Muda mchache nitawawasili Bukoba kwa ajili ya maandamano. Nitakuwa mstari wa mbele sana kuonyesha njia.
#Victoria_Inahitaji_Mabadiliko
Maandamano yanaanzia Mafumbo Center na kuishia uwanja wa Mashujaa. Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe ataongoza maandamano hayo. Muda mchache ujao maandamano yataanza.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Maandamano yanaanzia Mafumbo Center na kuishia uwanja wa Mashujaa. Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe ataongoza maandamano hayo. Muda mchache ujao maandamano yataanza.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Bado mda mchache usikose kufuatilia X space kupitia link hii
x.com/i/spaces/1Mnxn…
Togolani Mavura
fatma karume aka Shangazi