Haki 🇹🇿Taifa ♻🐦
@mfuasi2014
Utaacha Legacy gani Baada ya Muda Wako Kuisha Hapa Duniani Watu Wataangalia Maisha Uliyoishi Kwenye Miaka yako Sio Miaka Uliyoishi Kwenye Maisha Yako (RIP ENL)
ID: 2769016439
13-09-2014 15:45:13
5,5K Tweet
849 Followers
89 Following
Mange Kimambi Mange Niko hapo na sikuweza kufanya chochote zaidi ya kutafuta bajaji na kumbebea huyo kijana aliyepigwa hapo chini (master polltable) nyamagama garden.
Mange Kimambi Baadae jeshi lilifika hapa hili ni Ganda la risasi tulipowaonyesha wanajeshi wakasema ni risasi ya mpira, nimeshindwa kupots video maana ina saut yangu Niko narudi DSM kuzika ndugu yangu (Niko tayar kufa pia kwajili ya Tanganyika na haki)💪🥺
Mange Kimambi Ukiwa nyegezi Kuna jengo la kamanga medics hospital 🏥 linajengwa na halijakamilika kulikuwa na sniper hapo aliua pia watu sio hadith ni kweli tupu na hakukuwa na cha kufanya 🥺
Mange Kimambi Tunadanganywa idadi kwamba ni 700 no ni zaidi ya watu 10k+ wamekufa uchunguzi huru ukifanyika utabaini, dams hakuna mtaa hajafa Mtu achilia mbali mauwaji ya hailiki mjini
Mange Kimambi 🥺🥺🙏 Our heros The true patriots Died front line🥺🙌
Maria Sarungi Tsehai Police Force TZ ACTWazalendo Nina mfahamu huyu mama frank alikuwa MUUZA dagaa sirasi dada Maria Sarungi Tsehai amenikuza Sana alikuwa rafiki yake na mama Sana Miaka hiyo🥺🥺🥺🙌