mauki joseph (@mauki_joseph) 's Twitter Profile
mauki joseph

@mauki_joseph

positive thinker and advisor to other peoples thinking in the same priority

ID: 905151975297359874

calendar_today05-09-2017 19:33:42

2,2K Tweet

239 Followers

415 Following

Mchokozi !! (@olemtetezi) 's Twitter Profile Photo

Musoma Mnataka Chongolo Apate Presha? Na Hapo Hamna Aliyesombwa Kama Ngombe Chama Chako Kinaweza Kufanya Mikutano Hivi? Nasemajeeee 2025 Ifike Haraka

Musoma Mnataka Chongolo Apate Presha?

Na Hapo Hamna Aliyesombwa Kama Ngombe

Chama Chako Kinaweza Kufanya Mikutano Hivi?

Nasemajeeee 2025 Ifike Haraka
Mchokozi !! (@olemtetezi) 's Twitter Profile Photo

Wakati Kiongozi Wako Wa Chama Yuko Kijiweni Jioni Hii Anapata Al Kasusu Na Kashata Tundu Lissu Anasepa Na Kijiji Huko Mugumu Jimbo La Serengeti Jioni Hii Kesho Lissu Anaamkia Ngorongoro Watake Wasitake Kwa Huu Moto MaCCM Yatakufa Kwa Presha Nawaambia

Wakati Kiongozi Wako Wa Chama Yuko Kijiweni Jioni Hii Anapata Al Kasusu Na Kashata

Tundu Lissu Anasepa Na Kijiji Huko Mugumu Jimbo La Serengeti Jioni Hii

Kesho Lissu Anaamkia Ngorongoro Watake Wasitake

Kwa Huu Moto MaCCM Yatakufa Kwa Presha Nawaambia
mauki joseph (@mauki_joseph) 's Twitter Profile Photo

Nmeishi kilimanjaro Nimeishi Dar es salaam Nimeish Arusha Nimeish Morogoro Nimeish Katavi Nimeish Dodoma Nimeish singida Nimeish Tabora Bado nazurura😂😂

mauki joseph (@mauki_joseph) 's Twitter Profile Photo

Swahili Times Moto mchochee wenyewe alaf viongoz wa dini ndio wakazime? Kwann msuruhusu wawazuie viongozi wa nchi kuvuruga aman? Kwan hamjui haki ikikosekana na amani hutoweka

Harry. (@harrygodfirst) 's Twitter Profile Photo

IGP Mstaafu alikuwa analipwa Mil.21,600,000 kwa mwezi kutoka kampuni ya ACACIA. Hao ndio mnataka wawatetee makoplo ambao sare za jeshi zimechakaa, maslahi mabovu na wanaishi kota chafu na mbovu. Ukiona RUSHWA kwenye MAKAMPUNI haya ya MADINI fahamu SERIKALI nayo inahusika.

IGP Mstaafu alikuwa analipwa Mil.21,600,000 kwa mwezi kutoka kampuni ya ACACIA. 

Hao ndio mnataka wawatetee makoplo ambao sare za jeshi zimechakaa, maslahi mabovu na wanaishi kota chafu na mbovu. Ukiona RUSHWA kwenye MAKAMPUNI haya ya MADINI fahamu SERIKALI nayo inahusika.
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

Mwimbaji Sifa Boniventure Bujune (25), Mkazi wa Isyesye amekamatwa na Polisi anatuhumiwa kuimba wimbo unaojulikana kwa jina la “Tanzania Inaelekea Wapi?” pia katika wimbo huo aliimba kwamba watawala wanatuona sisi wananchi ni Nyani. Mtuhumiwa alikamatwa Septemba 13, 2023 akiwa

Mwimbaji Sifa Boniventure Bujune (25), Mkazi wa Isyesye amekamatwa na Polisi  anatuhumiwa kuimba wimbo unaojulikana kwa jina la “Tanzania Inaelekea Wapi?” pia katika wimbo huo aliimba kwamba watawala wanatuona sisi wananchi ni  Nyani.

