Mancold (@mancold04) 's Twitter Profile
Mancold

@mancold04

ID: 1513109952583413767

calendar_today10-04-2022 11:02:14

793 Tweet

454 Followers

428 Following

NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Mwanetu Boniface Jacob amekamatwa na Jeshi la Polisi Sinza (Golden Fork) na wamempeleke Kituo cha Polisi Osterbay- Kinondoni. Polisi (Police Force TZ) mmemkamata Bon akiwa na afya njema, tuelezeni kosa lake haraka iwezekanavyo na mfahamu kuwa Maandamano yetu yapo pale-pale Septemba

Mwanetu <a href="/ExMayorUbungo/">Boniface Jacob</a> amekamatwa na Jeshi la Polisi Sinza (Golden Fork) na wamempeleke Kituo cha Polisi Osterbay- Kinondoni. 

Polisi (<a href="/tanpol/">Police Force TZ</a>) mmemkamata Bon akiwa na afya njema, tuelezeni kosa lake haraka iwezekanavyo na mfahamu kuwa Maandamano yetu yapo pale-pale  Septemba
Cyancute โญ (@cyancutytz) 's Twitter Profile Photo

BREAKING NEWS, Chaapaaa REPOST 1000 FREEMAN MBOWE THE PRISEDNT AJAYE NO FEAR (2025) Nitakupa kura nyangu baba โœŒ๏ธ๐Ÿ™

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Kutoka kwa #NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’ ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ Repost 200 za chap chap.๐Ÿซก Habari!! Nakuja tena kwenu. Asanteni sana kwa muitikio wenu mkubwa kuhusu wazo langu la jana la kufanya #Fundraising kwa Msanii Nay wa Mitego. #Naythetrueboy Naomba tumchangie chochote kile iwe kama ishara ya

Kutoka kwa <a href="/Roma_Mkatoliki/">#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’</a> ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ Repost 200 za chap chap.๐Ÿซก

Habari!! Nakuja tena kwenu. 

Asanteni sana kwa muitikio wenu mkubwa kuhusu wazo langu la jana la kufanya #Fundraising kwa Msanii  Nay wa Mitego.  
<a href="/naythetrueboy/">#Naythetrueboy</a> 

Naomba tumchangie chochote kile iwe kama ishara ya
Cyancute โญ (@cyancutytz) 's Twitter Profile Photo

Breaking News ๐Ÿ˜ญ Nay wamitego amepokea wito wa barua kutoka basata wimbo ule unaweza ukafutwa au kubadilisha mashairi Hapa nay wamitego awemakini wasimteke Hali sio nzuri No fera Chapa REPOST 3500 Hadi basata waone tumepokea goma โœŒ๏ธ

Breaking News ๐Ÿ˜ญ

Nay wamitego amepokea wito wa barua kutoka basata wimbo ule unaweza ukafutwa au kubadilisha mashairi 

Hapa nay wamitego awemakini wasimteke Hali sio nzuri No fera 

Chapa REPOST 3500 Hadi basata waone tumepokea goma โœŒ๏ธ
Watu Mikeka (@watu_mikeka) 's Twitter Profile Photo

Watu zaidi ya 100 niliwapa code ya hizi odds 3.50 huko DM after kuchapa RETWEET pinned post. Ikiwa hukuziwahi, basi ondoa shaka. RETWEET hapa tutakutumia GIVE AWAY yako DM. Vigezo na masharti kuzingatiwa. ๐Ÿ‘‰Hakikisha umetufollow

Watu zaidi ya 100 niliwapa code ya hizi odds 3.50 huko DM after kuchapa RETWEET pinned post. 

Ikiwa hukuziwahi, basi ondoa shaka. RETWEET hapa tutakutumia GIVE AWAY yako DM. 

Vigezo na masharti kuzingatiwa. 

