Martine Abdul Kandore (@martinabdul14) 's Twitter Profile
Martine Abdul Kandore

@martinabdul14

Chairman of Chaso -NIT /Human rights fighter
A boy from Kanda maalumu Mara✌️

ID: 1392254207412027399

calendar_today11-05-2021 23:04:22

431 Tweet

93 Followers

130 Following

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

CHADEMA kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa chama hicho wanasema muingiliano kwa nchi za Afrika ni jambo la kawaida kwakuwa katika miaka ya nyuma Tanzania pia iliingilia nchi nyingine na kuzisaidia katika nyakati tofauti, tofautil

Martine Abdul Kandore (@martinabdul14) 's Twitter Profile Photo

Asante sana mwenyekiti Deogratias Mahinyila 🙏, wasomi hawa hawapaswi kuwa wanyonge wanapaswa kesema changamoto ili wasemewe waje kwa wingi na CHASO DAR ES SALAAM tutawasemea changamoto zao kupitia #wanafunziwasemewe Aluta continua✌️ #NoReformsNoelection #wanafunziwasemewe

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

#JFKUMBUKIZI: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara (Bwege) kupitia #CUF akizungumzia thamani ya Maisha ya Mtu Mjadala jamii.app/BwegeKuuaWatu #JamiiForums #HumanRights #HakiZaBinadamu

Deogratias Mahinyila (@advmahinyila) 's Twitter Profile Photo

Vingi vilivyoonekana ni tetesi na majungu vinathibitika kwa matendo baada ya muda fulani. Je ni sahihi kudharau tetesi zote? Kuna kosa kuzitambua na kujiandaa nazo ili yakithibitika yasitushangaze au kutuvunja moyo? Muda ni Mwalimu mzuri na utatufunulia mengi na kwa uhalisia..!!

Vingi vilivyoonekana ni tetesi na majungu vinathibitika kwa matendo baada ya muda fulani. Je ni sahihi kudharau tetesi zote? Kuna kosa kuzitambua na kujiandaa nazo ili yakithibitika yasitushangaze au kutuvunja moyo? Muda ni Mwalimu mzuri na utatufunulia mengi na kwa uhalisia..!!
Joel Msuya (@joelymsuya) 's Twitter Profile Photo

Kongamano lililoandaliwa na mtandao wa wanafunzi wa CHADEMA mkoa wa Dar es salaam CHASO DAR ES SALAAM litafanyika jumapili tarehe 25-05-2025 Makao Makuu ya chama Mikocheni, mgeni rasmi ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe. John Heche. Mnakaribishwa nyote. #Chaso #ChanzoChaFikraBora

Kongamano lililoandaliwa na mtandao wa wanafunzi wa CHADEMA mkoa wa Dar es salaam <a href="/DarChaso/">CHASO DAR ES SALAAM</a> litafanyika jumapili tarehe 25-05-2025 Makao Makuu ya chama Mikocheni, mgeni rasmi ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a>. Mnakaribishwa nyote.
#Chaso
#ChanzoChaFikraBora
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Msikilize MAKAMU MWENYEKITI John Heche kuhusu kelele zinazoendelea kuihusu CHADEMA. TUPO IMARA SANA.🙏🏿 #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Martine Abdul Kandore (@martinabdul14) 's Twitter Profile Photo

Mh Dr. Dorothy Gwajima ,sisi CHASO DAR ES SALAAM tumepata taarifa ya kusikitisha kwenye chuo cha NIT kuwa Kuna mdada ameombwa rushwa ya ngono na Waziri Mkuu wa serikari ya wanafunzi ili apitishwe kuwa mbunge baada ya kukataa ameanza kumtengenezea kesi, haya mambo sio ya kufumbia macho hayafai.

Mh <a href="/Dr_DGwajima/">Dr. Dorothy Gwajima</a> ,sisi <a href="/DarChaso/">CHASO DAR ES SALAAM</a> tumepata taarifa ya kusikitisha kwenye chuo cha NIT kuwa Kuna mdada ameombwa rushwa ya ngono na Waziri Mkuu wa serikari ya wanafunzi ili apitishwe kuwa mbunge baada ya kukataa ameanza kumtengenezea kesi, haya mambo sio ya kufumbia macho hayafai.
Martine Abdul Kandore (@martinabdul14) 's Twitter Profile Photo

Asanteni sana viongozi wetu Mh John Heche na MNYIKA John John kwa heshima kubwa mlio tupatia CHASO DAR ES SALAAM hatutanyamaza mpaka pale ujumbe wa #NoReformsNoElection utakapofika kila sehemu,hatupo tayari kumuacha yeyote nyuma. Asante sana m/kiti Deogratias Mahinyila #NoReformsNoElection #getinvolved

Martine Abdul Kandore (@martinabdul14) 's Twitter Profile Photo

WAPUUZWE CHASO HAKUNA MAKASHA. Propaganda ni sumu ya ubongo, ukiruhusu kuikubali leo ya kesho hautaweza kuikataa . Wakti elimu za nchi kama China wanafundisha how to increase production through technology sisi tunafundisha wanachuo propaganda kweliii😀 #CCM BADO HAMJASEMA .

Deogratias Mahinyila (@advmahinyila) 's Twitter Profile Photo

Martine Abdul Kandore John Heche MNYIKA John John CHASO DAR ES SALAAM Hilda Newton Rose Mayemba Maria Sarungi Tsehai Twaha Mwaipaya LYENDA Chacha Heche Proud of you Brother. Keep the battle higher. Hiki Chama kimebarikiwa vijana wenye akili nyingi na timamu. Hawataisha leo, kesho na hata milele. Mfano wake ni wewe, Mratibu wa CHASO Mkoa wa Dar es salaam. Akili ya CHASO mmoja ni UVCCM buku. Whether you like or not. Dunia inajua.