Mh prof kwetu goba maji tunapatiwa kwa mgao lakini ikifiks zamu yetu dawasco kawe hatupatii maji kwingine eneo la jirani wanapata Kila siku ambayo amepangiwa .wametuhaidi kesho au jumamosi sijui kama tutapata.
Ndo @IamJongwe__ aliwaambia watu wa design hii "Unasifia mpk tajiri ananuna!" Kama huyu jamaa kasetiwa wajue wameharibu. Kama alijipangia na kuchanganyikiwa bado kaharibu. Hii ni fedheha na wasaidizi wawe makini wasimweke Rais ktk situation kama hii #ChangeTanzania
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesema amekamilisha uchunguzi wa sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji ‘Mo’ na kesho atazungumza. bit.ly/2EnyJ8h
Serikali ni mifumo (systems). Mifumo ina taratibu zake & wasemaji wake. Panapozuka wapambe lukuki kuvishwa usemaji & utetezi dhaifu wa Mtawala & Serikali ni ushuhuda tosha wa kufa kwa mifumo. Ni utawala nje ya mfumo. Only in Tz. "Mfalme na Utawala wake wako uchi". Muda utaongea!
Raisi hajiweki mwenyewe madarakani. Ama anawekwa kwa nguvu ya umma au kwa nguvu ya silaha (Jeshi). Kitandawili ni kwamba hakuna mtu aliyebaki Raisi milele, wanatoka tu. Anayetegemea nguvu ya silaha kuingia na kubaki madarakani hua anatolewa kwa nguvu hiyo hiyo. That’s life! 🤣
Kwamba viongozi wa dini hakuna aliemwambia rais kuhusu hali mbaya ya uchumi? Mifumo mibovu ya kiuchaguzi, mauaji kwenye chaguzi,ubinywaji wa demokrasia, ajira mpya na mishahara ya watumishi kuongezeka ili kuwepo na ufanisi?katiba mpya!!!!! Tuna matatizo makubwa zaidi.
Nimehuzunishwa na kifo cha Teddy Mapunda. Tumepoteza Mwanamke hodari, mchapakazi, mbunifu, mahiri na aliyedhibitisha kwa vitendo kuwa Wanawake wanaweza. Nitamkumbuka kwa jinsi alivyojitoa kwa Chama na Serikali na alivyoipenda nchi yake. Mungu amweke mahali pema peponi, Amina