MEKU
@meku_06
|God fearing⛪|Nature's follower 🌟|Fc barcelona|~Actually i am the sperm that won the race!💪~
ID: 1156071379600625664
30-07-2019 05:17:50
4,4K Tweet
670 Takipçi
1,1K Takip Edilen
Nitakua wa mwisho kuamini kua kwa msimu wa 2024/25 Young Africans SC itacheza mchezo mwengine wa Derby zaid ya uliokua umepangwa tar 8/03/2025
Godbless E.J. Lema Zoezi linaoendelea la kuandikisha wapiga kura, kwenye vituo viwili nilivyopita kuna wajumbe wa CCM wanakaa ndani ya vituo, mtu akishamaliza kujisajili na kupata kitambulisho, wao wanachukua kitambulisho chake na wana-copy Jina lako na namba ya kitambulisho kwenye madaftari yao.
Mwananchi Newspapers FIFA kindly be informed that the Tanzanian Government is interfering with football disputes violating FIFA rules and regulations. TFF TANZANIA and Ligi Kuu have adulterated football rules and regulations by postponing the Kariakoo derby on March 8th 2025.
Maria Sarungi Tsehai Police Force TZ Sadly wapo wanaoamini ya kwamba wanaotaabika na Haki ni Upinzani tu, au ni watu wa Chadema pekee, bila ya kutafakari ukandamizaji ni mfumo ulivyo, hauko kutenda haki, bali kukandamiza, baadhi yao mpk yawakute ndio hupata kuelewa. We need everyone on deck, so we'll win together
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Tanzania Tundu Lissu amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kuwa ajumuishwe kama mdaiwa katika kesi ya Mgawanyo wa Mali inayokikabili chama chake. Jambo TV imezungumza na Mkurugenzi wa
Latest word on Nate The Lawyer. "Surgery was successful. Still waiting to see him. He’s in recovery" It's looking good! Thank you all so much for your prayers and support!