAKUNA AMANI BILA HAKI. HAKI KWANZA AMANI ITAFATA

Hongereni sana Chadema. Sasa kazi ipigwe mpaka wapaniki tena……..

Tunachokitaka kwenye nchi yetu ni haki, haki ya wananchi kuchagua madiwani wao, wabunge wao, Rais wao na chama chao. Tunataka haki ya uchaguzi huru na wa haki. 

HAKUNA AMANI BILA HAKI. HAKI KWANZA AMANI ITAFATA
MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Rugemeleza Nshala, ametangaza kuwa chama hicho kiko huru kufanya kazi zake nchi nzima kuanzia leo, Aprili 15. Kauli hiyo imetolewa makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam, mara baada ya mahakama kutengua amri ya zuio iliyokuwa imetolewa awali

khalifa said #PALESTINE 🇵🇸 ☭🌹 (@thatboykhalifax) 's Twitter Profile Photo

mimi pia nawasihi watanzania, wanaoweza, waichangie chadema. tunafaidika moja kwa moja tukiwa na upinzani imara, unaoweza kuishika mapembe ccm na serikali yake, hususan kwenye sera na matendo yake ya kionevu na kikandamizaji dhidi yetu w'nchi. tujihimu: