MBUZEKONGIRA (@mbuzekongira) 's Twitter Profile
MBUZEKONGIRA

@mbuzekongira

Mind is a fire to be kindled.

ID: 1153058163379376129

calendar_today21-07-2019 21:44:23

4,4K Tweet

146 Followers

900 Following

#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’ (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

Nimesoma comments zote Elfu nne za Instagram, na comments 800 za Twitter, Kuhusu lile swali langu la jana ๐Ÿ’” ๐Ÿฆ… Comments nyingi zimemtaja #JPM Hii inadhihirisha Mr. President alipendwa sana.

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Kwako Tundu Antiphas Lissu .Wananchi tunakuombea uwe na uwezo wa ku blockout the noise na ku-stay focused. . Wewe ndio aina ya kiongozi aliehitajika at this very moment. . Hatma ya Chadema iko mikononi mwa wananchi wa kawaida. You have our full support kwenye no reforms no elections.

Kwako <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> .Wananchi tunakuombea uwe na uwezo wa ku blockout the noise na ku-stay focused. 
.
Wewe ndio aina ya kiongozi aliehitajika at this very moment. 
.
Hatma ya Chadema iko mikononi mwa wananchi wa kawaida. You have our full support kwenye no reforms no elections.
Lamu Rafael Lamu (@lamurafael77) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ“ UVCCM hatujui Gwajima alitoa Ushauri tu?Hatujui kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 37 ya Katiba ya JMT(1977 Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote?Je Ushauri umekuwa Hoja inayopaswa kujibiwa? Basi watafutwe watu makini wa kujibu hawa wengine wanaharibu zaidi

๐Ÿ“

UVCCM hatujui Gwajima alitoa Ushauri tu?Hatujui kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 37 ya Katiba ya JMT(1977 Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote?Je Ushauri umekuwa Hoja inayopaswa kujibiwa? Basi watafutwe watu makini wa kujibu hawa wengine wanaharibu zaidi
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Nimemsikiliza Boniface Mwangi bado natetemeka. Kwamba mwanaume anafanyiwa vitendo vya sodomy kwenye Nchi yetuโ€ฆ Tumefikaje hapa?

SIR JEFFโšก๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Jamaa anawacheki washkaji zake wanavyotumbua pesa kwenye starehe, ku-impress madem, kuzurura, big boys' purchase Jamaa anakwepa parties, travel trips, events nk Jamaa anainvest kwenye kuusoma mchezo, kupinduameza, kuboresha familia yake Washkaji zake wakaishia kumwita snitch๐Ÿคก

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Happy birthday. Lakini moyoni mwangu bado nakuwaza, nami pamoja na wengi tunaendelea kutumai huenda siku moja tungepata majibu, maana bado kuna sauti ndani yetu inayosema labda bado upo hai. Hilo ndilo linaloumia zaidi. Maumivu yangu huwa makubwa zaidi ninapomuona mama yako

Happy birthday. Lakini moyoni mwangu bado nakuwaza, nami pamoja na wengi tunaendelea kutumai huenda siku moja tungepata majibu, maana bado kuna sauti ndani yetu inayosema labda bado upo hai. Hilo ndilo linaloumia zaidi. Maumivu yangu huwa makubwa zaidi ninapomuona mama yako
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA : Mimi binafsi kama MTANZANIA/MTANGANYIKA , nachagua kusema kuwa SIHUSIKI wala SIWAJIBIKI kwa chochote alichoongea GIRISHONI kwenye so called PRESS yake. Hajaongea kwa NIABA yangu! @cnn @larrymadowo NB: My EXPOSURE is too big to be PART of that EMBARRASEMENT, nakataa

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Oyaaa , Machalii wangu wa Gen Z wangu nisikilize hapa vizuri ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ”ฅ Wateja wakuu wa show za wasanii nchini ni nyie Gen Z. Sasa kama kuna wasanii wameamua kuwa chawa, hakuna haja ya kupiga kelele kuna njia moja tu, rahisi na ya AMANI , โ›”๏ธ Usihudhurie show zao. โ›”๏ธ Wa-unfollow kila

Mark Cuban (@mcuban) 's Twitter Profile Photo

it was right around this date in November when I was 27 years old that i remember looking at a 0 dollar bank balance at the ATM...