Patrick Matondo
@patrickmatond11
ID: 989361076801298432
26-04-2018 04:30:36
745 Tweet
146 Followers
1,1K Following
Luhaga Mpina Kwa muda uliohudumu Jimbo la Kisesa inatosha kaka, umekuwa Naibu Waziri na Waziri kamili,mshukuru MUNGU kwa hatua hiyo. Toa nafasi kwa Watu wengine nao kutoa Utumishi wao kwa wana Kisesa.
VIDEO: Wazee wa kimila pamoja na Machifu mkoani Morogoro wamefanya tambiko maalum kwa ajili ya kumpokea na kumuombea mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kampeni zake mkoani humo.
VIDEO: Naibu Katibu Mkuu wa Twariqa Tanzania, Sheikh Haruna Hussein, ametoa onyo kwa aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba na kada wa Chama Cha Mapinduzi Humphrey Polepole akimtaka kuacha mara moja kutoa kauli ambazo amedai zinalenga kuchafua viongozi akiwemo Rais Mstaafu wa