๐Ÿ‘‰Hakikisha umetufollow
๐†๐ฐ๐ข๐ฌ๐š ๐๐ฎ๐ง๐ญ๐ž๐ซ (@gwisapunter) 's Twitter Profile Photo

GOD Did ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝโœ…โœ…โœ…โœ…โœ…โœ… 26 Million BOOM ๐Ÿ†๐ŸŽ‰๐Ÿ’ฐโœ…๐Ÿค‘ If you haven't won any giveaway before! Drop your aza ๐Ÿ’ฐ Iโ€™m sharing 5 Million,choosing from the first 200 Likes and Retweets. Here we Go champs ๐Ÿซจ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

GOD Did ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝโœ…โœ…โœ…โœ…โœ…โœ…
26 Million BOOM ๐Ÿ†๐ŸŽ‰๐Ÿ’ฐโœ…๐Ÿค‘

If you haven't won any giveaway before!
Drop your aza ๐Ÿ’ฐ

Iโ€™m sharing  5 Million,choosing from the first 200 Likes and Retweets.
Here we Go champs ๐Ÿซจ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
๐†๐ฐ๐ข๐ฌ๐š ๐๐ฎ๐ง๐ญ๐ž๐ซ (@gwisapunter) 's Twitter Profile Photo

5AJUS9 Relax-๐ŸŽ๐ŸŽ‰๐ŸŽฏ 91M is coming home today Retweet๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ

5AJUS9
Relax-๐ŸŽ๐ŸŽ‰๐ŸŽฏ
91M is coming home today 
Retweet๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿค๐Ÿพ
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

HAWA VIBAKA NI WAOGA SANA. Police Force TZ Kesho mwanza inaenda kusimama. Hakuna SHUGULI itafanyika, HAKUNA UTULIVU utapatikana mpaka mtuambie Amani Manengelo YUPO WAPI? Mpaka sasa taarifa zilizopo ni nyie VIBAKA Police Force TZ ndio mmemteka KATIBU WA BAVICHA mkoa wa MWANZA. Hatuwezi

HAWA VIBAKA NI WAOGA SANA. <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> 

Kesho mwanza inaenda kusimama. Hakuna SHUGULI itafanyika, HAKUNA UTULIVU utapatikana mpaka mtuambie Amani Manengelo YUPO WAPI?

Mpaka sasa taarifa zilizopo ni nyie VIBAKA <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a>  ndio mmemteka KATIBU WA BAVICHA mkoa wa MWANZA. 

Hatuwezi
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi - Mwanza limekanusha taarifa za kumkamata Katibu wa BAVICHA - Mwanza, Amani Manongelo 14.02.25, Misungwi, Mwanza. Kwa mantiki ndogo ni kwamba, Polisi wamesema hawajamkamata. Hivyo Amani katekwa na kapotezwa. Hii ni taarifa mbaya. Hali ni hatari. Utekaji ni ushamba

Jeshi la Polisi - Mwanza limekanusha taarifa za kumkamata Katibu wa BAVICHA - Mwanza, Amani Manongelo 14.02.25, Misungwi, Mwanza. Kwa mantiki ndogo ni kwamba, Polisi wamesema hawajamkamata. Hivyo Amani katekwa na kapotezwa. Hii ni taarifa mbaya. Hali ni hatari. Utekaji ni ushamba
๐†๐ฐ๐ข๐ฌ๐š ๐๐ฎ๐ง๐ญ๐ž๐ซ (@gwisapunter) 's Twitter Profile Photo

What the fuck๐Ÿฅถ๐Ÿฅถ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ†โœ…โœ… 78M cashout or be patient for 110M ????๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ The way am happy right now drop your aza asap. Crediting for the first 100 retweets and likes. Love you guys๐ŸŽฏ๐Ÿคฒ๐Ÿพ๐Ÿคฒ๐Ÿพ

Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

katibu mkuu wa BAVICHA mkoa wa Mwanza mpaka leo hajulikani yuko wapi.Tupaze sauti za home boy aisee We twanga tu RT ifike mbali

katibu mkuu wa BAVICHA mkoa wa Mwanza mpaka leo hajulikani yuko wapi.Tupaze sauti za home boy aisee

We twanga tu RT ifike mbali