Mtuhumiwa alikamatwa Septemba 13, 2023 akiwa
mauki joseph (@mauki_joseph) 's Twitter Profile Photo

Odo jambo hili ni mwiba kwa watoto wa watu wa kipato cha chini! Mtu hata asiye na kazi aliweza kutafuta 50400 kumkatia mwanaye bima je 317000 watatoa wapi? Hatuoni tutatengeneza mgogoro! Ukiwa na watoto watatu itakubidi uwe na laki 7+ je nani atamudu? #MpangoNiTotoAfyaCard

Odo jambo hili ni mwiba kwa watoto wa watu wa kipato cha chini!
Mtu hata asiye na kazi aliweza kutafuta 50400 kumkatia mwanaye bima je 317000 watatoa wapi?
Hatuoni tutatengeneza mgogoro! Ukiwa na watoto watatu itakubidi uwe na laki 7+ je nani atamudu?
#MpangoNiTotoAfyaCard
mauki joseph (@mauki_joseph) 's Twitter Profile Photo

Mh waziri,nikuombe tu mnapobadilisha utaratibu muwe mnaangalia na takwimu za afya! Kwa ninavyojuwa mm watoto chini ya miaka 5 wanasumbuliwa na magonjwa zaidi ambao asilimia 85-90's hawajaanza shule! Lakini pia chekeche nyingi hazipo kwenye mifumo ya elimu yetu!hivyo miak 7 std 1?

Hancy Machemba (@hancymachemba) 's Twitter Profile Photo

Ummy Mwalimu Unaweza kutuelekeza shule wanajiunga kwa utaratibu gani? Je wale watoto ambao hawajaanza shule haki yao ya kupata huduma za afya zikoje mheshimiwa?

Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Tahadhari: Ogopa sana Matapeli wa Siasa kama hawa! Mimi sina Mkutano Mbeya mjini tarehe ya leo, kwanza sipo niko Dar kwenye kazi nyingine… Mikutano yangu itaendelea baada ya ziara ya Kitaifa (Operesheni +255). Asante

Tahadhari: Ogopa sana Matapeli wa Siasa kama hawa! Mimi sina Mkutano Mbeya mjini tarehe ya leo, kwanza sipo niko Dar kwenye kazi nyingine… Mikutano yangu itaendelea baada ya ziara ya Kitaifa (Operesheni +255). Asante
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Kawaida : "aliyekwambia uje kwenye mkutano wa CCM umevaa sare ni nani.? Wakati sisi tunawapigania Mahakamani mbakie Bungeni kama Chadema...?" Nusrat: " Usijali Mwenyekiti wakiniuliza mbona nimevaa sare za Kijani nitawajibu ni sare ya Yanga siyo ya CCM.."

Kawaida : "aliyekwambia uje kwenye mkutano wa CCM umevaa sare ni nani.? 
Wakati sisi tunawapigania Mahakamani mbakie Bungeni kama Chadema...?"

Nusrat: " Usijali Mwenyekiti wakiniuliza mbona nimevaa sare za Kijani nitawajibu ni sare ya Yanga siyo ya CCM.."
Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

TANZANIA YALIPA FIDIA YA TSH. BILIONI 75 KWA KUFUTA LESENI YA KAMPUNI YA MADINI KINYUME CHA SHERIA Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni ya uchimbaji Dhahabu ya Winshear Gold Corp, #Tanzania imelazimika kulipa fidia hiyo baada ya kufikia makubaliano ya kumaliza kesi

TANZANIA YALIPA FIDIA YA TSH. BILIONI 75 KWA KUFUTA LESENI YA KAMPUNI YA MADINI KINYUME CHA SHERIA

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni ya uchimbaji Dhahabu ya Winshear Gold Corp, #Tanzania imelazimika kulipa fidia hiyo baada ya kufikia makubaliano ya kumaliza kesi
Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Nipigie kura nishinde Tuzo ya Zikomo africa awards na kuwa Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika. Napambana na magwiji 8 wa uandishi wa Vitabu Barani AFRIKA kutoka Mataifa mbalimbali ya AFRIKA. FUNGUA LINK vote.zikomoawards.com/ZikomoAfricaAw…

Nipigie kura nishinde Tuzo ya <a href="/zikomoawards/">Zikomo africa awards</a> na kuwa Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika. Napambana na magwiji 8 wa uandishi wa Vitabu Barani AFRIKA kutoka Mataifa mbalimbali ya AFRIKA. FUNGUA LINK vote.zikomoawards.com/ZikomoAfricaAw…
Aisha Saleh Madoga (@aishasmadoga) 's Twitter Profile Photo

Congratulations to Myself on being even more experienced. I’m not sure what I learned this year, but every experience transforms me into the person I am today. Happy birthday to ME🥰

Congratulations to Myself on being even more experienced. I’m not sure what I learned this year, but every experience transforms me into the person I am today. Happy birthday to ME🥰