St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile
St.Huberto

@lugaluta

Oooh Lord thank you for what I have....

ID: 227718760

calendar_today17-12-2010 16:23:47

665 Tweet

145 Followers

2,2K Following

St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana Mh Rais Samia Suluhu kwa kutuonyesha njia sahihi Mungu akubariki sana…. Sasa wahudumu wa Afya, Wazee na Viongozi wa dini watakuwa free kutopata Corona….

Hongera sana Mh Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kwa kutuonyesha njia sahihi Mungu akubariki sana…. Sasa wahudumu wa Afya, Wazee na Viongozi wa dini watakuwa free kutopata Corona….
St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile Photo

Siku tukipata classic players than Saido and Muloko tutafika nusu final ya CAF alafu wengine wakabaki hivyo hivyo. Welldone DumeLaPwani for proper management Senzo Mbatha 🇿🇦 haji Manaraa Young Africans SC YANGA BINGWA 2021/2022

GOAL Africa (@goalafrica) 's Twitter Profile Photo

Fascinating scenes from the Young Africans Sports Club [Yanga SC] Parade in the streets of Dar Es Salaam after Winning Ligi Kuu, Tanzanian Premier League. 🇹🇿 📷 @YangaEnglish

Fascinating scenes from the Young Africans Sports Club [Yanga SC] Parade in the streets of Dar Es Salaam after Winning Ligi Kuu, Tanzanian Premier League. 🇹🇿 

📷 @YangaEnglish
Young Africans SC (@youngafricanssc) 's Twitter Profile Photo

Ule wakati wa kutangaza 𝗨𝗦𝗔𝗝𝗜𝗟𝗜 wa Mchezaji 𝗠𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 anayekuja Klabu 𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 Afrika Mashariki na Kati unakaribia. Tunaomba kama wewe sio #mwananchi basi ni vyema ukatafuta mchezo mwingine wa kushabikia kabla ya msimu kuanza. #ReturnOfChampions 🥇🏆

Ule wakati wa kutangaza 𝗨𝗦𝗔𝗝𝗜𝗟𝗜 wa Mchezaji 𝗠𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 anayekuja Klabu 𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 Afrika Mashariki na Kati unakaribia. 

Tunaomba kama wewe sio #mwananchi basi ni vyema ukatafuta mchezo mwingine wa kushabikia kabla ya msimu kuanza. 

#ReturnOfChampions 🥇🏆
St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile Photo

Baraka za Mungu zipo na anatoa kwa kila Muombaji basi Kila siku tuomba Baraka zake katika kila Jambo. Hesabu 6: 22-27.🙏

Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

Kama Musa ambaye aliinua mikono yake katika maombi yasiyokoma kwa Mungu kwa ajili ya watu wake, Mikono ya Yesu daima iko wazi katika maombi Msalabani kwa ajili yetu sisi. Hivyo, Mama Kanisa Mtakatifu anatualika kuungana na Kristo katika maombi yasiyokoma na bila kukata tamaa.

Kama Musa ambaye aliinua mikono yake katika maombi yasiyokoma kwa Mungu kwa ajili ya watu wake, Mikono ya Yesu daima iko wazi katika maombi Msalabani kwa ajili yetu sisi. Hivyo, Mama Kanisa Mtakatifu anatualika kuungana na Kristo katika maombi yasiyokoma na bila kukata tamaa.
centredevils. (@centredevils) 's Twitter Profile Photo

🚨🚨💣| BREAKING: Sheikh Jassim Bin Hamad Al Thani doesn't want to make any money out of #mufc at all. He's not doing it to make money, he's doing it because he's has been a lifelong Manchester United supporter. [Kaveh Solhekol] I might cry 🥹❤️

🚨🚨💣| BREAKING: Sheikh Jassim Bin Hamad Al Thani doesn't want to make any money out of #mufc at all. He's not doing it to make money, he's doing it because he's has been a lifelong Manchester United supporter. [<a href="/SkyKaveh/">Kaveh Solhekol</a>]

I might cry 🥹❤️
St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile Photo

Hakuna watu wanaalibu mpira wa Africa kama Nchi za Kiarabu… na kwasababu Caf ipo kwao kuna kiwa hakuna kitu wanaweza kuwafanya…poor organization, poor management poor leadership.. TotalEnergies CAFCL & CAFCC 🏆 CAF Online

St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile Photo

Karibu sana Segerea Mobile Store, Tupo Segerea Stand karibu na Lukolo Hall. Njoo upate Mobile accessories zote Kwa cheleeee Samsung 25W Adapter kwa Tsh 15K🔥 Iphone 14 pro Max 35W USB-C kwa Tsh 30K🔥 Iphone 25W USB-C kwa Tsh 25K🔥 Call/ Whatsapp 0783400065

Karibu sana Segerea Mobile Store, 
Tupo Segerea Stand karibu na Lukolo Hall.

Njoo upate Mobile accessories zote Kwa cheleeee

Samsung 25W Adapter kwa Tsh 15K🔥
Iphone 14 pro Max 35W USB-C kwa Tsh 30K🔥
Iphone 25W USB-C kwa Tsh 25K🔥

Call/ Whatsapp 0783400065
St.Huberto (@lugaluta) 's Twitter Profile Photo

@UTDDady Kwa sasa Mbappe ameelekeza akili yake Real Madrid, na Psg inajijenga bila ya kumtegemea ndio maana haumuoni Katika kiwango bora hasa kwenye ligi ya france

Mohammed Kawaida (@comradekawaida) 's Twitter Profile Photo

USHAURI WANGU KWA VIJANA WENZANGU .. Kila siku ni nafasi mpya ya kujifunza, na kila maarifa mapya ni hatua moja mbele kuelekea furaha yako ya kweli, Usiogope kuanza upya kwa maana kila jambo zuri linaanza na hamu ya kujifunza ndipo moyo hupata furaha ya kweli .. #OktobaTunatiki

USHAURI WANGU KWA VIJANA WENZANGU 
..
Kila siku ni nafasi mpya ya kujifunza, na kila maarifa mapya ni hatua moja mbele kuelekea furaha yako ya kweli, Usiogope kuanza upya kwa maana kila jambo zuri linaanza na hamu ya kujifunza ndipo moyo hupata furaha ya kweli
..
#OktobaTunatiki