Mapesa Mathias (@mapesa_mathias) 's Twitter Profile
Mapesa Mathias

@mapesa_mathias

Son of God through Jesus christ

ID: 1456297179769982977

calendar_today04-11-2021 16:28:42

29 Tweet

61 Followers

390 Following

Mapesa Mathias (@mapesa_mathias) 's Twitter Profile Photo

Sifa ya kiongozi wa kweli ni kuhakikisha analinda uhai na usalama wa watu wake ili kuepuka umwagaji wa damu zisizo na hatia na uonevu wa wanyonge maana mambo kama haya uleta rahana katika nchi.

Mapesa Mathias (@mapesa_mathias) 's Twitter Profile Photo

Wakuu wa wilaya wenye viti wa kamati za ulizi na usalama wa wilaya jitafakalini sana maana kwa sasa kuna vifo vya ajabu ajabu tu vinatokea watu wanauwawa ovyo tu ila atuoni action yoyote, vibaka wanajitawala kana kwamba maasikali wapo rikizo.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Mnanichamba nini? Dkt Samia Suluhu hajaiponya Nchi? Demokrasia, Haki za Binadamu, Diplomasia, Ajira Mpya, Mzunguko wa Fedha mtaani, n.k vinafanana na miaka 6 iliyopita? Muwe na Shukrani. Nitukaneni ila jueni mimi ni gogo la udi, nasimama na ukweli, nasimama na Mama Daima. OVER!!

Mnanichamba nini? Dkt <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> hajaiponya Nchi? Demokrasia, Haki za Binadamu, Diplomasia, Ajira Mpya, Mzunguko wa Fedha mtaani, n.k vinafanana na miaka 6 iliyopita? Muwe na Shukrani.

Nitukaneni ila jueni mimi ni gogo la udi, nasimama na ukweli, nasimama na Mama Daima. OVER!!
Mapesa Mathias (@mapesa_mathias) 's Twitter Profile Photo

Mungu akujalie Hekima, Maarifa na Ufahamu ujue jinsi ya kuingia na kutoka mbele ya Watanzania hawa ambao Mungu kakuamini uwaongeze na kuwafikisha kwenye nchi ya ahadi.

Mungu akujalie Hekima, Maarifa na Ufahamu ujue jinsi ya kuingia na kutoka mbele ya Watanzania hawa ambao Mungu kakuamini uwaongeze na kuwafikisha kwenye nchi ya ahadi.
Mapesa Mathias (@mapesa_mathias) 's Twitter Profile Photo

Mungu akujalie Hekima, Maarifa na Ufahamu ujue jinsi ya kuingia na kutoka mbele ya Watanzania hawa ambao Mungu kakuamini uwaongeze na kuwafikisha kwenye nchi ya ahadi.

Mungu akujalie Hekima, Maarifa na Ufahamu ujue jinsi ya kuingia na kutoka mbele ya Watanzania hawa ambao Mungu kakuamini uwaongeze na kuwafikisha kwenye nchi ya ahadi.
Mapesa Mathias (@mapesa_mathias) 's Twitter Profile Photo

Mungu akujalie Hekima, Maarifa na Ufahamu ujue jinsi ya kuingia na kutoka mbele ya Watanzania hawa ambao Mungu kakuamini uwaongeze na kuwafikisha kwenye nchi ya ahadi.

Mungu akujalie Hekima, Maarifa na Ufahamu ujue jinsi ya kuingia na kutoka mbele ya Watanzania hawa ambao Mungu kakuamini uwaongeze na kuwafikisha kwenye nchi ya ahadi.
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Nimejua zaidi thamani ya wazazi baada ya kuwa mtu mzima na mimi kuwa na familia yangu. Sasa najua kila kitu nilichokuwa napata kwa wazazi wangu kuanzia kula mpaka kuvaa wa very huge struggle from my parents. Kuna saa tunagundua ukweli huu umri wao ukiwa umeenda sana. Mzazi

Nimejua zaidi thamani ya wazazi baada ya kuwa mtu mzima na mimi kuwa na familia yangu. Sasa najua kila kitu nilichokuwa napata kwa wazazi wangu kuanzia kula mpaka kuvaa wa very huge struggle from my parents. Kuna saa tunagundua ukweli huu umri wao ukiwa umeenda sana. 

Mzazi